Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu misimu saba haina trademark playing style ni aibu kubwa sana hii Uefa mnasindikiza tu
 
Kama unacheza draft kama mimi utakua unaelewa jinsi gani it is very frustrating kucheza na mtu ambaye akili yako inakuambia huyu natakiwa kumfunga lakini kila ukitia mguu anakupasua.

Yaani unaona mbona formula yake ni nyepesi ila sioni pa kupita, kutahamaki kwenye games tatu kakufumua mbili. Na ubaya ni kwamba anakufunga magoli yanayokufanya uone huyu hana uwezo sana, so unazidi kucheza naye na anazidi kukupasua.

Akicheza na mtu mwingine unaangalia unaona weaknesses zile pale ngoja nirudi tena nimuonyeshe. Unarudi anakupasua tena.

Huyo mtu sasa ndiyo Arsenal.
 
Back
Top Bottom