Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kupata ushidi walau mmoja katika hizo mechi mkuu ni jambo la kushukuru.

Sina imani na midfield ya partey na jognho. Tuta strugle zidi ya spurs kama tutaingia hivi.
Kama timber yuko fit amalize 8 , calafiori Lb
Safu ya ushambuliji kuanzia sasa awe anafanya rotation
Yaani
martinelli,trossad,sterling
Then
Jesus, kai , saka
Mechi nyingi mno kunaulazima wakufanya rotation ya kikosi kama city nakudeliver quality ile ile.

Ila ingefaa sana tungeanza kumtumia sterling badala ya kai
Mimi naamini raheem sterling ni mzuri kuliko G martineli pia anafaa false 9 kuliko kai kwenye zile 1 vs 1 hata finishing pia .
Sterling hana finishing nzuri ya kufanya umuamini awe false 9 au ST.

Ni sahihi kama anacheza pembeni Martinelli au Trossard awe kati. Nataka kuamini kwamba kwenye last game chances alizokosa Odegaard, Kai na Saka Martinelli au Trossard angepata, au tusema tungekua na ST wa kueleweka ilibidi tushinde
 
Riccardo Calafiori vs France

Cheki anavyo-turns, receives and progresses like a midfielder and can play effectively off both feet.

Add the aggressive defensive instincts and you’ve got a unique profile who will thrive at #Arsenal.

Ready to start the NLD
 
Arteta hana imani na academy players au shida iko wapi?

Mara nyingi timu ikiwa inaperform, midtable au ikiwa inaelekea kuzama ndiyo hujaribu wachezaji wa academy. Hapa nakupa mfano wa City, Liver, United na Midtable teams.

Hata Saka alipata game time baada ya timu yetu kua choka mbaya pia Emery ni mzuri kulea vipaji. Tangu Arteta amekuja hua anajumuisha academy kwenye kikosi ila hajawahi kuwatumia (kama amewahi mnaweza kunisahihisha)

Hii imesababisha wachezaji ambao tuliwahi hisi ni potential kuondoka. Mfano Miguel Aziz, Patino, Nelson katoka kwa mkopo, Emile tumemuuza. Na wengine hawajawahi kucheza mfano Salah, na sasa tuna Skelly.

Ni mid mzuri, Merino injured, Rice nje, Partey na Jorginho wapo ila hapa mmoja hana defense nzuri kabisa. Nyumbu wakiwa desperate wamechezesha sana youngsters Elanga, Greenwood na sasa Garnacho na Kobi.

Now Kobi bado hana ukali huo ni kwavile nyumbu wapo matopeni, huyu Skelly anashindwa kufanya anachotakiwa kufanya mid?

Ama Arteta ana shida au academy ina shida haizalishi wachezaji quality
 
Arteta hana imani na academy players au shida iko wapi?

Mara nyingi timu ikiwa inaperform, midtable au ikiwa inaelekea kuzama ndiyo hujaribu wachezaji wa academy. Hapa nakupa mfano wa City, Liver, United na Midtable teams.

Hata Saka alipata game time baada ya timu yetu kua choka mbaya pia Emery ni mzuri kulea vipaji. Tangu Arteta amekuja hua anajumuisha academy kwenye kikosi ila hajawahi kuwatumia (kama amewahi mnaweza kunisahihisha)

Hii imesababisha wachezaji ambao tuliwahi hisi ni potential kuondoka. Mfano Miguel Aziz, Patino, Nelson katoka kwa mkopo, Emile tumemuuza. Na wengine hawajawahi kucheza mfano Salah, na sasa tuna Skelly.

Ni mid mzuri, Merino injured, Rice nje, Partey na Jorginho wapo ila hapa mmoja hana defense nzuri kabisa. Nyumbu wakiwa desperate wamechezesha sana youngsters Elanga, Greenwood na sasa Garnacho na Kobi.

Now Kobi bado hana ukali huo ni kwavile nyumbu wapo matopeni, huyu Skelly anashindwa kufanya anachotakiwa kufanya mid?

Ama Arteta ana shida au academy ina shida haizalishi wachezaji quality
Uko sahihi,kwa miaka mingi academy graduates toka timu mbalimbali walikuwa wanaopt kuja arsenal katika early stsges za career zao.ila kwa arteta ni tofauti.
Hata kuondoka kwa chido obi ni baada ya pre-view nafasi yake ndani ya timu.pengine wakati watu wanamtuhumu pep kwamba ana udhaifu wa kutowaamini wachezaji weusi papo hapo inawezekana arteta ana udhaifu wa kutowaamini academy players.

Hii inaweza fanya kazi ya wilshere na per kuonekana ni bure maana hamna final product inayoonekana ndani ya first eleven ya senior team
 
Uko sahihi,kwa miaka mingi academy graduates toka timu mbalimbali walikuwa wanaopt kuja arsenal katika early stsges za career zao.ila kwa arteta ni tofauti.
Hata kuondoka kwa chido obi ni baada ya pre-view nafasi yake ndani ya timu.pengine wakati watu wanamtuhumu pep kwamba ana udhaifu wa kutowaamini wachezaji weusi papo hapo inawezekana arteta ana udhaifu wa kutowaamini academy players.

Hii inaweza fanya kazi ya wilshere na per kuonekana ni bure maana hamna final product inayoonekana ndani ya first eleven ya senior team
Tupo hovyo kwenye angle hiyo, ingawa Chido ameondoka kwakua alitaka alipwe zaidi ya wage structure ya Arsenal ndiyo maana akaondoka
 
#COYG
 

Attachments

  • IMG-20240908-WA0034.jpg
    IMG-20240908-WA0034.jpg
    57.8 KB · Views: 12
@FabrizioRomano:


Norway coach Solbakken: “Martin Ødegaard’s injury looked bad in the dressing room as well.”


Norway’s doctor Ola Sand: “He got a small ankle sprain. We will see, maybe we use ultrasound to look at it.”


20240910_031915.jpg
 
Back
Top Bottom