HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Wamepambana kwa kweli. Watu 9 ndani ya boxLeicester hawataki hata kona 😅😅
Wao wamejiandaa kuja kukaba kona tu
Wamepambana kwa kweli. Watu 9 ndani ya boxLeicester hawataki hata kona 😅😅
Wao wamejiandaa kuja kukaba kona tu
Hahaha kengeFalse hopers kwenye default mode ,mchezaji gani anaitwa calafiori sijui Nwaneri sijui saka ,majina mabovu ,we uliona wapi
Hiyo dozi tuliwapiga nayo City 😅😅Hawa majamaa wanajazana ndani ya box kama kiberiti kipya
TunaongozaMwanaheri ameingia kuwaokoa asenyeto
Daaaah!!!Mwanaheri ameingia kuwaokoa asenyeto
Alidhani Sterling amempora kipa maliLogic ya goli kukataliwa iko wapi? Huyu refa mpuuzi





Kenge limeandika utumbo halafu limekimbia 🤣🤣False hopers kwenye default mode yenu
kahongwa na man city..Logic ya goli kukataliwa iko wapi? Huyu refa mpuuzi