verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,143
- 6,246
Hii ndo shida ya kutazama mpira kupitia LivescoreUkweli ni kwamba ninyi sio wazuri sana ila mna upepo tu misimu hii miwili.
Mmepelekwa na SOTON kiasi kwamba isingekuwa bahati ilikuwa iwe ama draw au mfungwe kabisa.
Timu imepigwa na Man Utd mbovu goli 3 na clean sheet juu imewatoa jasho hivi halafu bado mnawaza ubingwa!