Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaanzia mpira kuanzia nyuma kama unataka kumvuta mpinzani.

Ikitokea anafanya high pressing then even better. You win with through balls and long balls.

Bournemouth wanatufanyia high pressing.

Then what is our fucking response? Mid zinajichanganya, Sterling hajui afanye nini na hatuna shot on target mpaka muda huu.
 
Leo kuna timu tatu mchezaji mmoja kapigwa red.

Tujiangalie hapa. Anyway, I think tunaingia kipindi ambacho tunahitaji kushinda magoli mengi ila bado hatuna watu wa kustep up au bado tunaitafuta rhythm.

Shida ni kwamba muda wa kutafuta rhythm ukifika unakuta tuna majeruhi. So tunaona bora tutafute ushindi kuliko kuukosa kabisa.

Kwenye orodha mpya ya majeruhi tuna Saka na Timber.

Merino na Sterling wanaanza leo, hopefully Sterling kaona makosa yake kutokea mara ya mwisho aliyocheza. Ila kusema kweli jamaa hajawahi kujifunza kuanzia namjia hadi leo.

Tumuone Kepa
Na ya nne nyingine imeongezeka 🤣
 
Maanina leo Kenge mkitoka salama mbele ya vijeba Bournemouth nakunya mavi toka Mwanza hadi mkuranga
Pumbafu ,piga mbuzi hiziiiiii
Eti unbeaten , unbeaten my ugly black ass.
Arsenyetoz watoto wadogo sana
Hapo hamjakutana na miamba wa kazi hizi Chelsea ,real champions WA England ,nawaambia hivi tutawakaanga siku hiyo ,bora msiingize uwanjani hicho kikundi cha wacheza ngoma
 
Back
Top Bottom