Baleba nimeona anaanza leo, yule dogo ana kituNani anahisi Brighton atacheza leo na Arsenal kama alivyocheza na nyumbu juzi?
Mmeshapigwa hukoo🤣🤣🤣Hii ngoma siielewi.. Na game za mapema ni gundu kweli kweli.
Babu unawashwa na nini MzeeMmeshapigwa hukoo🤣🤣🤣
Unajambajamba nini sasa🤣🤣🤣🤣Babu unawashwa na nini Mzee
tulia kiongozi, tutakupa hitaji lakoOya wazee tumeweka pesa zetu kwenu mjue.