PEP Mostly anatumia Back 4, Anachofanya PEP ni Line Up inayoonekana na watu 3 Nyuma ila lazima awe na FullBack mmoja anayesogea kwenye Midfield (Anakuwa na 4 Defenders, Ila Back 3 Mostly inakuwa na 5 Defenders)
BuilUp yake inakuwa 3~1~3~3 Diamond ambayo Kiasi kikubwa Msimu huu Rico Lewis anakuwa anasogea kwenye MD (Misimu kama Miwili Nyuma amekuwa akimtumia zaidi Stones), Wawili wa Mbele yake wanakuwa CM & DM (Holding zaidi kwa Namna PEP anamtumia), KDB anakuwa anacheza Nyuma ya Haaland Pembeni "Isolated Wingers" Kama Savinho, Doku & Grealish kwa Msimu huu kitu ambacho kimekuwa kigumu Kumu-Accomodate Foden moja kwa Moja kwenye timu maana PEP anatengeneza advantage ya Wings zake kuwa kwenye Situations nyingi za 1 v 1,
CONTE Back 3 alikuwa anatumia yenye LIBERO (D.LUIZ) Na alikwa na Wingbacks (Hii ni Traditional Back 3) Uingereza Ilikuwa Ngeni Kiasi ndo Maana alisumbua nayo na akawa Mwalimu wa Kwanza fikisha 30 wins Per Season, Msimu Ulofata Kufeli kwake kulichangiwa na kutopewa Maboresho Bora alimhitaji Naingolan, Candreva, Sandro, VVD, ila Kina Marina wakamletea Bakayoko, Emerson, Zappacosta, Drinkwater na Rudiger
LVG Aliitumia UTD Ila Quality hakuwa nayo (McNair, Smalling, Borthwickjackson, Varela, Blackett) akaishia kuwa na Possession Kubwa isiyo na maana