John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Endelea kukaliliššš...Nitaongelea siku mtakayotufunga mkuu....timu mnakaa miaka 5 hata tuchezeshe kikosi cha 7 hamtufungi halafu mnakuja kupiga kelele hmu ndaniš¤ š¤ š¤ ....mwaka huu mwezi wa 11 tutakutana pale kwenu halafu tuone huo mpira wenu mtachezea wapi.....yaani timu beki fofana na Disasi ndo mtusumbue kabisa akili kwli??
