Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nitaongelea siku mtakayotufunga mkuu....timu mnakaa miaka 5 hata tuchezeshe kikosi cha 7 hamtufungi halafu mnakuja kupiga kelele hmu ndani🤠🤠🤠....mwaka huu mwezi wa 11 tutakutana pale kwenu halafu tuone huo mpira wenu mtachezea wapi.....yaani timu beki fofana na Disasi ndo mtusumbue kabisa akili kwli??
Endelea kukalilišŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚...
 
Ww mbona crystal palace alikutoa kamasi Nyumbani kwako🤠🤠🤠...unaongea nn ww bwana mdgo...uzuri mwezi wa 11 tutakutana...tutaona hiki kidomodomo chako utakiweka wapi
Arsenyetoz hamna ubavu wa kutuvimbia sisi ,nyie ni watoto wadogo sana tena mayai mayai.
Tutawanyoosha sana msimu huu
 
Arsenyetoz hamna ubavu wa kutuvimbia sisi ,nyie ni watoto wadogo sana tena mayai mayai.
Tutawanyoosha sana msimu huu
Huo uwezo hamna nyny malofa....timu Lina miaka karibu 10 nje ndani tunaligeuza ndo lije kutusumbua Sasa....mda ukifika wa kuingia bandani mnaingia taratibu kuchinjwa
 
Mbuzi wote walioona Arsenal kupiga haram football ni dhaifu naona wanagewa test
 
Mbuzi wote walioona Arsenal kupiga haram football ni dhaifu naona wanagewa test
Leo nilikuwa naangalia game ya Ipswich na villa nikasikitika sana....emery yy huwa hajui kukaba kabisa yule mzee....timu ndogo ndo zinamfaa...timu kubwa hawezi presha yake yule kocha
 
image_2024-09-29_195752416.png

Hua nasema Arteta ni tapeli mnabisha. Haya huenda Kalafiori makaliza msimu
 
Leo nilikuwa naangalia game ya Ipswich na villa nikasikitika sana....emery yy huwa hajui kukaba kabisa yule mzee....timu ndogo ndo zinamfaa...timu kubwa hawezi presha yake yule kocha
Strategist mzuri but anafocus na attack kuliko defense
 
Back
Top Bottom