Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,920
- 75,773
Partey anaumwa.Arsenal imeanza kuripoti wachezaji wake ni majeruhi ili wasiende timu za taifa.
Wa kwanza ni Kai
Haendi international duty
Partey anaumwa.Arsenal imeanza kuripoti wachezaji wake ni majeruhi ili wasiende timu za taifa.
Wa kwanza ni Kai
aje hamis77 tumemiss


Vile Masingeli anavyotamania kuchangia chochote humu, lakini kila akikumbuka msimu uliopita jinsi alivyokua analeta hamasa na kuwaaminisha watu kua Arsenyo ni dude moja kuuuubwa sana halafu mwisho wa msimu ikawa kama kawaida ya wasindikizaji wengine, halafu mbaya zaidi timu aliyokua anaisagia kunguni ndio ikabeba kombe anajikuta anaishiwa nguvu. 

Unaweza kuwa na mapungufu lakini team mates wako wakajua namna ya kuyapunguza na kuficha....unachohitaji ni kujituma tu na ndo anachokifanya bwana mdogo ngongoti Kai....na anafunga....Kai hawezi kuwa Haaland wala Van Persie wala Henry wala berghkamp....Kai ni Kai....Huu ni ukweli uliowazi, mazuri yake na mabaya yake, mabaya ni mengi mnoo, kuna muda anazingua kuliko maelezo, mpira sio kila muda wa maelezo ya mwalimu kuna maeneo unahitahi uwezo binafsi, hapa kai anatiharibu mnoo, uharaka wa pasi, jicho la pasi, unyumbulifu kwake ni matatizo ya kuzaliwa nayo.
Lakini maajabu yake kuna games unamuona anafanya flexibility ambazo huwezi kuzidhania. Halafu kuna muda unaamini anatakiwa kupiga step over lakini anapokonywa mpira.Huu ni ukweli uliowazi, mazuri yake na mabaya yake, mabaya ni mengi mnoo, kuna muda anazingua kuliko maelezo, mpira sio kila muda wa maelezo ya mwalimu kuna maeneo unahitahi uwezo binafsi, hapa kai anatiharibu mnoo, uharaka wa pasi, jicho la pasi, unyumbulifu kwake ni matatizo ya kuzaliwa nayo.
Shida sio kai kuwa kai, hata van persie hakuwa dennia berkgamp wala Thierry henry, kuna vitu anafanya unastaajabu, kuna vitu basic lazima striker awe navyo, anakosa, kuna muda anatugharimu, striker unapata mpira huendi kwenye box, anaweza turn na kupiga pasi nyuma ama pembeni tena akiwa karelax na hafanyi movement nyingine ya kwenda golini..Unaweza kuwa na mapungufu lakini team mates wako wakajua namna ya kuyapunguza na kuficha....unachohitaji ni kujituma tu na ndo anachokifanya bwana mdogo ngongoti Kai....na anafunga....Kai hawezi kuwa Haaland wala Van Persie wala Henry wala berghkamp....Kai ni Kai....
Kuna muda anafanya jambo unajiuliza huyu mchezaji kweli 😂Lakini maajabu yake kuna games unamuona anafanya flexibility ambazo huwezi kuzidhania. Halafu kuna muda unaamini anatakiwa kupiga step over lakini anapokonywa mpira.
Na ile hana uthubutu wa kufuata box
Yeah, ile kuscore inafanya kuwe na mgawanyiko.Kuna muda anafanya jambo unajiuliza huyu mchezaji kweli 😂
Kwa kuwa anafunga fumga na timu inapata ushindi, ubaya wake ni ngumu kuonekana kwa mashabiki.
Yeah, ile kuscore inafanya kuwe na mgawanyiko.
Mfano mimi naamini ST asiposcore basi awe threat kiasi kwamba defense isahau kuna wingers na AM ambao itawarahisishia kuscore.
Kai hakupi hii. Asiposcore kazi ya kucreate anawaachia wengine
Kwahiyo tufanyeje sisi mashabiki wa arsenal?Yeah, ile kuscore inafanya kuwe na mgawanyiko.
Mfano mimi naamini ST asiposcore basi awe threat kiasi kwamba defense isahau kuna wingers na AM ambao itawarahisishia kuscore.
Kai hakupi hii. Asiposcore kazi ya kucreate anawaachia wengine
Last season?Mwenye link ya kuangalia mechi yetu vs Bayern Munich. Drop it here
Wako moja moja hukoArsenal women![]()
imeishaje?Wako moja moja huko
Bayern: 5-2Arsenalimeishaje?
TumeshindaFulham:0- Asenali: 3
Mwendo Mdundo...
SahihiI think Arsenal fans deserve an apology from Mr.Wenger and his little boys. He's been quoted saying "The only thing I regret is to have played players who should not have played" What about the fans? the humiliation they have had to put up with?
Kwaiyo tufanyajeMkuu Arsenal hawakujua kwamba Tottenham walikuwa wamejiandaa na kwamba timu ile sasa inabadilika na kucheza mpira wa kueleweka.
Ramos amewafanyia kazi wachezaji wengi tu na amepata watu walio na stamina zaidi na wepesi wa kukimbia pembeni kama mtoto Aaron Lenon na Steve Malbranque.
Hawa wachezaji wawili pamoja na Jermaine Jenas ndio wana-feed mipira mingi kwa ama Berbatov au Robie Keane kama sio watu kama Jenas.
Kama unamkumbuka kiungo Athumani China alikuwa anaweza kufunga kutokea upande wowote ule akiwa ndani ya eneo la adui na akiwa peke yake na Yanga ilikuwa inafaidika sana na China, na sasa Tottenham ndio wana Jermain Jenas.