whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
Kweli tunafeli sana....kutoka tetesi za kumtaka sesko,mara victor gyokeres,
Mara imekuwa sterling
Mara imekuwa sterling
Sio jibu hili braza la swali nilokuuliza.. mko nafasi ya ngapi mkuuNyie tunawajua hata mkishika nafasi ya kwanza hamna madhara tunawasubiri May huko muachie nafasi za watu
Sesko alitaka kubaki kwa mwaka mwingine kwny timu yake Ili a develop zaidi...utaenda kumteka au??...usajili unahusha pande 3...vilabu 2 na mchezaji....mnaweza mkakubaliqna vilabu na mchezaji akagoma na hamuwezi mlazimisha...ndo mpira ulipofika hapa...Chelsea kwa Osimhen imekuwaje kwani....utawalaumu Chelsea kwmba wameshindwa wakati mchezaji mwnyewe kagoma....washabiki tunapenda furaha ila wakati mwingine tupunguze malalamiko....waarabu wamemu offer Osimhen £600000+ kama mshahara...Yy akawaambia Chelsea anataka £300000 Ili akubali kwnda kwao wamegoma huo mshahara....Sasa ulitaka Arsenal waende kichwakichwa kutoa hivyo hela...kwa uchezaji upi braza...mi nikimuangalia Osimhen namuona ni mchezaji wa darajq la kina Toney tu....Hana u spesho wa kupewa hyo hela....Chelsea walikurupuka kwa Sterling kwa ule mshahara....leo wametupa Bure tusaidiane kulipa mshahara....kwhyo sio rahisi kama mnavyodhani tu....kikubwa timu ipambane isiteleze kama mwaka jana na hakika tutabeba ndoo....good defence wins u titlesHakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.
Unaulizaje angesajiliwa nani katika soko ambalo kuna Osimnhem, Gyokeres, Sesko, Furgeson
Kuna ubavu kama wa Williams na Rafael Leao, af timu inabaki na maombi ya kiwango cha Martinelli cha 22/23 kufufuka, wakati huo mpinzani wako anavuta Savinho
Unavyofikiri Hao wachezaji wote uliowataja Ni wa kiwango kikubwa sana basi. Kama huyo Osihmen Ni mchezaji wa kawaida sana. Wote uliowataja Ni washambuliaji wazuri lakini hawakupi uhakika Kama Wata perform kwenye mfumo wako Au Vipi. Wee nitajie kati ya Hao uliowataja umewajulia wapi kwingine kabla ya hizo timu zao Za sasa hiviHakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.
Unaulizaje angesajiliwa nani katika soko ambalo kuna Osimnhem, Gyokeres, Sesko, Furgeson
Kuna ubavu kama wa Williams na Rafael Leao, af timu inabaki na maombi ya kiwango cha Martinelli cha 22/23 kufufuka, wakati huo mpinzani wako anavuta
Watu wanatak timu isajili Kwa mihemko ya MashabikiSesko alitaka kubaki kwa mwaka mwingine kwny timu yake Ili a develop zaidi...utaenda kumteka au??...usajili unahusha pande 3...vilabu 2 na mchezaji....mnaweza mkakubaliqna vilabu na mchezaji akagoma na hamuwezi mlazimisha...ndo mpira ulipofika hapa...Chelsea kwa Osimhen imekuwaje kwani....utawalaumu Chelsea kwmba wameshindwa wakati mchezaji mwnyewe kagoma....washabiki tunapenda furaha ila wakati mwingine tupunguze malalamiko....waarabu wamemu offer Osimhen £600000+ kama mshahara...Yy akawaambia Chelsea anataka £300000 Ili akubali kwnda kwao wamegoma huo mshahara....Sasa ulitaka Arsenal waende kichwakichwa kutoa hivyo hela...kwa uchezaji upi braza...mi nikimuangalia Osimhen namuona ni mchezaji wa darajq la kina Toney tu....Hana u spesho wa kupewa hyo hela....Chelsea walikurupuka kwa Sterling kwa ule mshahara....leo wametupa Bure tusaidiane kulipa mshahara....kwhyo sio rahisi kama mnavyodhani tu....kikubwa timu ipambane isiteleze kama mwaka jana na hakika tutabeba ndoo....good defence wins u titles
Williams alisema anataka abaki kwa msimu mwingine zaidi Athletic.Hakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.
