On paper Southampton ni mpinzani dhaifu ila katika mechi tano za mwisho dhidi ya Soton tumeokota points 8 tu. Na 2022 wakatupiga
Ila huu msimu hawajauanza vizuri. Ni kama vile nguvu zao wamezimaliza kwenye playoffs za kurudi EPL. Wamecheza mechi 6 na kupata point 1 tu.
Katika mpango wa kuimarisha kikosi wakamnunua Ramsdale kutoka Arsenal. Ramsdale akafungwa nyingi na kuokoa nyingi pia, meaning shida ya timu ipo kwenye game management haswa kujipanga na defense.
Last time tunasuluhu nao aliyescore goli la pili ni Walcott na ile siku ndiyo Ramsdale alionyesha jinsi alivyo mbovu.
Leo wao ndiyo wana Ramsdale golini. Let's see