Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee kuweni na Shukrani tumewapa mashine za kazi Harvetz, Jognho na Sterling, tuongezeeni angalau pesa kidogo basi acheni ubahili.
 
Unadhani nani akianza hapo ukengeni anaweza akatikisa kidogo huu mbuyu aka gunners
Kuna kimbunga kinaitwa cole palmer yeye peke yake anaweza akashusha dhahama hapo arsenyeto bila kuwasahau kina sancho , nkunku, neto ....unqtamba kuifunga chelsea kikosi chenyewe kilipangwa kikosi cha kindezi na tapeli poche ..😂
 
Fofana na Colwill....vyte vichochoro....Cucurella minywele ndo akili hamna kabisa....Enzo ile million 100 mlipigwa....wacha siku ifuke tuone huo mpira mtachezea wapi.....timu miaka 4+ tukikutana hampati matokeo ya kueleweka alafu mnakuja hmu kutuvimbia....kwa kipi hasa
Endelea kuota hvyohvyo😂
 
Kuna kimbunga kinaitwa cole palmer yeye peke yake anaweza akashusha dhahama hapo arsenyeto bila kuwasahau kina sancho , nkunku, neto ....unqtamba kuifunga chelsea kikosi chenyewe kilipangwa kikosi cha kindezi na tapeli poche ..😂
Hivi mna clean sheet ngapi?

Mna defense na system ya kuzuia tusipate goli?

Arsenal ina clean sheet ngapi? Ina defense na system ya kuzuia msipate goli?
 
Baada ya mechi ya juzi goli la 3 kufunga Trossard kuna mtu amesema hivi.

Haiwezekani red ipatikane kwenye mechi ngumu halafu adhabu ikamalizwe na mechi ndogo kama ya Carabao ambayo inawezekana hata kocha wake angempumzisha.

Kwanini adhabu isingeenda kwenye mechi dhidi ya Leicester?

Oya 😅😅 tuna maadui pande zote
 
Sio mfupi ila kakutana na watu warefu shehe🤠🤠🤠....yaani sasahivi pale Arsenal wafupi ni Timber...Saka... Sterling....trossard...Jesus... odegaard...ambao hao ukiwacheki Wana kimo cha kawaida ila wakisimama na kina kina merino wanaonekana ni viandunje.....Chelsea wajiandae kwakwli.....hiki kidomodomo cha kina Mkohoti...hakyanani siku hyo kitawaramba....lile kono la nyani washalisahau
Endeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.

UEFA tu mnatoka makundi kondoo nyie.
 
Endeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.

UEFA tu mnatoka makundi kondoo nyie.
Nyie wachumba tu Apo darajani sisi ghetto letu la kupumzikia ndio maana mkija pale uwanja wa ndege, tuna wakojoza sio chini ya bao tatu

Chelkenge mnafosi bifu, hamsumbui.
 
Endeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.

UEFA tu mnatoka makundi kondoo nyie.
Uzuri ligi hii mechi zinasogea na tunazidi kukaribia kucheza....wacha siku ifike tuone huo mpira wenu....nyny ni watoto wadogo sana....mjitafute kwa miaka 3 hivi
 
Kuna kimbunga kinaitwa cole palmer yeye peke yake anaweza akashusha dhahama hapo arsenyeto bila kuwasahau kina sancho , nkunku, neto ....unqtamba kuifunga chelsea kikosi chenyewe kilipangwa kikosi cha kindezi na tapeli poche ..😂
Tunamuombea Hyo digidigi wenu asiumie mpk siku tutakayokutana....halafu tuone hayo magoli yatapitia wapi🤠🤠🤠....nyny ni misukule yetu mda wwte tunajipigia tu....kimoko...vitqtu...kono la nyani....yaani idadi yyte
 
Endeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.

UEFA tu mnatoka makundi kondoo nyie.
Hakika Binadamu wepesi sana kusahau,yaani ile mikojo mitano umeshaisahau unamwaga mashuzi humu bila hata aibu
 
Namuona mtaalam Merino yupo kwenye benchi.
Chekini stats hizo.
 

Attachments

  • Screenshot_20241001-214053.png
    Screenshot_20241001-214053.png
    393.8 KB · Views: 7
Sasa isije ikawa kama ya Leicester eti second half tunaruhusu 2 goals.
Arteta atakua amewaambia.
 
Back
Top Bottom