Sisi Chelsea tulivyomfunga Bournemouth hapo kwake goal 1 mliongea kweli mara ooh goal lenyewe kwa mbinde haya mmejioneaWachezaji wetu wanapewa red card za kijinga,ni ngumu kuchukua ubingwa kwa style hii
Sisi Chelsea tulivyomfunga Bournemouth hapo kwake goal 1 mliongea kweli mara ooh goal lenyewe kwa mbinde haya mmejioneaWachezaji wetu wanapewa red card za kijinga,ni ngumu kuchukua ubingwa kwa style hii
🤣🤣🤣Kiungo mchele ,beki siliba na kiwiko winga saka
Hii timu tu majina ya wachezaji kituko
Tumewapa Sterling alafu tumemchukua sancho,tumewauzia kai tumemleta Nkuku kwa hizi biashara team yao itakuwa ya mafungu na ndio maana nina uhakika Chelsea tutabeba kombe kabla yao na wewe jogoo subiri kesho kuchinjwaHivi mpo serious mnataka ubingwa na haya magarasa
Rice
Trossad
Haveertz
Sterling
Odegaard
Raya
Saliba
Kiwiko
Wazee wa boko haramu football ..😂😂😂😂😂Sisi Chelsea tulivyomfunga Bournemouth hapo kwake goal 1 mliongea kweli mara ooh goal lenyewe kwa mbinde haya mmejionea
Halafu wao wanaona bonge la wachezaji ,ila washabiki wa Arsenal 😆😆😆😆😆Wakuu tuongezeeni pesa kidogo kwa mashine ya kazi kai havertz uefa goal scorer ..na sterling mzee wa mwendo wa ngiri mkia juu
Van Persie ilikuwa final? Nakumbuka fainali alikula red golikipaArsenal inabidi tujitafakari asee.
Eti tukipata red card tu game play inabadilika wakati huwa tunazipata mara kibao.
Hata UEFA final na Barca tulikua fresh ila Van Persie alipokula red card et tukaachia ubingwa.
Kocha ajifunze kucheza na watu kumi asee.
NdioHuyu dogo Kluivert baba yake ni yule jamaa alichezea Barcelona miaka hiyo?