Arsenal (The Gunners) | Special Thread

 
Doku akipiga ball mbaliii

View attachment 3104375
wanajaribu sana kupigisha shoti Ili tupoteze focus ila wapi🤠🤠🤠....hzi mechi Tano za kwanza walimwengu walijua kuna vichapo vitakuwepo ila wapi...mpk Sasa yule wa juu katuacha points mbili....Spurs away na City away tumebeba points 4....kiukweli Manunu na Chelkenge na Livakuku wajiandae kabisa....hatutaki malalamiko tukikutana
 
Mkuu uko sahihi sana kwa Doku kutopewa adhabu kwa kuchelewesha mpira makusudi, lakini je, sheria ilikosea kumhukumu Trossard kwa kosa la kuchelewesha mchezo?

Wakati mwingine kufanikisha jambo kwenye maisha tunahitaji bahati, kitu ambacho Arsenal mnakosa sasa hivi kwa kudhani nyie ni champion material kama ilivyokuwa kipindi Liverpool anafukuzana na huyu Pep.

Kuweni watulivu makosa madogo madogo kwenye mpira yanakuwepo aidha yawe upande wenu au yawaue kama jana. Muda wenu ukifika mtanyanyua kwapa ila inaonekana sio sasa.
 
Watu wanajiuliza ni kivipi utaifunga Arsenal hii? hii ndio sababu ya sisi kuchukua ubingwa msimu huu. Refa akikusaidia utapata draw, usiposaidiwa tunapiga kwenye mshono.
 
Hayo ndo maneno ya kiutu uzima
👏 👏
 
Kuna uwezekano Rodri wa Manchester City atakaa nje msimu mzima baada ya kupata injury ya ACL
 
Nyie kondoo mnapenda kulialia. Mtaanza kudanganyana marefa wapo against na Arsenal utasema mna timu tishio kumbe mnajulikana hamna madhara. Arsenal sio timu y kwanza kupewa red card y aina hiyo so acheni kulialia.
 
Timu yako kama imeshafungwa mechi usiingie humu ku comment, tambua wewe ni mtoto mdogo unayejikojolea tu, humu waachie watu wazima wenye uhakika wa kwenda invincible. Understand the level.
Msikilizeni huyu, kuna waliofungwa na wapo juu yako.
 
Nyie kondoo mnapenda kulialia. Mtaanza kudanganyana marefa wapo against na Arsenal utasema mna timu tishio kumbe mnajulikana hamna madhara. Arsenal sio timu y kwanza kupewa red card y aina hiyo so acheni kulialia.
View attachment 3104863
Sometimes hua sikuelewi unakua umelenga nini.

Mfano kwenye hii post. Idea yako ilikua nini? You just came, pour your thoughts. Which are unrelated to what I just wrote and expect someone to understand.

Nakupa idea, niliitumia wakati nasoma. Ukiwa unajibu hoja ya mtu tumia kitu kinaitwa PEP (Point, Example, Prove) usiwe tu unaendeshwa na hisia blindly.
 
Msikilizeni huyu, kuna waliofungwa na wapo juu yako.
Juzi au jana ulitutishia kua tumekuacha point moja so kwa Kenge siyo gap kubwa tujiandae.

Timu ambazo zimefungwa na zipo juu ya Arsenal ni Villa na Kuku. Na zenyewe zimemuacha Arsenal point 1 tu.

Arsenal kashakutana na wapinzani wagumu. Kenge bado, Kuku kapasuka kwa Nottingham na mashabiki wake wakasema ni sawa tu kwakua kocha mgeni, unadhani utapita muda gani kabla hayo hayajajirudia? Villa atamaintain hilo gap? Kakutana na timu gani ngumu?

Mfano ukitumia system ya PEP niliyokwambia kati ya hizi timu 4 ( Kuku, Villa, Arsenal na Kenge) timu gani ina chance kubwa ya kuziba gap waliloachwa na kuwapita wengine?
 
Watu wanajiuliza ni kivipi utaifunga Arsenal hii? hii ndio sababu ya sisi kuchukua ubingwa msimu huu. Refa akikusaidia utapata draw, usiposaidiwa tunapiga kwenye mshono.
Kama mshabiki wa arsenal unafikiri nani wa kuifunga City hii?maana arsenal isiyofungika wanacheza kumi kwenye goli lao dhidi ya city wakizuia.
 
On to the next one

24/09/2024

2145

Arsenal vs Bolton

Carabao Cup

Ni muda wa kina Nwaneri, Skelly, Maldini Kacurri na Salah kupata minutes.

Before hatujamsajili, Neto amecheza dhidi ya West Ham akiwa Bournemouth kwenye Carabao Cup. Sheria zipoje ziku hizi? Yupo eligible kucheza kesho?

Castr mkorea
 
Hapana hawezi kucheza kwenye Carabao.

Raya mgonjwa.

Kipa namba 3 mgonjwa.

So anaweza anzishwa kipa wa youngsters
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…