Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
Hata united hawakutana City ashinde ili wakaribie kubeba ubingwa ila kitu pekee chakuamia ni Uwezo basi.Nikilala nikiamka katika 9 games to go kuna wapumbavu Chelsea and Tottenham hawa watu wa London ,they will not want Arsenal awe bingwa wa EPL watakaza fuvu kweli kweli



Tiki Taka,
Draw against Chelsea
Victory against Manchester United
What is the solution playing against an opposition with a low block?