Na goli la 3 deflection ya nani?Justin ameamua kumrudishia tena Kai goli kama shukrani ya kumsaidia kwa ile deflection.
Sikuona tatizo la kalafiori at first place shida ni trossad alitakiwa kutrack space ilitoachwa na cala kumbuka Kala alienda kumark what if ule mpira ungetua mbele ya Kala kama ange mark mfungaji wa goli alitakiwa kumark watu wawili asingeweza kosa ni la Trossad kuchelewa kudrop ile spaceKuna pattern naiona hapa.
Arteta alilazimisha kumchezesha Kai games nyingi hata baadhi ya defeats na draws zilisababishwa na uwepo wa Kai.
Saa hii anamchezesha Calafiori ingawa kuna makosa yanaonekana kwa urahisi tu. Notice kwamba Kiwior did a better job.
Ila kocha anakomaa na Calafiori.
Absurd
Kai mikazo kaona leo hafungi akaamua amtungue David raya🤣🤣🤣...ila yule striker wangu najaribu sana kumtetea kwa wananchi maana hawamuelewi....kikubwa tumeshinda....tuendelee kushinda mpk midfield yetu irudi....then hapo tutakuwa sawa....hyu mzee Partey tyri jua lishazama sio yule tuliyemzoea....Merino akirudi anabeba namba yake kiwepesi sanaWamepambana kwa kweli. Watu 9 ndani ya box
Ni muda sasa inabidi aanze alongside Rice and ParteyAnaingia Nwaneri na unaona kaingia mchezaji ana hamu alete impact
Defensively bado kuna vichache vya kuimproveCalafioti is not that much bad nadhani unamchukia tu
Kai mbona kafunga mkuu?Kai mikazo kaona leo hafungi akaamua amtungue David raya🤣🤣🤣...ila yule striker wangu najaribu sana kumtetea kwa wananchi maana hawamuelewi....kikubwa tumeshinda....tuendelee kushinda mpk midfield yetu irudi....then hapo tutakuwa sawa....hyu mzee Partey tyri jua lishazama sio yule tuliyemzoea....Merino akirudi anabeba namba yake kiwepesi sana
Ila mkuu ,mna hali mbaya ninyi matapeli , mna hali mbaya nawaambia ,kama Leicester kawatoa jasho hivi Mkikutana na chuma cha pua miamba Chelsea lazima mpigwe na vitu vizito vyenye ncha kali vichwani .Kenge walivyopata goli nne mapema wakajua watshinda nyingi 🤣🤣🤣
Yeah, kwenye r/L BACKSDefensively bado kuna vichache vya kuimprove
Ww mbona crystal palace alikutoa kamasi Nyumbani kwako🤠🤠🤠...unaongea nn ww bwana mdgo...uzuri mwezi wa 11 tutakutana...tutaona hiki kidomodomo chako utakiweka wapiIla mkuu ,mna hali mbaya ninyi matapeli , mna hali mbaya nawaambia ,kama Leicester kawatoa jasho hivi Mkikutana na chuma cha pua miamba Chelsea lazima mpigwe na vitu vizito vyenye ncha kali vichwani .
Slot alivojiona kashinda mechi kadhaa,akaanza kujinadi.... hii ni epl,sio eredvisieLiverpool anapumulia mpira
Chief unaizungumzia timu ambayo haina play maker.Ila mkuu ,mna hali mbaya ninyi matapeli , mna hali mbaya nawaambia ,kama Leicester kawatoa jasho hivi Mkikutana na chuma cha pua miamba Chelsea lazima mpigwe na vitu vizito vyenye ncha kali vichwani .
Wolves wana form mbaya. Usiwaamini mpaka filimbi ya mwishoSlot alivojiona kashinda mechi kadhaa,akaanza kujinadi.... hii ni epl,sio eredvisie