Duh ila nyumbu bwana 🤣🤣Ukweli ni kwamba ninyi sio wazuri sana ila mna upepo tu misimu hii miwili.
Mmepelekwa na SOTON kiasi kwamba isingekuwa bahati ilikuwa iwe ama draw au mfungwe kabisa.
Timu imepigwa na Man Utd mbovu goli 3 na clean sheet juu imewatoa jasho hivi halafu bado mnawaza ubingwa!
Haya sawa sisi siyo wazuri. Hatujui mpira, tunabahatisha tu, nyinyi mnajua sana mpira ila ni bahati mbaya tu inawafuata kwa miaka mitano sasa.
Ila leo unaonaje? Mnampiga Villa au maumivu yataendelea?