Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi mpo serious mnataka ubingwa na haya magarasa
Rice
Trossad
Haveertz
Sterling
Odegaard
Raya
Saliba
Kiwiko
 
Hivi mpo serious mnataka ubingwa na haya magarasa
Rice
Trossad
Haveertz
Sterling
Odegaard
Raya
Saliba
Kiwiko
Tumewapa Sterling alafu tumemchukua sancho,tumewauzia kai tumemleta Nkuku kwa hizi biashara team yao itakuwa ya mafungu na ndio maana nina uhakika Chelsea tutabeba kombe kabla yao na wewe jogoo subiri kesho kuchinjwa
 
Arsenal muwe serious aisee, huwezi pigania ubingwa mbele ya City, Liverpool na Chelsea. Wakati huohuo una lundo la matakataka kwenye timu, Kai Havertz, Sterling, Ben White, Gabriel J, Jorgihno, Martinelli hawa wote ni matakataka na ndio wana wachelewesha. Misimu miwili mfululizo mnaongoza vizuri inafika hatua za mwisho hawa matakataka wana wafelisha. Fanyeni maamuzi magumu, acheni kuwa kama NYUMBU.
 
On target 1, pumbafff kabisa,,,, ! Mnategemea kuchukua EPL na UCL na fowad kai? Beki Jacob kiwior? Kiungo partey kaisha,,,,umri ! Kibongo bongo hakosi 36 yule ! Anapoteza mipira mingi, mwangalie vzr tangu msimu umeanza
 
Timu haina nidhamu kila wiki wanakula red card halafu wanasingizia FA na City wanawafitini.
Yule Arteta ni mhuni na mpira anafundisha kihuni tu. Kama unaikumbuka Everton ya Moyes ikiwa na wahuni akina fellain na Cahill, utajua utashi wa arteta na arsenal yake hii.

Halafu akina arsenal2004 na Castr na genge lote humu wanajisifia kuwa anacheza haramu football.
 
Arsenal inabidi tujitafakari asee.
Eti tukipata red card tu game play inabadilika wakati huwa tunazipata mara kibao.
Hata UEFA final na Barca tulikua fresh ila Van Persie alipokula red card et tukaachia ubingwa.
Kocha ajifunze kucheza na watu kumi asee.
Van Persie ilikuwa final? Nakumbuka fainali alikula red golikipa
 
Back
Top Bottom