Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.

Unaulizaje angesajiliwa nani katika soko ambalo kuna Osimnhem, Gyokeres, Sesko, Furgeson

Kuna ubavu kama wa Williams na Rafael Leao, af timu inabaki na maombi ya kiwango cha Martinelli cha 22/23 kufufuka, wakati huo mpinzani wako anavuta Savinho
Sesko alitaka kubaki kwa mwaka mwingine kwny timu yake Ili a develop zaidi...utaenda kumteka au??...usajili unahusha pande 3...vilabu 2 na mchezaji....mnaweza mkakubaliqna vilabu na mchezaji akagoma na hamuwezi mlazimisha...ndo mpira ulipofika hapa...Chelsea kwa Osimhen imekuwaje kwani....utawalaumu Chelsea kwmba wameshindwa wakati mchezaji mwnyewe kagoma....washabiki tunapenda furaha ila wakati mwingine tupunguze malalamiko....waarabu wamemu offer Osimhen £600000+ kama mshahara...Yy akawaambia Chelsea anataka £300000 Ili akubali kwnda kwao wamegoma huo mshahara....Sasa ulitaka Arsenal waende kichwakichwa kutoa hivyo hela...kwa uchezaji upi braza...mi nikimuangalia Osimhen namuona ni mchezaji wa darajq la kina Toney tu....Hana u spesho wa kupewa hyo hela....Chelsea walikurupuka kwa Sterling kwa ule mshahara....leo wametupa Bure tusaidiane kulipa mshahara....kwhyo sio rahisi kama mnavyodhani tu....kikubwa timu ipambane isiteleze kama mwaka jana na hakika tutabeba ndoo....good defence wins u titles
 
Hakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.

Unaulizaje angesajiliwa nani katika soko ambalo kuna Osimnhem, Gyokeres, Sesko, Furgeson

Kuna ubavu kama wa Williams na Rafael Leao, af timu inabaki na maombi ya kiwango cha Martinelli cha 22/23 kufufuka, wakati huo mpinzani wako anavuta
Unavyofikiri Hao wachezaji wote uliowataja Ni wa kiwango kikubwa sana basi. Kama huyo Osihmen Ni mchezaji wa kawaida sana. Wote uliowataja Ni washambuliaji wazuri lakini hawakupi uhakika Kama Wata perform kwenye mfumo wako Au Vipi. Wee nitajie kati ya Hao uliowataja umewajulia wapi kwingine kabla ya hizo timu zao Za sasa hivi
 
Sesko alitaka kubaki kwa mwaka mwingine kwny timu yake Ili a develop zaidi...utaenda kumteka au??...usajili unahusha pande 3...vilabu 2 na mchezaji....mnaweza mkakubaliqna vilabu na mchezaji akagoma na hamuwezi mlazimisha...ndo mpira ulipofika hapa...Chelsea kwa Osimhen imekuwaje kwani....utawalaumu Chelsea kwmba wameshindwa wakati mchezaji mwnyewe kagoma....washabiki tunapenda furaha ila wakati mwingine tupunguze malalamiko....waarabu wamemu offer Osimhen £600000+ kama mshahara...Yy akawaambia Chelsea anataka £300000 Ili akubali kwnda kwao wamegoma huo mshahara....Sasa ulitaka Arsenal waende kichwakichwa kutoa hivyo hela...kwa uchezaji upi braza...mi nikimuangalia Osimhen namuona ni mchezaji wa darajq la kina Toney tu....Hana u spesho wa kupewa hyo hela....Chelsea walikurupuka kwa Sterling kwa ule mshahara....leo wametupa Bure tusaidiane kulipa mshahara....kwhyo sio rahisi kama mnavyodhani tu....kikubwa timu ipambane isiteleze kama mwaka jana na hakika tutabeba ndoo....good defence wins u titles
Watu wanatak timu isajili Kwa mihemko ya Mashabiki
 
Usajili wa Sterling unaweza kuleta matunda Kwa arsenal. Japo tungempata Sancho ingekuwa vizuri zaidi. Sterling siyo m baya japo Ana mapungufu yake. Finishing yake mbele ya Goli siyo ile ya Uhakika. Ki uhalisia sterling Ni bora uwanjani kuliko Martin Eli. Apate coaching nzuri . Apunguze ubinafsi basi
 
Hakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.

Unaulizaje angesajiliwa nani katika soko ambalo kuna Osimnhem, Gyokeres, Sesko, Furgeson

Kuna ubavu kama wa Williams na Rafael Leao, af timu inabaki na maombi ya kiwango cha Martinelli cha 22/23 kufufuka, wakati huo mpinzani wako anavuta Savinho
Williams alisema anataka abaki kwa msimu mwingine zaidi Athletic.

Leao Milan wakasema hawauzi.

Huyu Ferguson hua anagewa hype ila hamna kitu, Gyokeres wanasema alishapita EPL na alikua average. Hii siyo hoja ya msingi sana ukizingatia kwamba watu huimprove.

Nahisi changamoto ni timu za ureno kuovercharge wachezaji wakitakiwa na timu za UK. Martinelli hachezi vizuri kwakua Kai ni mbovu kwenye kulink naye.
 
