Kwa hyo refa asubiri mpaka mjipange ndo apige filimbi?Angepgwa risasi kwa lipi? Kutoa red card au kwa kuruhusu mpira uchezwe kabla Walker hajaenda kwenda nafasi yake au kuacha ile faulo ya Martinel kwa Herdason.
Usisahau umenipita point moja, kwako nina point 6. Kondoo nyie.Nirushie matokeo mkuuπ€ π€ π€ ....jifunzeni kucheza kitimu siku tukikutana hatutaki lawama....maana huwa mnakuwa wepesi sana kumshushia mitusi kocha wenu
ipe
Hamna referee paleAngepgwa risasi kwa lipi? Kutoa red card au kwa kuruhusu mpira uchezwe kabla Walker hajaenda kwenda nafasi yake au kuacha ile faulo ya Martinel kwa Herdason.
Hiyo sheria haina consistency kwa timu zingine ni Arsenal tu.Ta
Tafuteni mwalimu wa nidhamu mapema, la sivyo kila mechi mtapoteza mchezaji kwa red card. Sheria ya kupiga mpira mbali baada ya refa kupuliza kipenga imetiwa mkazo msimu huu.
Game ilikua on fire?What a game, Inter vs Milan
Hahaha ila mwanetu unachekesha.Usisahau umenipita point moja, kwako nina point 6. Kondoo nyie.
Rhetorical question mkuu?Game ilikua on fire?
Point sita kwa forward ya Jackson??...uko serious kabisa bwana mdgoπ€ π€ π€ ....uzuri tunakuja kuanzia pale kwenu....TAfuteni viungo wa kueleweka....hatutaki baada ya mechi muanze Maresca outUsisahau umenipita point moja, kwako nina point 6. Kondoo nyie.
Tumechafua social networks jana. Wana hasira sana kama polisi wa nchi fulani EA na raia wa chama fulani ππππTabu mara mbili. Hii kauli niliisema humu before msimu haujaanza. Tabu mara mbili inakuja.
Tabu ya kwanza, ni ya timu lako kuboronga, au kutokuwa ndani ya UCL. Akina Flano na Mkohoti hapa wanaelewa zaidi.
Tabu ya pili, unaipata kutoka Arsenal. Hii inakuja kwa njia nyingi. Utaumia tukicheza sexy football, kwa sababu timu lako haliwezi kucheza hivi unless wacheze na BARNSLEY.
Njia nyingine ya kupata tabu, ni pale tunapoleta HARAMU FOOTBALL kama tulompigia TOTTENHAM, vivo hivyo ATALANTA.
Bado tunaleta aina nyingine ya tabu kesho Jumapili.
No, sijaicheki ndiyo nimeulizaRhetorical question mkuu?
Haland alikuwa haamini anachokiona ulimi njeππ...Duuh! Kweli nyakati zinabadilika.. Man city leo anashangilia draw kama amechukua ubingwa dhidi ya timu pungufu ππππ.. Hawatosahau hili haram football la leo
Nottingham Forest alikukojolea sebuleni kwako Anfield kenge weweKai Havertz and JurriΓ«n Timber completed π³ππ«π¨ passes against Man City today.It's the first time an outfield player has played 89+ minutes of a Premier League game and not completed a single pass since Opta records began.
Kenge myie eti mnataka ubingwaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Acha utoto arsenal ichukue kombe la wapi subirini city wanyang'anywe point ndio njia rahisi ya arsenal kuchukua kombe sio uwanjani.Hawa ilikuwa tunawapiga leo, halafu tunasubiri adhabu yao, tupewe makombe yao na washushwe maharaja.
Ila bado ligi bado mapema. Hata tukifungwa leo bado mwisho wa msimu ndoo yetu.
Majirani walitamani tule hata kono la nyani lakini wapi *****....mwezi wa 12 wte rasmi watajiunga na kipara guardiola kutuzuia....ligi huwa inaanza huo wakati.....sasahivi eti Chelsea naye wa Tano sijui....ukiona hvyo uje bdo bado ligi haijaanza....ikishaanza utaona tu Manunu na Chelkenge wanapokezana zile nafasi zao pendwa pale kati 8 na 9Tumechafua social networks jana. Wana hasira sana kama polisi wa nchi fulani EA na raia wa chama fulani ππππ
Ushauri kwa ndugu zangu Gunners, leo ukitoka usivae jezi ya Arsenal, wanaweza kukuteka hawa.
Viazi vinalalamika jana Kai Havertz hajapiga complete pass hata moja. Huu ndo UHARAMU FOOTBALL, UNDAVA tunaouzungumzia sasa.
Twende taratibu, ushabiki maandazi weka pembeni.Suala sio kufananisha matukio yaliyokwishatokea na ya jana, tuangalie sheria inasemaje mchezaji anapopiga mpira mbali baada ya mwamuzi kupuliza kipyenga.
Tatizo lemu AssAnal mnasahau mapema, huwa mnaanza ligi kwa kiherehere kama hivi ila mwishoni ulimi wote nje. Ni nini kinawapa tumaini kuwa msimu huu utakuwa tofauti na misimu mingine yote iliyopita mkawa mnataga?