Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi hizo dark arts tunazoambiwa tunatumia ni zipi waungwana
Breaking flow play ya wapinzani. Mfano wanashambulia mnawafanyia light foul, mpira unasimamishwa ila mchezaji hapati kadi.

Kupoteza muda. Kipa kulala na mchezaji kuonyesha kaumia anahitaji medical team imtibu. Hapa hapa pia ni medical team kutumia muda mrefu uwanjani.

Tauntings.

Kumzingira kipa muda wa set pieces.

N.k.

Baada ya C115y kupasuka goli la kona juzi ndiyo haya mambo yameanza
 
Screenshot_2024-09-28-20-05-22-233_com.mobilefootie.wc2010-edit.jpg
Jamaa kafichwa Leo
 
Ameandika mdau

"Mads Hermansen's 13 saves is the most in a Premier League match since December 2017. David de Gea against... you guessed it."

😃😃😃😃😃

20240929_071022.jpg
20240929_071024.jpg
 
Ww mbona crystal palace alikutoa kamasi Nyumbani kwako🤠🤠🤠...unaongea nn ww bwana mdgo...uzuri mwezi wa 11 tutakutana...tutaona hiki kidomodomo chako utakiweka wapi
Wewe huna uwezo wakuifunga Chelsea hii ya magoal ushindi wako ni kusuluhu tena wa kupaki bus tofauti na hapo goal nyingi zinakuhusu
 
Wewe huna uwezo wakuifunga Chelsea hii ya magoal ushindi wako ni kusuluhu tena wa kupaki bus tofauti na hapo goal nyingi zinakuhusu
Hii Chelsea tunayoibutua miaka 4 sijui 5 mfululizo au🤣🤣🤣....au labda Chelsea gani..hii ya kina Jackson na Madueke sio🤠🤠🤠....uzuri tutakutana wte tumekamilika...nyny mpo kamili na sisi kamili halafu tuone nani atatoka anamtukana kocha wake
 
Ameandika mdau

"Mads Hermansen's 13 saves is the most in a Premier League match since December 2017. David de Gea against... you guessed it."

😃😃😃😃😃

View attachment 3109954View attachment 3109955
Huyu akipata timu yenye defense nzuri ni bonge la kipa. Jana ikabidi niangalie stats zake, yaani kwa umri wake bado ana room ya kujifunza zaidi
 
Sikubaliani sana na wewe, Wolves walikuwa na mfululizo wa mechi ngumu, lakini ni wazuri
Dhidi ya Villa.
Mara ya mwisho Villa kumfunga Wolves ni 2020 kabla ya juzi.

Dhidi ya Brighton.
Hii ni miongoni mwa timu ambazo zinamnyanyasa Wolves kati ya walizokutana nazo.

Dhidi ya Newcastle.
Newcastle na Wolves hua wanabadilishana ushindi.

Dhidi ya Nottingham.
Mara ya mwisho Wolves anafungwa na huyu ni 2018 kwenye Championship.

Notice pia katika hizi mechi kuna zingine anaanza yeye kuscore ila game management inakua ya hovyo. Hapa ndiyo nasema kwa sasa huna haja ya kuwaamini Wolves.

Kwa Wolves tuliyoikariri ina % kubwa za kushinda dhidi ya Forest, % kidogo kwa Villa ya sasa ingawa history inawabeba hapa, % kidogo tena kwa Newcastle na kidogo mno kwa Brighton.
 
Vp na brighton aliyekutoa kamasi nyumban kwenu mbona humuongelei
Nitaongelea siku mtakayotufunga mkuu....timu mnakaa miaka 5 hata tuchezeshe kikosi cha 7 hamtufungi halafu mnakuja kupiga kelele hmu ndani🤠🤠🤠....mwaka huu mwezi wa 11 tutakutana pale kwenu halafu tuone huo mpira wenu mtachezea wapi.....yaani timu beki fofana na Disasi ndo mtusumbue kabisa akili kwli??
 
Back
Top Bottom