makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,697
Huu ni ukweli uliowazi, mazuri yake na mabaya yake, mabaya ni mengi mnoo, kuna muda anazingua kuliko maelezo, mpira sio kila muda wa maelezo ya mwalimu kuna maeneo unahitahi uwezo binafsi, hapa kai anatiharibu mnoo, uharaka wa pasi, jicho la pasi, unyumbulifu kwake ni matatizo ya kuzaliwa nayo.Huyo KAI bado ni takataka

Vile Masingeli anavyotamania kuchangia chochote humu, lakini kila akikumbuka msimu uliopita jinsi alivyokua analeta hamasa na kuwaaminisha watu kua Arsenyo ni dude moja kuuuubwa sana halafu mwisho wa msimu ikawa kama kawaida ya wasindikizaji wengine, halafu mbaya zaidi timu aliyokua anaisagia kunguni ndio ikabeba kombe anajikuta anaishiwa nguvu. 
