Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transfer
halafu haikuwa lazima tuchukue ST kuna baadhi ya foward wanakupa G/A +10 kwa msimu wangetuglq kama olise nico williams basi hata mitoma
Lakini hao wote uliowataja wanakubali kuwa back up ya mtu fulani. Kuna watu kuwatoa kikosi cha kwanza labda wavunjike. Hao kina saka hata aje nani kuwatoa kikosi cha kwanza ujipange
 
Lakini hao wote uliowataja wanakubali kuwa back up ya mtu fulani. Kuna watu kuwatoa kikosi cha kwanza labda wavunjike. Hao kina saka hata aje nani kuwatoa kikosi cha kwanza ujipange
ishu ni squad depth na quality rotation bro
 
mbona mapungufu yetu yanajulikana ST RW na LCM na LB
LB - Calafiori, Timber, Zinchenko, Kiwior

LCM - Merino, Rice

ST - Jesus, Trossard, Kai

RW - Saka, Sterling, Jesus

Niliobold ni sajili mpya
 
Sterling chelsea watachangia mshahara
Shida sio mshahara, mimi niende bure arsenal ama niwe nacheza kwa kuwalipa wao hela lakini bado wakanikataa..

Muhimu ni mchango wake uwanjani, anakuja arsenal kama nani, anakuja kutibu ugonjwa wa arsenal? Huyu nae ni mmoja kati ya wapotezaji nafasi za wazi kweli kweli.. Kiazi KAI limeongezwa BOGA sterling, hapa tujiandae kula FUTARI. 🤣😂
 
Unavyofikiri Hao wachezaji wote uliowataja Ni wa kiwango kikubwa sana basi. Kama huyo Osihmen Ni mchezaji wa kawaida sana. Wote uliowataja Ni washambuliaji wazuri lakini hawakupi uhakika Kama Wata perform kwenye mfumo wako Au Vipi. Wee nitajie kati ya Hao uliowataja umewajulia wapi kwingine kabla ya hizo timu zao Za sasa hivi
Itabidi tuheshimu mawazo yako, japo bado ni ya kiduanzi. Kwamba the likes of Osimhen ni wachezaji wa kawaida
 
Usajili wa Sterling unaweza kuleta matunda Kwa arsenal. Japo tungempata Sancho ingekuwa vizuri zaidi. Sterling siyo m baya japo Ana mapungufu yake. Finishing yake mbele ya Goli siyo ile ya Uhakika. Ki uhalisia sterling Ni bora uwanjani kuliko Martin Eli. Apate coaching nzuri . Apunguze ubinafsi basi

Sancho gani wa manyu? Sancho ana uzuri gani? Hajui crossing, hajui kufunga hajui kudribble past players. Hamna kitu pale sijui mnaangalia mpira gani.
 
Sancho na Rahimu wote magalasa hamna players pale. Arteta anataka kuifanya arsenal kuwa man City B. Kavuta zinchenko, Jesus na sasa Rahimu Hawa wote ni magalasa hayana kitu ndo maana pep aliyauza na arsenal hamna kitu yamefanya.

Arteta atafute system yake sio kucopy kila kitu cha city. Next season timu itafute kocha mwingine.
 
Itabidi tuheshimu mawazo yako, japo bado ni ya kiduanzi. Kwamba the likes of Osimhen ni wachezaji wa kawaida

Sent from my SM-N986U1 using JamiiForums mobile
Tuzungumze mpira . Tueleweshane. Weee mpira unaujua . Tungemtakq osihmen tungempata...? Usajili ni makubaliano ya pande Tatu. Means kila mtu aridhie kwa upande wake.
 
Itabidi tuheshimu mawazo yako, japo bado ni ya kiduanzi. Kwamba the likes of Osimhen ni wachezaji wa kawaida

Sent from my SM-N986U1 using JamiiForums mobile app
Halafu kama mpira unaujua . Utagundua mpira haupo hvyo . Ety kisa mchezaji fulani anajua basi asajiliwe tu ukadhani atakuwa na impact kwenye timu. Tumesajili wangapi wamefeli kudeliver tulichokihitaji. Au vilabu vingapi wamesajili wacjezaji wakashindwa ku perform. Hao kina gyrekes ni kina Carol tu waliochangamka. LIJUE BOLI MZEE
 
Sancho na Rahimu wote magalasa hamna players pale. Arteta anataka kuifanya arsenal kuwa man City B. Kavuta zinchenko, Jesus na sasa Rahimu Hawa wote ni magalasa hayana kitu ndo maana pep aliyauza na arsenal hamna kitu yamefanya.

Arteta atafute system yake sio kucopy kila kitu cha city. Next season timu itafute kocha mwingine.
Kama wewe ni shabiki wa Arsenal basi Boli hulijui. Kama siyo shabiki wa Arsenal Unaongea Unafki😅
 
Back
Top Bottom