Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama unacheza draft kama mimi utakua unaelewa jinsi gani it is very frustrating kucheza na mtu ambaye akili yako inakuambia huyu natakiwa kumfunga lakini kila ukitia mguu anakupasua.

Yaani unaona mbona formula yake ni nyepesi ila sioni pa kupita, kutahamaki kwenye games tatu kakufumua mbili. Na ubaya ni kwamba anakufunga magoli yanayokufanya uone huyu hana uwezo sana, so unazidi kucheza naye na anazidi kukupasua.

Akicheza na mtu mwingine unaangalia unaona weaknesses zile pale ngoja nirudi tena nimuonyeshe. Unarudi anakupasua tena.

Huyo mtu sasa ndiyo Arsenal.
Ni kweli kaka, Arsenal anacheza siku hizi unaona kama huyu nikikaza namfunga ila ndo hivo tena unafungwa halafu unabaki kumiliki tu mpira.
 
Timu haijawahi kubeba uefa 🤣🤣🤣
Unahangaika sana shehe.....TAfuteni viungo wa kueleweka....baada ya International break kilichowatokea wenzenu PSG jana na nyny kipo njiani....mnaingia uwanjani mnaona hii ngoma tunashinda kabisa ila mwsho wa mpira nyny ndo mnatoka na manundu🤣🤣🤣🤣
 
Iyo siku Ramsdale atakua ni prime Buffon
Nimeona mechi ya mwisho tulitoka nao 3:3 .
Hapo ni kucheza kwa nidhamu, kwetu kila point ni muhimu. Game ya jana tulicheza safi tunakabia kati na tukipata chance ni kutafta goli.
Natumai tutachukua point tatu, ila tutengeneze goal difference kubwa pia.
 
Castr ben white ana shida gan ata bench jana akuwepo na kuhusu timber jana alipata majeruhi au?
Ben White anasumbuliwa na groin issue tangu game ya kabla ya City.

Timber alihisi misuli inamsumbua. Kutokana na injury yake ilitakiwa asicheze dakika nyingi ila Benchi limemuoverdose
 
Screenshot_20241002-093242_1.jpg

17 clean sheets 💪

Nani mwingine wa kufata nyayo zetu?

We are Gunners 💪💪💪
 
Hizo clean sheet zimewapa makombe mangapi
Uko active kule kwny jukwaa lenu kama huku shehe??...unatuandama sana aisee....PSG walikuja wamejiandaa kwlikwli...lakini wametoka hawaamini....na nyny mjipange aisee....hatutaki lawama tukikutana na Yale matobo yenu mnayoacha kule nyuma
 
Kile kiligi chenu mnacheza lini mkuu....maana kule mnacheza na timu za ajabuqjabu kwli....sijui mnacheza na mafundi gereji kule....maana timu hazijulikani zinacheza ligi gani na zipo nafasi ya ngapi
😂😂😂😂Haohao mafundi gereji tunaenda kuongeza kwenye kabati kombe lingine la conference kwa mara ya kwanza na kuleta maqna hqlisi ya pride of london.... uefa sio ya wala nyeto km nyie huko kuna wenyewe...ngoja mbeleni mkutane na mabasha wenu bayern
 
Ben White anasumbuliwa na groin issue tangu game ya kabla ya City.

Timber alihisi misuli inamsumbua. Kutokana na injury yake ilitakiwa asicheze dakika nyingi ila Benchi limemuoverdose
ok mkuu shukrani , maana yulr kiwior simuamini kabisaaa
 
😂😂😂😂Haohao mafundi gereji tunaenda kuongeza kwenye kabati kombe lingine la conference kwa mara ya kwanza na kuleta maqna hqlisi ya pride of london.... uefa sio ya wala nyeto km nyie huko kuna wenyewe...ngoja mbeleni mkutane na mabasha wenu bayern
Kila la heri mkuu🤠🤠🤠....mabasha zenu nyny nadhani unawajua....yaani Kila wakikuinamisha ni hmu tu🤠🤠🤠....jitahidini aisee mwaka huu walau mkaze kidogo....sio mkiombwa tu mnatoa nzimanzima
 
Kuna kimbunga kinaitwa cole palmer yeye peke yake anaweza akashusha dhahama hapo arsenyeto bila kuwasahau kina sancho , nkunku, neto ....unqtamba kuifunga chelsea kikosi chenyewe kilipangwa kikosi cha kindezi na tapeli poche ..😂
Uwii...hebu hii mechi yetu na kenge ifike haraka!! Hizi ni dharau na kujisahaulisha kuwa hapo darajani ni uwanja wetu wa mazoezi
 
Ni kweli kaka, Arsenal anacheza siku hizi unaona kama huyu nikikaza namfunga ila ndo hivo tena unafungwa halafu unabaki kumiliki tu mpira.
Achana na mtu, kuna lile somo ambalo ulikuwa unaona hili nikisoma kidogo nafaulu then unakesha kulisoma matokeo yakija chali.
 
Back
Top Bottom