pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,945
- 4,230
Kumeanza kuchangamka
Heee mzee unaangalia livescore?Mbona city Kama wanatuogopa hivi
Kweli mwanangu mpk dk. ya 9 hii bado namuona Halland anazurura tu.Muhindi ndo anacheza mpira uwanjani sio🤠🤠🤠....sometimes naona kama uko timamu hivi ila kumbe bdo dishi limeyumba....saa 12 karibu sana pale Etihad uone namna Haaland atakavyokuwa anazurura kule mbele
Punda kabisaEndeleeni kuota KENGE nyie
Mbwa koko, soma ubaoDk 20, uwezekano wa kupata goli Ars bado ni 0 wakati MC ni 0.56