Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Na kipa ni mmoja tu nae yakimkuta ndo habari imeisha. Jesus + Tomi pancha kama kawa.Kaumia bega atakuwe nje kwa week kadhaa
Na kipa ni mmoja tu nae yakimkuta ndo habari imeisha. Jesus + Tomi pancha kama kawa.Kaumia bega atakuwe nje kwa week kadhaa
Itabidi apandishwe kipa wa Academy ikiwa hiyo hahahahaNa kipa ni mmoja tu nae yakimkuta ndo habari imeisha. Jesus + Tomi pancha kama kawa.
Kipa kasajiliwa NetoItabidi apandishwe kipa wa Academy ikiwa hiyo hahahaha
First choice golie akiwa majanga 2 months huyo academy keeper atavusha watu nchi ya ahadi?Itabidi apandishwe kipa wa Academy ikiwa hiyo hahahaha
Kwani mashabiki wa Arsenal wao wanategemea kikombe chochote? Ni mashindano gani wanaweza kushindana mpaka wachukue ubingwa? Wenda ubingwa wa siku moja kama Ngao ya Hisani siyo hizi za mbio ndefu...Anaandika mdau:
Manchester City won the league back to back - Signs Haaland
Real Madrid won a league and UCL double - Signs Mbappe
Arsenal with zero league titles in 20yrs trying to overtake Man City - ??????????????????????
Ndo maana akina Flano wanatuona ni jukwaa la vichekesho![]()
hatuko serious kabisaa hata toney tumemshindwa.....Anaandika mdau:
Manchester City won the league back to back - Signs Haaland
Real Madrid won a league and UCL double - Signs Mbappe
Arsenal with zero league titles in 20yrs trying to overtake Man City - ??????????????????????
Ndo maana akina Flano wanatuona ni jukwaa la vichekesho![]()
Tunahusishwa na Sterling, ndo surprise package etihatuko serious kabisaa hata toney tumemshindwa.....



Tofauti ya points za bingwa na arsenal msimu uliopita ni ngapi?Anaandika mdau:
Manchester City won the league back to back - Signs Haaland
Real Madrid won a league and UCL double - Signs Mbappe
Arsenal with zero league titles in 20yrs trying to overtake Man City - ??????????????????????
Ndo maana akina Flano wanatuona ni jukwaa la vichekesho![]()
Sterling wa kazi gani?!usajili wa sterling kama ukikamilika.. naona ataenda kutumika zaidi eneo analocheza kai kwa sasa.
Angesajiliwa naniArteta hayupo serious, tuna kiazi kai, halafu anaenda kutuletea bogus sterling,
Tutashinda shinda game nyingi lakini KIKOMBE sifikirii
olise, toney,bowen,sane,eze n.kAngesajiliwa nani
Hao wote uliowataja ni wachezaji wazuri. Lakini hawakupi Warranty ya kushindania makombe makubwa. Kiiiidooooogoooo Saneolise, toney,bowen,sane,eze n.k
Mkipunguza yale makalio ya Sterling atakuwa mchezaji mzuri sanaSterling wa kazi gani?!