Watu wanatak timu isajili Kwa mihemko ya Mashabiki
Ndo hvyo mkuu....ukifatilia kesi za wachezaji wte tulowataka ni either ada ya uhamisho kubwa au mchezaji bdo hayuko tyri kuhama kipindi hiko au matakwa ya mshahara ni makubwa....Sasa zile ni taasisi lazima muende kwa hesabu sio hovyohovyo....mwshoni mnajikuta kwny shida na FFP
 
Usajili wa Sterling unaweza kuleta matunda Kwa arsenal. Japo tungempata Sancho ingekuwa vizuri zaidi. Sterling siyo m baya japo Ana mapungufu yake. Finishing yake mbele ya Goli siyo ile ya Uhakika. Ki uhalisia sterling Ni bora uwanjani kuliko Martin Eli. Apate coaching nzuri . Apunguze ubinafsi basi
Sterling ni direct winger.

Anapata mpira analifuata box.

Enzo anataka winger wake akipata mpira asifuate box bali atanue uwanja zaidi wakati Mid zinakuja kusaidiana na huyu winger.

Enzo alikua sahihi kusema kwa uchezaji wa Sterling namba hatopata.

Sisi timu nyingi tunazocheza nazo zinapaki basi. Hapa tunahitaji mtu atakayewafuata huko huko walipopaki basi au mtu atanue uwanja?

Kuna uwezekano Sterling akawa mzuri kwetu kuliko kenge ila apunguze ubinafsi
 
Sterling ni direct winger.

Anapata mpira analifuata box.

Enzo anataka winger wake akipata mpira asifuate box bali atanue uwanja zaidi wakati Mid zinakuja kusaidiana na huyu winger.

Enzo alikua sahihi kusema kwa uchezaji wa Sterling namba hatopata.

Sisi timu nyingi tunazocheza nazo zinapaki basi. Hapa tunahitaji mtu atakayewafuata huko huko walipopaki basi au mtu atanue uwanja?

Kuna uwezekano Sterling akawa mzuri kwetu kuliko kenge ila apunguze ubinafsi
Sterling Ni type ya kina Doku. Umachachari wake unatakiwa utumike kifaida sana hasa akiwa analifata goli. Ni kweli tuna upunguf wa center forward lakini Amin usiamin. Hawa Kina gyrekes, toney, osihmen Ni wakawaida sanq.
 
Kina Halland hamna sasa hivi. Center forward zilizobaki kali. Ndo Hao washakuwa wazee. Kane , lewandoski. Nk
 
Kila mchezaji na matakwa yake. Kama unamtaka mchezaji yeye hawataki. Unampata vipi
unaongea kiwepesi sana hasa kwenye soka la ushindani, kuna kitu kinaitwa ku force
na tulipo arsenal sasa tunahitaji quality player so kwa baadhi ya wachezaji tunahitaji kuwaforce
 
Raheem Sterling atakuwa mchezaji mzuri hapo Arsenal kwa sababu anaweza kuwa mzuri.

Aliamua tu kutocheza vizuri hapa Chelsea kwa sababu ya uvivu na kuridhika sana.

Yuko kwenye umri wa kilele kuwa mzuri.

Ana matumaini ya kurudishwa kwenye timu ya taifa ya Uingereza ili aweze kucheza Kombe la Dunia, pia atakuwa na matumaini ya kucheza mara kwa mara chini ya Arteta ili ashinde mataji mataji ambayo hapa Chelsea asingeweza. Nina hakika atakuwa vizuri Arsenal. Namtakia mafanikio mema

1725088267930.png
 
We needed a DM akaja Merino, juju za Jorginho na Partey zimetiki. We needed a RW kaja Sterling.

Needed LB kaja Calafiori. CB? Kiwior kabaki na akaambiwa hauzwi Juve wakaambiwa huyu hayupo sokoni.

Needed ST? Tumepita wima. Watu wanasema kwanini hatujamchukua Toney, he is old, amesimamishwa kwa msimu mzima kabla ya kucheza. Na sababu ya kusimamishwa ni kubet miongoni mwa bets ni kubeti dhidi ya timu yake kwamba itafungwa.

Huyu ni mchezaji tunayemtaka?

Jesus majeruhi, nafikiri pia kwamba kuongeza ST ingezidi kumaanisha Trossard anazidi kua nyuma kwenye selection.

ST alikua Victor inayedaiwa anakula 500K per week (kuna ripoti zinasema huu ni uongo) na amegoma kushusha mshahara Kenge walimwambia wampe 155K per week kagoma. ST gani mwingine alikua sokoni? Toney. Mwingine?
tunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transfer
halafu haikuwa lazima tuchukue ST kuna baadhi ya foward wanakupa G/A +10 kwa msimu wangetuglq kama olise nico williams basi hata mitoma
 
tunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transfer
halafu haikuwa lazima tuchukue ST kuna baadhi ya foward wanakupa G/A +10 kwa msimu wangetuglq kama olise nico williams basi hata mitoma
Olise kashaenda Bayern

Williams akasema anataka acheze msimu wa mwisho Athletic.

Mitoma msimu uliopita aliflop mzee
 
tunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transfer
halafu haikuwa lazima tuchukue ST kuna baadhi ya foward wanakupa G/A +10 kwa msimu wangetuglq kama olise nico williams basi hata mitoma
Cheki hata wapinzani wetu wamesajili nini? Hakuna watu wa maana ambao wapo tayari kuondoka.

Unakumbuka Kenge walikua wanakimbilia kukubaliana na timu halafu mchezaji anawagomea?
 
Cheki hata wapinzani wetu wamesajili nini? Hakuna watu wa maana ambao wapo tayari kuondoka.

Unakumbuka Kenge walikua wanakimbilia kukubaliana na timu halafu mchezaji anawagomea?
hatupaswi kuangalia wapinzani tunapaswa kuangalia mapungufu yetu!!mpaka hapo tuko sawa kaka??
 
Back
Top Bottom