Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ana mitihani kadhaa
1.watu wanadhani huu ni wakati sahihi wa yeye kutuonyesha matunda halisi ya projekti yake kwa kubeba kombe la maana.ila kuna city hapoi

2.kuna pressure ya kuwapa gametime academy graduate na wakati huohuo apate matokeo na seniors wanahitaji gametime.
3.kuna challenge ya UEFA na inaanza kwa ugumu sana katika hatua ya makundi huku jesus na kai wakiwa the only option kwenye no 9 role
4.Kroenke anaamini amempa arteta kila kitu na hana deni kwa mashabiki kuhusu financial backup hata ule mzaha wa kwamba timu zake za us zimebeba mataji ila bado arsenal ulikuwa ni ujumbe ndani ya mzaha

5.soko halina profile anazozitaka ila pitch inamdai watu.ana stress akimuangalia kai huku akimwona jesus yuko majeruhi.Merino aliletwa kama game changer hasa baada ya kukosa striker wa maana na alilenga zile interception,ball recoveries,long shorts kama za shaka na attacking atributes za mshikaji.Jamaa kaishia kitandani.

6.Hakuna kitu kinachompa pressure arteta kama akilitazama bench baada ya starting eleven kuwa uwanjani.hakuna sana mchezaji mwenye maajabu.jesus na merino walikuwa turufu yake ila wako wodini.

We believe.
Bado Kroenkes hawajafanya vya kutosha...siku wakimpa world class forward na wakiweza ku retain first eleven yte na benchi likiwa limeshiba hapo Sasa wataona wamefanya Kila kitu....huwezi kusema umefanya Kila kitu wakati una strong first eleven ila benchi bdo dhaifu maana mchezaji kuumia ni muda wwte....siku tukishaachana na kina Nelson, Tavares, lokongq na hzi nafasi zao wakachukua watu wa maana ndo utasema Sasa hamna sababu tena ila as long as hzo mbegu zipo basi bdo kikosi kinatengenezwa...we believe
 
Wakuitwa Aaron Arsenal huyu jamaa amepotea, this nigga is an absolute beacon of calming kwa gunners fans wote, nigga yupo optimistic sana.
 
kuna game tulikuwa pungufu tulimkimbiza Man city na Arteta hakuwa kwenye bench, Rodri anafunga goli la ushindi dk za mwisho. Nadhani hii mechi ilifanya mashabiki wengi wamuamini Arteta.
 
Kuna hofu naipata,
Inawezekana tumeimarika
Ila wapinzani wameimarika pia.

Liver wanaanza kuwa confortable na mpira,
Aston villa wanakuja na wanaimarika zaidi,
Blues in the making
Man u hawatabiriki hasa kuelekea mwisho wa msimu.ligi hii itakuwa ngumu sana mwaka huu.
Kwangu mimi nawaona liver ndio wapo imara sana,huyu kocha mpya kaleta nidhamu kwenye ulinzi,wakijua tu nafasi watapata,kuna namna kampunguzia majukumu van
 
Kwangu mimi nawaona liver ndio wapo imara sana,huyu kocha mpya kaleta nidhamu kwenye ulinzi,wakijua tu nafasi watapata,kuna namna kampunguzia majukumu van
Liverpool wataanguka tu ukizingatia wapo UEFA, msimu jana walienda vizuri paka mambo yalipochanganya
 
Bado Kroenkes hawajafanya vya kutosha...siku wakimpa world class forward na wakiweza ku retain first eleven yte na benchi likiwa limeshiba hapo Sasa wataona wamefanya Kila kitu....huwezi kusema umefanya Kila kitu wakati una strong first eleven ila benchi bdo dhaifu maana mchezaji kuumia ni muda wwte....siku tukishaachana na kina Nelson, Tavares, lokongq na hzi nafasi zao wakachukua watu wa maana ndo utasema Sasa hamna sababu tena ila as long as hzo mbegu zipo basi bdo kikosi kinatengenezwa...we believe
World class forward ni Edu na Arteta ndio wanambwela, sio Kroenke kabisa.
 
Endelea kulialia kombe safari hii pia mtakisikia tu kwenye redio na uefa mnatolewa kwenye makundi na hiyo timu yenu ya chekechea. Mbwa koko nyie!
Sio utamaduni wa jukwaa hili mkuu.
Hizi lugha zina majukwaa yake
 
Hatupendi sana lugha ngumu na zisizo za kiuana michezo
Kwahiyo ulitakaje? au umeona hapa ni bench la ufundi la timu unayomiliki mtaani kwako?



Fanya yako tusikaliliane ungedili na aliyeanzisha ujinga humu... Sio kuishia kumuita mkuu, halafu mi nliye Gunner's uje knipiga vibiti vyako!
 
Ufananisho wa tulipokua msimu uliopita baada ya mechi 3 na tulipo msimu huu baada ya mechi 3.

20240907_081054.jpg
 
Hizi game 3 zijazo za ugenini ndani ya wiki moja.
Kwa namna moja au nyingine itakuwa kipimo kizuri cha progress

Spurs,Atalant,City
Kichekesho ni kwamba tumeanza kuexperience majeruhi mapema mno
 
Kichekesho ni kwamba tumeanza kuexperience majeruhi mapema mno
Kupata ushidi walau mmoja katika hizo mechi mkuu ni jambo la kushukuru.

Sina imani na midfield ya partey na jognho. Tuta strugle zidi ya spurs kama tutaingia hivi.
Kama timber yuko fit amalize 8 , calafiori Lb
Safu ya ushambuliji kuanzia sasa awe anafanya rotation
Yaani
martinelli,trossad,sterling
Then
Jesus, kai , saka
Mechi nyingi mno kunaulazima wakufanya rotation ya kikosi kama city nakudeliver quality ile ile.

Ila ingefaa sana tungeanza kumtumia sterling badala ya kai
Mimi naamini raheem sterling ni mzuri kuliko G martineli pia anafaa false 9 kuliko kai kwenye zile 1 vs 1 hata finishing pia .
 
Back
Top Bottom