IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,085
Failures wa UCL wanacheza leo. Psg hana UEFA
Arsenali hana UEFA.
Full time Psg 5 Arsekenge 0
Saliba umeme
Arsenali hana UEFA.
Full time Psg 5 Arsekenge 0
Saliba umeme
Psv au psgFailures wa UCL wanacheza leo. Psv hana UEFA
Arsenali hana UEFA.
Full time Psg 5 Arsekenge 0
Saliba umeme
Kuna kimbunga kinaitwa cole palmer yeye peke yake anaweza akashusha dhahama hapo arsenyeto bila kuwasahau kina sancho , nkunku, neto ....unqtamba kuifunga chelsea kikosi chenyewe kilipangwa kikosi cha kindezi na tapeli poche ..😂Unadhani nani akianza hapo ukengeni anaweza akatikisa kidogo huu mbuyu aka gunners
Endelea kuota hvyohvyo😂Fofana na Colwill....vyte vichochoro....Cucurella minywele ndo akili hamna kabisa....Enzo ile million 100 mlipigwa....wacha siku ifuke tuone huo mpira mtachezea wapi.....timu miaka 4+ tukikutana hampati matokeo ya kueleweka alafu mnakuja hmu kutuvimbia....kwa kipi hasa
Hivi mna clean sheet ngapi?Kuna kimbunga kinaitwa cole palmer yeye peke yake anaweza akashusha dhahama hapo arsenyeto bila kuwasahau kina sancho , nkunku, neto ....unqtamba kuifunga chelsea kikosi chenyewe kilipangwa kikosi cha kindezi na tapeli poche ..😂
Endeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.Sio mfupi ila kakutana na watu warefu shehe🤠🤠🤠....yaani sasahivi pale Arsenal wafupi ni Timber...Saka... Sterling....trossard...Jesus... odegaard...ambao hao ukiwacheki Wana kimo cha kawaida ila wakisimama na kina kina merino wanaonekana ni viandunje.....Chelsea wajiandae kwakwli.....hiki kidomodomo cha kina Mkohoti...hakyanani siku hyo kitawaramba....lile kono la nyani washalisahau
Nyie wachumba tu Apo darajani sisi ghetto letu la kupumzikia ndio maana mkija pale uwanja wa ndege, tuna wakojoza sio chini ya bao tatuEndeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.
UEFA tu mnatoka makundi kondoo nyie.
Uzuri ligi hii mechi zinasogea na tunazidi kukaribia kucheza....wacha siku ifike tuone huo mpira wenu....nyny ni watoto wadogo sana....mjitafute kwa miaka 3 hiviEndeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.
UEFA tu mnatoka makundi kondoo nyie.
Tunamuombea Hyo digidigi wenu asiumie mpk siku tutakayokutana....halafu tuone hayo magoli yatapitia wapi🤠🤠🤠....nyny ni misukule yetu mda wwte tunajipigia tu....kimoko...vitqtu...kono la nyani....yaani idadi yyteKuna kimbunga kinaitwa cole palmer yeye peke yake anaweza akashusha dhahama hapo arsenyeto bila kuwasahau kina sancho , nkunku, neto ....unqtamba kuifunga chelsea kikosi chenyewe kilipangwa kikosi cha kindezi na tapeli poche ..😂
Hakika Binadamu wepesi sana kusahau,yaani ile mikojo mitano umeshaisahau unamwaga mashuzi humu bila hata aibuEndeleeni kukariri, mashabik wa arsenal ni wavivu kufikiri. Yaan mnajiweka kombe linawaniwa baina ya City na Arsenal tu basii. Mtashtuka lini usingizin nyie watu. Hamna kitu mnaweza kubeba nyie vilaza labda kubeba mimba.
UEFA tu mnatoka makundi kondoo nyie.