Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Golini kwa AssAnal

20241019_191618.jpg
 
Leo kuna timu tatu mchezaji mmoja kapigwa red.

Tujiangalie hapa. Anyway, I think tunaingia kipindi ambacho tunahitaji kushinda magoli mengi ila bado hatuna watu wa kustep up au bado tunaitafuta rhythm.

Shida ni kwamba muda wa kutafuta rhythm ukifika unakuta tuna majeruhi. So tunaona bora tutafute ushindi kuliko kuukosa kabisa.

Kwenye orodha mpya ya majeruhi tuna Saka na Timber.

Merino na Sterling wanaanza leo, hopefully Sterling kaona makosa yake kutokea mara ya mwisho aliyocheza. Ila kusema kweli jamaa hajawahi kujifunza kuanzia namjia hadi leo.

Tumuone Kepa
Kepa ni master ,utamlinganisha na huyu pimbi wenu ?
 
Huyu dogo Kluivert baba yake ni yule jamaa alichezea Barcelona miaka hiyo?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Arsenal inabidi tujitafakari asee.
Eti tukipata red card tu game play inabadilika wakati huwa tunazipata mara kibao.
Hata UEFA final na Barca tulikua fresh ila Van Persie alipokula red card et tukaachia ubingwa.
Kocha ajifunze kucheza na watu kumi asee.
 
Braza hii andika yako kama ungekuwa unaongea mishipa ingekuwa imesimama barabara
Maanina leo Kenge mkitoka salama mbele ya vijeba Bournemouth nakunya mavi toka Mwanza hadi mkuranga
Pumbafu ,piga mbuzi hiziiiiii
Eti unbeaten , unbeaten my ugly black ass.
Arsenyetoz watoto wadogo sana
Hapo hamjakutana na miamba wa kazi hizi Chelsea ,real champions WA England ,nawaambia hivi tutawakaanga siku hiyo ,bora msiingize uwanjani hicho kikundi cha wacheza ngoma
 
Leo kuna timu tatu mchezaji mmoja kapigwa red.

Tujiangalie hapa. Anyway, I think tunaingia kipindi ambacho tunahitaji kushinda magoli mengi ila bado hatuna watu wa kustep up au bado tunaitafuta rhythm.

Shida ni kwamba muda wa kutafuta rhythm ukifika unakuta tuna majeruhi. So tunaona bora tutafute ushindi kuliko kuukosa kabisa.

Kwenye orodha mpya ya majeruhi tuna Saka na Timber.

Merino na Sterling wanaanza leo, hopefully Sterling kaona makosa yake kutokea mara ya mwisho aliyocheza. Ila kusema kweli jamaa hajawahi kujifunza kuanzia namjia hadi leo.

Tumuone Kepa
Tunawauziaga vibovu sterling ni mchezaji ambaye hana constituency
 
Back
Top Bottom