makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,692
Karudi, ni mwendo wa benchi unadhani atajipata saa ngapi?Hio form itakuja Matchday ya ngapi bosi au mpaka mbio za ubingwa zianze.
Tunataka matokeo sasa sio siku za mbeleni.
Pamoja na majeruhi ya jesus lakini arteta kaonesha kutokumuamini kama anavyomuamini kai.