Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
Ila kama tuliivuka ile salama na ndo nilikua nahofu kubwa sana basi naamin hapa tutavuka na tukapata point nyingi tofaut na ileOn paper tuna fixture ngumu ya games tatu zinazofuata kuliko city.
Hii ni kwa kuzingatia majeruhi pia kwa timu zote mbili.
View attachment 3124144
Tottenham
Aston villa
Man City.