Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kesho kimeo man utd kinakutana na wazee wa dozi ARSENAL mimi binafsi nadhani tutawafunga mabao machache sana kama 3 cz sioni beki gani kwa upande wa man utd anaweza kuwazuia helb&rosick kule pembeni,

pia km van persie ataanza game ya kesho,inawezekana hata idadi ya magoli nayo ikaongezeka
Man United hakuna timu pale
 
IMG_2098.png
 
On paper Southampton ni mpinzani dhaifu ila katika mechi tano za mwisho dhidi ya Soton tumeokota points 8 tu. Na 2022 wakatupiga

Ila huu msimu hawajauanza vizuri. Ni kama vile nguvu zao wamezimaliza kwenye playoffs za kurudi EPL. Wamecheza mechi 6 na kupata point 1 tu.

Katika mpango wa kuimarisha kikosi wakamnunua Ramsdale kutoka Arsenal. Ramsdale akafungwa nyingi na kuokoa nyingi pia, meaning shida ya timu ipo kwenye game management haswa kujipanga na defense.

Last time tunasuluhu nao aliyescore goli la pili ni Walcott na ile siku ndiyo Ramsdale alionyesha jinsi alivyo mbovu.

Leo wao ndiyo wana Ramsdale golini. Let's see
 
Kuna watu wanamfananisha Saka na Foden na Palmer.

Wanasahau kwamba Saka amefanya hiki anachofanya leo kwa miaka zaidi ya 3. Ndiyo sababu timu ya taifa hakuna anayeanza zaidi yake.

Hao wengine wana miezi haizidi 8 tangu muhisi wapo level moja na Saka
 
On paper Southampton ni mpinzani dhaifu ila katika mechi tano za mwisho dhidi ya Soton tumeokota points 8 tu. Na 2022 wakatupiga

Ila huu msimu hawajauanza vizuri. Ni kama vile nguvu zao wamezimaliza kwenye playoffs za kurudi EPL. Wamecheza mechi 6 na kupata point 1 tu.

Katika mpango wa kuimarisha kikosi wakamnunua Ramsdale kutoka Arsenal. Ramsdale akafungwa nyingi na kuokoa nyingi pia, meaning shida ya timu ipo kwenye game management haswa kujipanga na defense.

Last time tunasuluhu nao aliyescore goli la pili ni Walcott na ile siku ndiyo Ramsdale alionyesha jinsi alivyo mbovu.

Leo wao ndiyo wana Ramsdale golini. Let's see
Umenena safi kabisa kaka. Kwa kua tunahitaji kila point tuna wajibu wa kushinda kila game.
 
Kuna watu wanamfananisha Saka na Foden na Palmer.

Wanasahau kwamba Saka amefanya hiki anachofanya leo kwa miaka zaidi ya 3. Ndiyo sababu timu ya taifa hakuna anayeanza zaidi yake.

Hao wengine wana miezi haizidi 8 tangu muhisi wapo level moja na Saka
Foden ana EPL kibao kenge saka miaka saba hola.

Palmer kafikisha namba za saka kwa kucheza michezo 60 pungufu
 
Mtangazaji anasema hii mechi ikifika half time Arsenal haiongozi watarnda kujiuliza sana dressing room
 
Back
Top Bottom