Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I think Arsenal fans deserve an apology from Mr.Wenger and his little boys. He's been quoted saying "The only thing I regret is to have played players who should not have played" What about the fans? the humiliation they have had to put up with?
Sahihi
 
Mkuu Arsenal hawakujua kwamba Tottenham walikuwa wamejiandaa na kwamba timu ile sasa inabadilika na kucheza mpira wa kueleweka.

Ramos amewafanyia kazi wachezaji wengi tu na amepata watu walio na stamina zaidi na wepesi wa kukimbia pembeni kama mtoto Aaron Lenon na Steve Malbranque.

Hawa wachezaji wawili pamoja na Jermaine Jenas ndio wana-feed mipira mingi kwa ama Berbatov au Robie Keane kama sio watu kama Jenas.

Kama unamkumbuka kiungo Athumani China alikuwa anaweza kufunga kutokea upande wowote ule akiwa ndani ya eneo la adui na akiwa peke yake na Yanga ilikuwa inafaidika sana na China, na sasa Tottenham ndio wana Jermain Jenas.
Kwaiyo tufanyaje
 
This time naona Uongozi mtaukalia kwa muda kama wiki mbili hvi maana game ijayo ya MAN UTD ni ngumu kwa hawawapinzani wa Jadi MAN CITY, sidhan kama wataruhusu kichapo cha mfululizo kutoka kwa vigogo wa Ligi..Ila najua hasira zote za MAN UTD zitaishia pale ving'ung'uti(machinjioni) kwenye FA cup,,pale Wenger lazima awe mdogo maana atacheza na kichapo.Huu ni mtazamo wangu tu..tungoje yatakayojiri
Man United hawana maajabu
 
Wametuumiza leo, lakini ndio game asiyekubli kushindwa si mshindani. Duhh, walituzidi kila sehemu, mie naamini uchawi kwenye mpira upo na manchester,mnhhhhh, wakali wa nguvu za kiza.
Tumebondwa na nyumbu maskini
 
Arsenal ina very small squad compared to Man U au Chelsia, si unaona wenzetu walipumzisha mastaa wao lakini bado wakaja na timu kali? realistically we cant afford to compete in three different competitions, it was a matter of choosing jana priority iwe wapi kati ya FA Cup na Champions Lg. Almunia (sick), Adebayor, Flamini, Fabregas na Cliechy wote walikua na injuries, Sagna had family problems. Sasa ilikua ni a matter of choice, tuwatumie jana na kuwakosa jumatano against Milan? Ndio maana tulikua na uchochoro beki ya kulia na kushoto, kipa bomu- they played like a bunch of alcoholics lakini matunda ya kichapo cha jana yataonekana jumatano jioni! Its going to be a different game pia tukienda tena trafford kwa mechi ya ligi.
Ni kweli saka hana mbadala
 
Arsenal ya Mademu walikua wanacheza jana na Bayern Munich
Bayern Munich ni mfupa ulioshindikana kuvunjwa na Arsenyo, sio timu ya wanaume, wanawake, wazee, watoto, walemavu, single mother mpaka timu ya wajane wa Arsenyo wakipapaswa kidogo tu na hao wajerumani wanajikuta tayari wapo kwenye shaking orgasm mode.
hq720.jpg
 
Shida sio kai kuwa kai, hata van persie hakuwa dennia berkgamp wala Thierry henry, kuna vitu anafanya unastaajabu, kuna vitu basic lazima striker awe navyo, anakosa, kuna muda anatugharimu, striker unapata mpira huendi kwenye box, anaweza turn na kupiga pasi nyuma ama pembeni tena akiwa karelax na hafanyi movement nyingine ya kwenda golini..

Anyway kwa kuwa tunashinda ngumu kumlalamikia.
Hatuna forward, tunachezesha kiraka tu kwa sasa.

Jesus akiwa kwenye form nzuri ni mkali kuliko Kai.
 
Hatuna forward, tunachezesha kiraka tu kwa sasa.

Jesus akiwa kwenye form nzuri ni mkali kuliko Kai.
Namkubali Jesus, lakini kwa arteta inaonekana chaguo lake la kwanza ni kai, anampenda kai, kile kipindi kigumu alichokuwa anapitia kai, vile alikuwa anambeba na kumuonesha imani kubwa juu yake, hajawahi kuonesha hivyo kwa jesus baada ya majeruhi yale ya kombe la dunia.
 
Back
Top Bottom