Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Raheem Sterling akiwasili katika uwanja wa mazoezi wa London Colney kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kuhamishwa kutoka Chelsea kwenda Arsenal. wawakilishi wa mchezaji wanaofanya kazi ya kukamilisha mkopo wa msimu mzima kwa winga wa kimataifa wa Uingereza kwa miaka 29.
@TheAthleticFC
1725055246799.png
 
Nakuhakikishia siku tukikutana na ninyi , huu uzi wenu mtaukimbia , tutawabonda kwa hasira na malipizi ya visasi makubwa .
Kile kipigo cha mbwa koko alichopata wolves kitawakumba na ninyi , kiufupi round hii hamtoki salama mkikutana na Chelsea
Hapo Darajani Salenda huwa mnavuta bangi?
 
Sterling ni back up ya Saka. Sterling kaanza mpira kama RW ametumika hivyo Liva kabla ya kwenda City na huko alianzia RW kabla ya kwenda LW.

Wakati tunahusishwa naye kabla Boehly hajamchukua na kwenda Chelsea nikasema Boehly amejaza wachezaji wengi ambao ni wazuri kulisogelea goli lakini siyo kuscore.

Na hapa narudia tena. Sterling ni mzuri kulisogelea goli ila siyo kuscore, angekua lethal kama akifika golini anatafuta wa kumpa pasi na siyo kutaka kudive. Ripoti niliyoiona ilisema Kenge wameleta mchezaji na kupropose watacover sehemu ya salary I think siyo deal mbaya kwa mchezaji anayejijua kua yeye ni rotational.

Kama unahisi Sterling mbaya tafuta msimu ambao Chiesa amewahi kufunga magoli 10 kwenda juu zaidi ya aliokua Fiorentina.
 
We needed a DM akaja Merino, juju za Jorginho na Partey zimetiki. We needed a RW kaja Sterling.

Needed LB kaja Calafiori. CB? Kiwior kabaki na akaambiwa hauzwi Juve wakaambiwa huyu hayupo sokoni.

Needed ST? Tumepita wima. Watu wanasema kwanini hatujamchukua Toney, he is old, amesimamishwa kwa msimu mzima kabla ya kucheza. Na sababu ya kusimamishwa ni kubet miongoni mwa bets ni kubeti dhidi ya timu yake kwamba itafungwa.

Huyu ni mchezaji tunayemtaka?

Jesus majeruhi, nafikiri pia kwamba kuongeza ST ingezidi kumaanisha Trossard anazidi kua nyuma kwenye selection.

ST alikua Victor inayedaiwa anakula 500K per week (kuna ripoti zinasema huu ni uongo) na amegoma kushusha mshahara Kenge walimwambia wampe 155K per week kagoma. ST gani mwingine alikua sokoni? Toney. Mwingine?
 
Arsenal hawajalipa loan fee kwa ajili ya Sterling.

Sterling kakubali mshahara upunguzwe.

Sijaconfirm ikiwa mshahara watalipa pande zote mbili au ni pande moja au pekee au Kenge wataulipa wote kama ripoti za mwanzo zilivyosema.

Yaani huyu kaja bure.
 
Ila tuna shukuru sana mlivyo mbeba mzee wa big nyashi.
Maana niliona tuna usishwa sana nae bora Mungu katuepushia kikombe cha mzee wa big nyashi.
 
Katika maombi yaliyo jibiwa haraka basi ni ya mkorea

Screenshot_20240831-071818.png
Maana alikuwa anasema tumchukue sterling ni mashine ya kazi Mungu akaona awabariki yeye na timu yake kwa kuwageuzia iyo furaha ije upande wao😁😁😁
 
Tofauti ya points za bingwa na arsenal msimu uliopita ni ngapi?
EPL 23/24

Man City 91p

Arsenal 89p

Two points na ubingwa hola

So, kila mchezaji, kila staff anayesajiliwa lazima aakisi kufunga Hilo ga la 2points na hao wajomba.

Unamuona Sterling akifanya hivyo?

Ndio maana mdau juu akasema tutashinda, ila ubingwa hola
 
EPL 23/24

Man City 91p

Arsenal 89p

Two points na ubingwa hola

So, kila mchezaji, kila staff anayesajiliwa lazima aakisi kufunga Hilo ga la 2points na hao wajomba.

Unamuona Sterling akifanya hivyo?

Ndio maana mdau juu akasema tutashinda, ila ubingwa hola
Ni mechi moja,tufanye ya villa, haikuwa sababu ya uwezo bali concentration
 
Hutakiwi kufata fata mkumbo . Kisa kikundi cha watu fulani wanamkandia mchezaji fulani . Na wwee ukaanza kukandia
Hakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.

Unaulizaje angesajiliwa nani katika soko ambalo kuna Osimnhem, Gyokeres, Sesko, Furgeson

Kuna ubavu kama wa Williams na Rafael Leao, af timu inabaki na maombi ya kiwango cha Martinelli cha 22/23 kufufuka, wakati huo mpinzani wako anavuta Savinho
 
Back
Top Bottom