Nicorandil
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 268
- 760
Jamaa ni mtu mwenye negative energy usikomae nae kwa sababu haongei uhalisia badala yake analeta hisia.Kumbe unaongea ki hisia na ushabiki. Me nikajua unaongelea boli halisia ambalo kila mtu analiona. Kama Jesus shemeji yako. Unaanzaje kumkanyagia.
NB: sometimes Ongea boli weka ushabiki na hisia pembeni
Pia vijana ni wengi humu mkuu so wazoee tu.