Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,542
- 6,491
Jamaa kaongea pumba za kiwango cha juu sanaKwan arsenal haina noti???,,
Jamaa kaongea pumba za kiwango cha juu sanaKwan arsenal haina noti???,,
unaongea pumba mzeeHuwezi kutufananisha arsenal na city au Madrid kwa mkwanja mkuu.wenzetu wana hela
Timu inahitaji namba 9, hilo liko uchi.Juzi Edu alienda Ureno kuongea na Uongozi wa Gyokeres. Kama hizi ripoti ni za kweli hii inamaanisha hata uongozi wa Arsenal unajua kwamba anahitajika ST.
Hii timu yetu pale mbele ukiwa na Watkins au Rasmus ni una uhakika wa ushindi wa 3+ kila mechi
Yule bwana Toney ilikuwaje tukampotezea.Timu inahitaji namba 9, hilo liko uchi.
Kama taarifa ni za kweli hii inamaanisha hata wao wanajua ST anahitajika.Timu inahitaji namba 9, hilo liko uchi.
Tabia za nje ya uwanja.Yule bwana Toney ilikuwaje tukampotezea.
Nahisi usela mavi wake ndio ulimponza zaidi.Yule bwana Toney ilikuwaje tukampotezea.
Huyo striker wa Sporting si alikuwa Championship England asije kurudi EPL akaflop.Kama taarifa ni za kweli hii inamaanisha hata wao wanajua ST anahitajika.
At least uwe na mtu anayeweza kukupa goli 20 kwa uhakika kila msimu na Kai awepo.
Yeah, lolote linaweza kutokea.Huyo striker wa Sporting si alikuwa Championship England asije kurudi EPL akaflop.
Chanzo cha taarifa yako ni kipi bosi.Miezi 9![]()
Asikusumbue hyo ni shabiki lialia wa ManunuChanzo cha taarifa yako ni kipi bosi.
Tukikutana mjitahid kucheza haram ndio kidogo mtapata sare, ila mbali na hapo mkifunguka tu aisee tutawapaka vilainishi.Wasipochukua Man City kombe mtabeba nyny mkuu🤠🤠🤠....maana unawashwawashwa sana kuona tunateleza ila wapi....nakukumbusha siku za kulipanq deni zinakaribia....TAfuteni kipa na mabeki wa kueleweka....hatutaki lawama siku hyo
Anaongea mtu alogongwa kono la nyani mechi ilopita🤣🤣🤣....mna uthubutu vijana....timu yenye forward Jackson haiwezi kutufunga sisi....TAfuteni beki na viungo wa kueleweka pia yule kipa badilisheni....siku hyo hatuji kutembeq pale tunakuja kwa kazi moja tu....kuwanyonyoaTukikutana mjitahid kucheza haram ndio kidogo mtapata sare, ila mbali na hapo mkifunguka tu aisee tutawapaka vilainishi.