Unaulizaje angesajiliwa nani katika soko ambalo kuna Osimnhem, Gyokeres, Sesko, Furgeson
Kuna ubavu kama wa Williams na Rafael Leao, af timu inabaki na maombi ya kiwango cha Martinelli cha 22/23 kufufuka, wakati huo mpinzani wako anavuta Savinho
Ndo hvyo mkuu....ukifatilia kesi za wachezaji wte tulowataka ni either ada ya uhamisho kubwa au mchezaji bdo hayuko tyri kuhama kipindi hiko au matakwa ya mshahara ni makubwa....Sasa zile ni taasisi lazima muende kwa hesabu sio hovyohovyo....mwshoni mnajikuta kwny shida na FFPWatu wanatak timu isajili Kwa mihemko ya Mashabiki
Sterling ni direct winger.Usajili wa Sterling unaweza kuleta matunda Kwa arsenal. Japo tungempata Sancho ingekuwa vizuri zaidi. Sterling siyo m baya japo Ana mapungufu yake. Finishing yake mbele ya Goli siyo ile ya Uhakika. Ki uhalisia sterling Ni bora uwanjani kuliko Martin Eli. Apate coaching nzuri . Apunguze ubinafsi basi
Sterling Ni type ya kina Doku. Umachachari wake unatakiwa utumike kifaida sana hasa akiwa analifata goli. Ni kweli tuna upunguf wa center forward lakini Amin usiamin. Hawa Kina gyrekes, toney, osihmen Ni wakawaida sanq.Sterling ni direct winger.
Anapata mpira analifuata box.
Enzo anataka winger wake akipata mpira asifuate box bali atanue uwanja zaidi wakati Mid zinakuja kusaidiana na huyu winger.
Enzo alikua sahihi kusema kwa uchezaji wa Sterling namba hatopata.
Sisi timu nyingi tunazocheza nazo zinapaki basi. Hapa tunahitaji mtu atakayewafuata huko huko walipopaki basi au mtu atanue uwanja?
Kuna uwezekano Sterling akawa mzuri kwetu kuliko kenge ila apunguze ubinafsi
unaongea kiwepesi sana hasa kwenye soka la ushindani, kuna kitu kinaitwa ku forceKila mchezaji na matakwa yake. Kama unamtaka mchezaji yeye hawataki. Unampata vipi
ila sterling anakupa si ndio??Hao wote uliowataja ni wachezaji wazuri. Lakini hawakupi Warranty ya kushindania makombe makubwa. Kiiiidooooogoooo Sane
tunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transferWe needed a DM akaja Merino, juju za Jorginho na Partey zimetiki. We needed a RW kaja Sterling.
Needed LB kaja Calafiori. CB? Kiwior kabaki na akaambiwa hauzwi Juve wakaambiwa huyu hayupo sokoni.
Needed ST? Tumepita wima. Watu wanasema kwanini hatujamchukua Toney, he is old, amesimamishwa kwa msimu mzima kabla ya kucheza. Na sababu ya kusimamishwa ni kubet miongoni mwa bets ni kubeti dhidi ya timu yake kwamba itafungwa.
Huyu ni mchezaji tunayemtaka?
Jesus majeruhi, nafikiri pia kwamba kuongeza ST ingezidi kumaanisha Trossard anazidi kua nyuma kwenye selection.
ST alikua Victor inayedaiwa anakula 500K per week (kuna ripoti zinasema huu ni uongo) na amegoma kushusha mshahara Kenge walimwambia wampe 155K per week kagoma. ST gani mwingine alikua sokoni? Toney. Mwingine?
Olise kashaenda Bayerntunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transfer
halafu haikuwa lazima tuchukue ST kuna baadhi ya foward wanakupa G/A +10 kwa msimu wangetuglq kama olise nico williams basi hata mitoma
Cheki hata wapinzani wetu wamesajili nini? Hakuna watu wa maana ambao wapo tayari kuondoka.tunatambua uhaba wa ST lakini kwa levo ya arsenal tulipofikia sio timu ya kuokoteza dead transfer
halafu haikuwa lazima tuchukue ST kuna baadhi ya foward wanakupa G/A +10 kwa msimu wangetuglq kama olise nico williams basi hata mitoma
hatupaswi kuangalia wapinzani tunapaswa kuangalia mapungufu yetu!!mpaka hapo tuko sawa kaka??Cheki hata wapinzani wetu wamesajili nini? Hakuna watu wa maana ambao wapo tayari kuondoka.
Unakumbuka Kenge walikua wanakimbilia kukubaliana na timu halafu mchezaji anawagomea?