Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumbe unaongea ki hisia na ushabiki. Me nikajua unaongelea boli halisia ambalo kila mtu analiona. Kama Jesus shemeji yako. Unaanzaje kumkanyagia.
NB: sometimes Ongea boli weka ushabiki na hisia pembeni
Jamaa ni mtu mwenye negative energy usikomae nae kwa sababu haongei uhalisia badala yake analeta hisia.
Pia vijana ni wengi humu mkuu so wazoee tu.
 
Jamaa ni mtu mwenye negative energy usikomae nae kwa sababu haongei uhalisia badala yake analeta hisia.
Pia vijana ni wengi humu mkuu so wazoee tu.
Mtu anatakiwa aongee mpira. Mtu anapokosea akosolewe. Anapofanya vizuri asifiwe.
 
Juzi Edu alienda Ureno kuongea na Uongozi wa Gyokeres. Kama hizi ripoti ni za kweli hii inamaanisha hata uongozi wa Arsenal unajua kwamba anahitajika ST.

Hii timu yetu pale mbele ukiwa na Watkins au Rasmus ni una uhakika wa ushindi wa 3+ kila mechi
 
Aisee huyu mnyamwezi wa kaliua mshenzi sana🤣..arsenyeto kuna ujumbe wenu hapa
 

Attachments

  • IMG-20241015-WA0135.jpg
    IMG-20241015-WA0135.jpg
    89.7 KB · Views: 12
Haya hapa chini maswali ya David Raya kwenda kwa Unai Simon

 
Uwakute sasa wakidanganyana!! Kumbe katimu kanahitaji msaada wa maombi.
Wasipochukua Man City kombe mtabeba nyny mkuu🤠🤠🤠....maana unawashwawashwa sana kuona tunateleza ila wapi....nakukumbusha siku za kulipanq deni zinakaribia....TAfuteni kipa na mabeki wa kueleweka....hatutaki lawama siku hyo
 
Back
Top Bottom