IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,085
Tulia wewe. Hivi Southampton unawajua vzr?Ila mwana huwa unawaponza sana wenzie,
Yani kila timu ukiiombeaga ishinde inakutana na upepo mchafu
Tulia wewe. Hivi Southampton unawajua vzr?Ila mwana huwa unawaponza sana wenzie,
Yani kila timu ukiiombeaga ishinde inakutana na upepo mchafu
Uzuri sisi tunajua umuhimu wa kila mechi kwetu. Hatuhitaji kupayuka hapa mtandaoni kukuaminisha kuwa tunajua tunachotaka.Tulia wewe. Hivi Southampton unawajua vzr?
Aseeee jamaa anatubeba sanaMapafu ya Kai ndio yanatubeba mpaka leo aisee,mnao msema mjifunze kumpa heshima yake
Kumbe ni mshika bunduki mwenzetu Lialia
Basi tunalopaki sio poa.Villa kapaki basi na kampiga Bayern.
Bayern walikua na kosakosa nyingi kweli kweli lakini mwisho Duran akawatuliza.
Kila mtu ataisifia Villa ingawa haram football walilopiga likipigwa na Arsenal ni lawama na kuambiwa tunatembelea dark arts.
Let's see
Huyu jamaa namuelewa sana aseee back up ya saka kabisa arteta afanye mpango
Hii level tuko nayo nyie hamtaifikia Kwa kiungo kile mlichonacho 🏋️🏋️Hizo clean sheet zimewapa makombe mangapi
Aseeee jamaa anatubeba sana
Kai Havertz:
Tulipata ushindi mwembambaHongera kwa jana, nami ni arsenal, Wigan 0- 1 Arsenal, inatia moyo.
Baadaye.
Tunatokawaungwana mambo vipiiiii?leo tunakipiga na portsmouth ndani ya dimba la kisasa zaidi,vipi wazee tutatoka?mahali pa kujinyakulia pointi ndi hapaaaaa
TutajirekebishaMatokeo ni draw, 2-2. Upepo bado sio mzuri licha ya kutawala game kwa muda mrefu baada ya kusawazisha.
Hii timu ni kazi buredah kweli chama letu lina hali mbaya ila ni mambo ya mpito bado nina imani na chama letu litafanya mambo makubwa siku za usoni hususani bwana magoli henry.
worm chelsea hawana chochote usajili mkubwa timu hamna,msiombe tukutane raundi ya pili emirates tutawachakaza vibaya sana,
Mwezi wa pili sio mbali tutaonaAsenali itabaunsi baki, cheki speed yake by mwezi wa pili next year!
Tunavumilia tuusijihisi mnyonge arsenal inapita katika mabadiliko makubwa ya uchezaji ndani yatimu,pili wachezaji wengi ni wageni katika kuhimili mikiki ya ligi ya ulaya hata uingereza omba tuingie robo fainali ya ulaya utaona jinsi timu itakavyo anza kijiamini mabadiliko utayaona tatu majeruhi mengi ni kwa wakongwe ambao tulitegemea ndio wangeweza kuwapa ujasiri wegeni vuta subira mambo yanakuja baada ya majeruhi kusimama sawa huku wageni kama unvyo ona wanaanza kutulia katika uchezaji mambo mazuri hayataki haraka
Tunashukuru saanaThe Gunners
DrWHO upo babake? Mbona mmezimika ghafla? Hahaha visingizio haviishi ninyi! Mara maumivu wengi... Mara mwakani ni mauaji... Hahaha ama kweli sikio la kufa___ (siku hizi najua kiswahili vema tu).
DrWHO nakuonea huruma kweli, timu kimeo kimeo kimeo kimeoooooo! david nae naona kaamua kuja
The Blues
kwa kujua kuwa bunduki zimeishiwa risasi. If you can't fight us... Join us mates!
Haha, niliingia kuwasabhai na kuwatakia sikukuu njema za Noel na Mwaka mpya!
Nawapenda na kuwaombea uzima daima!
wOrM
Ngoja niwai BBCJAMANI LEO MATCHDAY
ARSENAL v/s LIVERPOOL
bbc 1 wataonyesha game hiyo