Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo KAI bado ni takataka
Huu ni ukweli uliowazi, mazuri yake na mabaya yake, mabaya ni mengi mnoo, kuna muda anazingua kuliko maelezo, mpira sio kila muda wa maelezo ya mwalimu kuna maeneo unahitahi uwezo binafsi, hapa kai anatiharibu mnoo, uharaka wa pasi, jicho la pasi, unyumbulifu kwake ni matatizo ya kuzaliwa nayo.
 
Bado kuna watu wanaamini kuwa Onana ni mbovu kuliko Raya?
Kwa vile unahitaji airtime ngoja tukupe
20231102_153649.jpg
 
aje hamis77 tumemiss
Vile Masingeli anavyotamania kuchangia chochote humu, lakini kila akikumbuka msimu uliopita jinsi alivyokua analeta hamasa na kuwaaminisha watu kua Arsenyo ni dude moja kuuuubwa sana halafu mwisho wa msimu ikawa kama kawaida ya wasindikizaji wengine, halafu mbaya zaidi timu aliyokua anaisagia kunguni ndio ikabeba kombe anajikuta anaishiwa nguvu.
Masingeli njoo useme lolote humu misukule roho zao zitapoa, maana wanakusubiria kwa hamu kuliko hata wananchi wenye hasira kali wanavyomsubiria mwizi aliejificha kwenye karavati
Screenshot_20231231-214600.jpg
 
Huu ni ukweli uliowazi, mazuri yake na mabaya yake, mabaya ni mengi mnoo, kuna muda anazingua kuliko maelezo, mpira sio kila muda wa maelezo ya mwalimu kuna maeneo unahitahi uwezo binafsi, hapa kai anatiharibu mnoo, uharaka wa pasi, jicho la pasi, unyumbulifu kwake ni matatizo ya kuzaliwa nayo.
Unaweza kuwa na mapungufu lakini team mates wako wakajua namna ya kuyapunguza na kuficha....unachohitaji ni kujituma tu na ndo anachokifanya bwana mdogo ngongoti Kai....na anafunga....Kai hawezi kuwa Haaland wala Van Persie wala Henry wala berghkamp....Kai ni Kai....
 
Huu ni ukweli uliowazi, mazuri yake na mabaya yake, mabaya ni mengi mnoo, kuna muda anazingua kuliko maelezo, mpira sio kila muda wa maelezo ya mwalimu kuna maeneo unahitahi uwezo binafsi, hapa kai anatiharibu mnoo, uharaka wa pasi, jicho la pasi, unyumbulifu kwake ni matatizo ya kuzaliwa nayo.
Lakini maajabu yake kuna games unamuona anafanya flexibility ambazo huwezi kuzidhania. Halafu kuna muda unaamini anatakiwa kupiga step over lakini anapokonywa mpira.

Na ile hana uthubutu wa kufuata box
 
Unaweza kuwa na mapungufu lakini team mates wako wakajua namna ya kuyapunguza na kuficha....unachohitaji ni kujituma tu na ndo anachokifanya bwana mdogo ngongoti Kai....na anafunga....Kai hawezi kuwa Haaland wala Van Persie wala Henry wala berghkamp....Kai ni Kai....
Shida sio kai kuwa kai, hata van persie hakuwa dennia berkgamp wala Thierry henry, kuna vitu anafanya unastaajabu, kuna vitu basic lazima striker awe navyo, anakosa, kuna muda anatugharimu, striker unapata mpira huendi kwenye box, anaweza turn na kupiga pasi nyuma ama pembeni tena akiwa karelax na hafanyi movement nyingine ya kwenda golini..

Anyway kwa kuwa tunashinda ngumu kumlalamikia.
 
Lakini maajabu yake kuna games unamuona anafanya flexibility ambazo huwezi kuzidhania. Halafu kuna muda unaamini anatakiwa kupiga step over lakini anapokonywa mpira.

Na ile hana uthubutu wa kufuata box
Kuna muda anafanya jambo unajiuliza huyu mchezaji kweli 😂

Kwa kuwa anafunga fumga na timu inapata ushindi, ubaya wake ni ngumu kuonekana kwa mashabiki.
 
Kuna muda anafanya jambo unajiuliza huyu mchezaji kweli 😂

Kwa kuwa anafunga fumga na timu inapata ushindi, ubaya wake ni ngumu kuonekana kwa mashabiki.
Yeah, ile kuscore inafanya kuwe na mgawanyiko.

Mfano mimi naamini ST asiposcore basi awe threat kiasi kwamba defense isahau kuna wingers na AM ambao itawarahisishia kuscore.

Kai hakupi hii. Asiposcore kazi ya kucreate anawaachia wengine
 
Napenda striker msumbufu, striker mwenye kukaa na boli mguuni, striker ambae beki mmoja wawili kakwe sio kesi "anawambia twende" hata asipofunga sina kesi nae, kwangu jukumu la kufunga ni kila mmoja, namba 10, wingers zote 2.
Yeah, ile kuscore inafanya kuwe na mgawanyiko.

Mfano mimi naamini ST asiposcore basi awe threat kiasi kwamba defense isahau kuna wingers na AM ambao itawarahisishia kuscore.

Kai hakupi hii. Asiposcore kazi ya kucreate anawaachia wengine
 
Yeah, ile kuscore inafanya kuwe na mgawanyiko.

Mfano mimi naamini ST asiposcore basi awe threat kiasi kwamba defense isahau kuna wingers na AM ambao itawarahisishia kuscore.

Kai hakupi hii. Asiposcore kazi ya kucreate anawaachia wengine
Kwahiyo tufanyeje sisi mashabiki wa arsenal?
 
Back
Top Bottom