Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tulieni dawa iwaiingie ode tayari injury , spurs wanasema game ishakuwa taamu.
mwaka huu false hopers mapema tu mnashikana mashati 😂😂 next two games ni spurs and man city .
 
Hatimaye Pochettinho aokota mahela USA...kweli maisha hayana formula...😊
Screenshot_2024-09-11-02-04-54-83_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 
Nidhamu imetawala hili jukwaa.Wabwatukaji wanaandika kwa kubakisha maneno, hawaropoki tena kuhusu kubeba EPL na UCL.
Motivational speaker wao kawakimbia ndio maana unaona kama vile wamepoa hawaropoki hovyo, nakuhakikishia wakipata tu motivational speaker mwingine utawaona humu jinsi wanavyo bwatuka na kuropoka hovyo juu ya kubeba EPL na UCL.
Hawa Kima huwa nawafananisha na kademu flani mtaani kwetu kana maringo kwelikweli, Ila kakidanganywa tu na mwanaume kua anataka kukaoa kanatoa mzigo kiulaini halafu kanaenda kununua nguo ya harusi kabla hata hakajatolewa mahari, Kisha kanaanza kuwatambia marafiki zake kua mwaka huu kanaolewa, kakishapigwa chini inakua ni vicheko tu kwa hao marafiki zake
 
Hii ni silent phase kwa false hopers, mwenyekiti kawakimbia maana anajua kabisa hii phase hata aletee false hopes gani hali ni tete😆.
zamani kidogo hali ilikua tete huko april au may , now hali ni tete kuanzia September mpaka may.
False hopes haziwezi kustahimili muda mrefu kama huo maana false hopers watampiga mawe.
 
Hii ni silent phase kwa false hopers, mwenyekiti kawakimbia maana anajua kabisa hii phase hata aletee false hopes gani hali ni tete.
zamani kidogo hali ilikua tete huko april au may , now hali ni tete kuanzia September mpaka may.
False hopes haziwezi kustahimili muda mrefu kama huo maana false hopers watampiga mawe.
Pamoja na yote ila jamaa ana kipaji kikubwa sana cha ushawishi na kuwafunga watu akili, mwamba akijiongeza akafungua kanisa la upako atapata kondoo wa kutosha na kupiga pesa mingi sana
 
Pamoja na yote ila jamaa ana kipaji kikubwa sana cha ushawishi na kuwafunga watu akili, mwamba akijiongeza akafungua kanisa la upako atapata kondoo wa kutosha na kupiga pesa mingi sana
Hata kuwa mwanasiasa anaweza sana.
 
Nyie viazi mbona mmekosa kujiamini hivyo?! Jukwaa limepoa hakuna zile komedi zenu, mpk jukwaa halivutii tena.

#Bring back Masingeli
 
Hii ni silent phase kwa false hopers, mwenyekiti kawakimbia maana anajua kabisa hii phase hata aletee false hopes gani hali ni tete😆.
zamani kidogo hali ilikua tete huko april au may , now hali ni tete kuanzia September mpaka may.
False hopes haziwezi kustahimili muda mrefu kama huo maana false hopers watampiga mawe.
SILENCE PHASE

😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom