kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Lakini hao wote uliowataja wanakubali kuwa back up ya mtu fulani. Kuna watu kuwatoa kikosi cha kwanza labda wavunjike. Hao kina saka hata aje nani kuwatoa kikosi cha kwanza ujipangetunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transfer
halafu haikuwa lazima tuchukue ST kuna baadhi ya foward wanakupa G/A +10 kwa msimu wangetuglq kama olise nico williams basi hata mitoma
