Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Juzi Edu alienda Ureno kuongea na Uongozi wa Gyokeres. Kama hizi ripoti ni za kweli hii inamaanisha hata uongozi wa Arsenal unajua kwamba anahitajika ST.

Hii timu yetu pale mbele ukiwa na Watkins au Rasmus ni una uhakika wa ushindi wa 3+ kila mechi
Timu inahitaji namba 9, hilo liko uchi.
 
Kama taarifa ni za kweli hii inamaanisha hata wao wanajua ST anahitajika.

At least uwe na mtu anayeweza kukupa goli 20 kwa uhakika kila msimu na Kai awepo.
Huyo striker wa Sporting si alikuwa Championship England asije kurudi EPL akaflop.
 
Huyo striker wa Sporting si alikuwa Championship England asije kurudi EPL akaflop.
Yeah, lolote linaweza kutokea.

Lukaku alikua beast EPL kisha akaflop akenda Italy akawa beast. Akarudi EPL akaflop.

Ni mara chache sajili ikadeliver bila mkwamo
 
Wasipochukua Man City kombe mtabeba nyny mkuu🤠🤠🤠....maana unawashwawashwa sana kuona tunateleza ila wapi....nakukumbusha siku za kulipanq deni zinakaribia....TAfuteni kipa na mabeki wa kueleweka....hatutaki lawama siku hyo
Tukikutana mjitahid kucheza haram ndio kidogo mtapata sare, ila mbali na hapo mkifunguka tu aisee tutawapaka vilainishi.
 
Tukikutana mjitahid kucheza haram ndio kidogo mtapata sare, ila mbali na hapo mkifunguka tu aisee tutawapaka vilainishi.
Anaongea mtu alogongwa kono la nyani mechi ilopita🤣🤣🤣....mna uthubutu vijana....timu yenye forward Jackson haiwezi kutufunga sisi....TAfuteni beki na viungo wa kueleweka pia yule kipa badilisheni....siku hyo hatuji kutembeq pale tunakuja kwa kazi moja tu....kuwanyonyoa
 
Mtu anakwambia hataki tena Arsenal anahamia Newcastle ila kila siku yupo humu humu na hata uzi wa Newcastle kuanzisha hataki. Mkimwambia aende uzi wake hataki
Screenshot_2024-10-19-10-23-04-024_com.instagram.android-edit.jpg
 
Leo kuna timu tatu mchezaji mmoja kapigwa red.

Tujiangalie hapa. Anyway, I think tunaingia kipindi ambacho tunahitaji kushinda magoli mengi ila bado hatuna watu wa kustep up au bado tunaitafuta rhythm.

Shida ni kwamba muda wa kutafuta rhythm ukifika unakuta tuna majeruhi. So tunaona bora tutafute ushindi kuliko kuukosa kabisa.

Kwenye orodha mpya ya majeruhi tuna Saka na Timber.

Merino na Sterling wanaanza leo, hopefully Sterling kaona makosa yake kutokea mara ya mwisho aliyocheza. Ila kusema kweli jamaa hajawahi kujifunza kuanzia namjia hadi leo.

Tumuone Kepa
 
Back
Top Bottom