Nicorandil
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 268
- 760
Sector ya set pieces tumekuwa moto sana.Haters kazi wanayo msimu huu
Tunafunga migoli ya Dark arts tu hadi kieleweke
Second half tukipata la tatu tutumie Dark Arts.
Sector ya set pieces tumekuwa moto sana.Haters kazi wanayo msimu huu
Tunafunga migoli ya Dark arts tu hadi kieleweke
Hawa leo wameyakanyagaSector ya set pieces tumekuwa moto sana.
Second half tukipata la tatu tutumie Dark Arts.
Pira harm unaona muda wowote mnafungwa na pia unaona muda wowte mnafunga hatimaye game inaisha 😀😀Arsenal tumevuka kwenye mpira haram sasa tunawapigia wapinzani PIRA P DIDDY.. 😂
Lete wewe timu yako shehePsg ni timu iliyojifia tangu siku nyingi.
Jukwaa ni la Arsenal fans ila mamluki wengi sana chief asikusumbue.Lete wewe timu yako shehe
Ona kama huyu churaTimu misimu saba haina trademark playing style ni aibu kubwa sana hii Uefa mnasindikiza tu
AkajifarijiFailures wa UCL wanacheza leo. Psg hana UEFA
Arsenali hana UEFA.
Full time Psg 5 Arsekenge 0
Saliba umeme
Ndiyo shida ya PSG, mbio, individual brilliance na flash plays za hapa na paleHawa leo wameyakanyaga
Tumewavuruga kwenye duels wao wanategemea mibio
Umeanza!Psg ni timu iliyojifia tangu siku nyingi.
Anaumia sanaOna kama huyu chura
Siku yetu yajaTimu haijawahi kubeba uefa 🤣🤣🤣