Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

It's looking good bruv
20240930_202522.jpg
 
Hivi unajua kwamba Lcm na Rcm wakiwa btl kwenye zile half spaces wanasaidia kumpin mpinzani nyuma muda mwingi? Sababu 3 attackers wanawapin back 4, 2 CMs wanapin kiungo, hawa viungo wa upinzani wasipo retreat, advantage wanakuachia space ya kuwaumiza, nyuma una watano against 4 (an overload ) beat the pressure, arrive safely to the final third and make things happen. 433 bado ni mfumo bora sana kwa ku posess na kushinda. Timu za double pivot naonaga sababu kubwa hazina proper holding mid, muangalie Slot au hata pep akimkosa Rodri, Chelsea na hata De zebri pia.
 
Timu zote kubwa zina double pivot kasoro wanyama sisi, Partey kaisha kinguvu ila akili ndio inamrudia sasa, kweli IQ na nguvu huwa havikai pamoja. Namuelewa sana namna anavyocheza siku hizi, very safe, clean and secured.
 
Tuliza mshono dogo.... asubuhiasubuhi ushaamkia huku jukwaani....Rudi kule kwenu mkajadiliane namna ya kupunguza hamsa nyingine tukikutana maana kipigo kipo palepale
Poch mashavu tu alikua anawatoa jasho, kipindi hichi hamtapata bahat ya kuzawadiwa goli.
 
Mbona kama mwana anaonekana mfupi sana...
Au ni photoshop
Sio mfupi ila kakutana na watu warefu shehe🤠🤠🤠....yaani sasahivi pale Arsenal wafupi ni Timber...Saka... Sterling....trossard...Jesus... odegaard...ambao hao ukiwacheki Wana kimo cha kawaida ila wakisimama na kina kina merino wanaonekana ni viandunje.....Chelsea wajiandae kwakwli.....hiki kidomodomo cha kina Mkohoti...hakyanani siku hyo kitawaramba....lile kono la nyani washalisahau
 
Sio mfupi ila kakutana na watu warefu shehe🤠🤠🤠....yaani sasahivi pale Arsenal wafupi ni Timber...Saka... Sterling....trossard...Jesus... odegaard...ambao hao ukiwacheki Wana kimo cha kawaida ila wakisimama na kina kina merino wanaonekana ni viandunje.....Chelsea wajiandae kwakwli.....hiki kidomodomo cha kina Mkohoti...hakyanani siku hyo kitawaramba....lile kono la nyani washalisahau
Hata msimu uliopita kulipowakanda vitano
Kabla ya mechi walikuwa wanajiamini sana
Hawakuamini hadi harvetz anawapiga
 
Hata msimu uliopita kulipowakanda vitano
Kabla ya mechi walikuwa wanajiamini sana
Hawakuamini hadi harvetz anawapiga
Afu kwa kazi anayofanya ngongoti Kai bishoo...kwakwli tutawaongezea af tatu majirani zetu kwa kutupatia ile mashine
 
Naona msimu huu wametushindwa wameanza kutoa milio mapema,
Wanasema tunatumia dark arts
Bado hawajatoa mlio mbona....mwezi wa 2 huko ndo watahamia wte kwa kipara guardiola baada ya kuona mambo magumu....sasahivi wacha tuwaswage taratibu
 
Sio mfupi ila kakutana na watu warefu shehe🤠🤠🤠....yaani sasahivi pale Arsenal wafupi ni Timber...Saka... Sterling....trossard...Jesus... odegaard...ambao hao ukiwacheki Wana kimo cha kawaida ila wakisimama na kina kina merino wanaonekana ni viandunje.....Chelsea wajiandae kwakwli.....hiki kidomodomo cha kina Mkohoti...hakyanani siku hyo kitawaramba....lile kono la nyani washalisahau
Unahisi wataanza kina disasi n badiashile sio?😂
 
Unahisi wataanza kina disasi n badiashile sio?😂
Fofana na Colwill....vyte vichochoro....Cucurella minywele ndo akili hamna kabisa....Enzo ile million 100 mlipigwa....wacha siku ifuke tuone huo mpira mtachezea wapi.....timu miaka 4+ tukikutana hampati matokeo ya kueleweka alafu mnakuja hmu kutuvimbia....kwa kipi hasa
 
Back
Top Bottom