Arteta ana mitihani kadhaa
1.watu wanadhani huu ni wakati sahihi wa yeye kutuonyesha matunda halisi ya projekti yake kwa kubeba kombe la maana.ila kuna city hapoi
2.kuna pressure ya kuwapa gametime academy graduate na wakati huohuo apate matokeo na seniors wanahitaji gametime.
3.kuna challenge ya UEFA na inaanza kwa ugumu sana katika hatua ya makundi huku jesus na kai wakiwa the only option kwenye no 9 role
4.Kroenke anaamini amempa arteta kila kitu na hana deni kwa mashabiki kuhusu financial backup hata ule mzaha wa kwamba timu zake za us zimebeba mataji ila bado arsenal ulikuwa ni ujumbe ndani ya mzaha
5.soko halina profile anazozitaka ila pitch inamdai watu.ana stress akimuangalia kai huku akimwona jesus yuko majeruhi.Merino aliletwa kama game changer hasa baada ya kukosa striker wa maana na alilenga zile interception,ball recoveries,long shorts kama za shaka na attacking atributes za mshikaji.Jamaa kaishia kitandani.
6.Hakuna kitu kinachompa pressure arteta kama akilitazama bench baada ya starting eleven kuwa uwanjani.hakuna sana mchezaji mwenye maajabu.jesus na merino walikuwa turufu yake ila wako wodini.
We believe.