Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sema nini wazee hapa tutaambulia vumbi ,kumkimbiza Liverpool aliyejeruhiwa huko nyuma Kwa point 3 ,harafu bado game 9,inahitajika miujiza
Timu zote za juu zinaweza kudrop point(s) kwa yeyote. Na opponents waliobaki vs top 3 teams wanafanana fanana.

The title race is still on! 🍿
 
Halafu tumemiss sana kupiga watu 5g. Hawa watatupa points zetu 3 kwa mtindo wetu pendwa wa 4g, 5g na kuendelea
Msimu ilioisha gundu lilianza baada ya kudraw na Liverpool, mechi iliyofata mkadraw na Westham, halafu mkadraw tena na Southampton kisha mkaenda kogongwa na Mancity na ndio ukawa mwisho wa matumaini hewa.

Msimu huu naona mambo kama yanaenda kujirudia tena vilevile ila Opponents ndio tofauti, mmeanza kudraw na City halafu jumatano mko na Luton, anakuja Brighton, kisha Aston Villa, halafu kuna Chelsea na Spurs kisha msumari wa utosi mnaenda kugongelewa pale kiumeni kwenye matofali ya kuchoma.
Mateso bado yako palepale tu, yaani mpaka msemeeee
1711914911572.jpg
 
Nikilala nikiamka katika 9 games to go kuna wapumbavu Chelsea and Tottenham hawa watu wa London ,they will not want Arsenal awe bingwa wa EPL watakaza fuvu kweli kweli
Hata united hawakutana City ashinde ili wakaribie kubeba ubingwa ila kitu pekee chakuamia ni Uwezo basi.
 
Sasa hivi ili upige shuti golini mwa Arsenal unahitaji uwe umeshiba.

Katika mechi 2 tulizocheza na City msimu huu kafanikiwa kupiga mashuti mawili (2) tu langoni.

We are cooking!
 
Mmeshabadili beat sasahivi...mchana mlikuwa mnatupiga mikwara hapa kwmba tunaenda kufumuliwa kwlikwli...mliloombea halijatokea mnaanza kuja na mikwara ya kina Chelkenge na Manunu...ndugu zetu TAfuteni makocha wa kueleweka...Manunu na Chelkenge wte Watakula 3+...Spurs sio shida yetu..hao kina Aston Villa na Luton sijui wajiandae na kono la nyani...mwaka huu tusipobeba kwa point tutabeba kwa magoli...tabu ipo palepale....tunawaomba sana ikifika mechi ya Bayern mje kuwanga tena Ili tufanye yetu🤠🤠🤠
Msimu ilioisha gundu lilianza baada ya kudraw na Liverpool, mechi iliyofata mkadraw na Westham, halafu mkadraw tena na Southampton kisha mkaenda kogongwa na Mancity na ndio ukawa mwisho wa matumaini hewa.

Msimu huu naona mambo kama yanaenda kujirudia tena vilevile ila Opponents ndio tofauti, mmeanza kudraw na City halafu jumatano mko na Luton, anakuja Brighton, kisha Aston Villa, halafu kuna Chelsea na Spurs kisha msumari wa utosi mnaenda kugongelewa pale kiumeni kwenye matofali ya kuchoma.
Mateso bado yako palepale tu, yaani mpaka msemeeee View attachment 2950351
Sas
 
Mmeshabadili beat sasahivi...mchana mlikuwa mnatupiga mikwara hapa kwmba tunaenda kufumuliwa kwlikwli...mliloombea halijatokea mnaanza kuja na mikwara ya kina Chelkenge na Manunu...ndugu zetu TAfuteni makocha wa kueleweka...Manunu na Chelkenge wte Watakula 3+...Spurs sio shida yetu..hao kina Aston Villa na Luton sijui wajiandae na kono la nyani...mwaka huu tusipobeba kwa point tutabeba kwa magoli...tabu ipo palepale....tunawaomba sana ikifika mechi ya Bayern mje kuwanga tena Ili tufanye yetu

Sas
Uzuri Mungu hua hakunyimi vyote, anakunyima Makombe lakini anakupa mdomo.
Raha ya Arsenyau ni zile mechi za mwisho za kumaliza ligi, jinsi tunavyoshuhudia matumaini hewa yanavyo yeyuka na kua kilio na majuto kwenye hili jukwaa pendwa.
 
Uzuri Mungu hua hakunyimi vyote, anakunyima Makombe lakini anakupa mdomo.
Raha ya Arsenyau ni zile mechi za mwisho za kumaliza ligi, jinsi tunavyoshuhudia matumaini hewa yanavyo yeyuka na kua kilio na majuto kwenye hili jukwaa pendwa.
Narudia tena...mlitutishia hmu ndani kama hao Mama Cita wanatoka sayari ya Jupiter wakati wanakata magogo kama wenzao tu...Sasa mechi ngumu imeisha leo🤠🤠...kama mnategemea tukwame pigeni Dua nusu ya kikosi waumie wte...vngnevyo 5g show yake inarudi upya....
 
Ndomaana wakaitwa nyumbu mkuu🤠🤠...kocha wao kutwa kuiongelea Arsenal Sasa naona haka kaugonjwa kawaambukiza hadi mashabiki...yaani wao wakishinda kocha anasema tupo vzuri kuliko Arsenal wakidundwa anasema Arsenal ile mechi bila lile goli kukataliwa tungewafunga siku ile...basi na mishabiki nayo inacheza beat lake🤠🤠
Unapokuwa Shabiki wa manure akili huwa na ujazo wa Kisoda cha PEPSI take away.
 
Nyny ni kuku mwnye kideri...Kila siku huwa nasema na nitasema tena...zaidi ya Counter hakuna mnachokicheza...mkidundwa gemu moja tu msahau kurudi pale juu...mechi ngumu tumemaliza leo...mkiwategemea kina Spurs sijui..kina Manunu au Brighton watuzuie mnajidanganya...biashara yetu ya kono la nyani inaanza upya j5...hata mkimaliza ligi mpo point sawa na sisi bado kombe mtaliota tu...
Sisi huwa tuna screenshot coment tu
 
Mikel Arteta juu ya Saka:

"Vema, kama unavyojua amekuwa nje kwa wiki chache sasa na shida kidogo na alikuwa akihisi uchovu huo. Hivi sasa, hajafunza. Alifanya mazoezi siku moja kabla ya mechi - alikuwa na mchango mkubwa, lakini dakika 90 zilikuwa nyingi sana kwake leo.
20240401_075507.jpg
 
Manchester City vs. Top 6 in the league this season:

Draw against Chelsea
Draw against Chelsea
Draw against Liverpool
Draw against Liverpool
Draw against Tottenham
Draw against Arsenal
Defeat against Arsenal
Victory against Manchester United
Victory against Manchester United
 
Back
Top Bottom