Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,203
- 2,066
ishu ni squad depth na quality rotation broLakini hao wote uliowataja wanakubali kuwa back up ya mtu fulani. Kuna watu kuwatoa kikosi cha kwanza labda wavunjike. Hao kina saka hata aje nani kuwatoa kikosi cha kwanza ujipange
