Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile winga
Tangu apate injury amekua siyo yule wa kipindi kile.

Juve kumvunjia mkataba siyo vipofu
 
Kuna muda unapaswa kutazama usajili sio kwa sura ya usajili tu bali kwa aspect nyingine.mfano.

Tunahitaji winger,hasa winga ya kulia na hata kushoto pia.
Kulia una saka,una fabio japo ni kama RCM
saka ni early 20
Fabio ni early 20
Ethani ni early 20
Ukisajili mchezaji yeyote hapo awe ni potential au complete maana yake ujiandae kumpoteza fabio au ethan japo hawa wote wanaweza cheza RCM ikilazimu.
Hiki ndo kimefanya CHIDO OBI pamoja na factor ya mshahara kutukimbia.

Kila winger anayetaka kuja arsenal lazima ajiulize maswali kwa SAKA na MARTINELL

Rambo katuacha sababu ya RAYA sio kama haipendi timu
Palmer ndo maana aliondoka man city
Alvarez ndo sababu ya kuondoka CITY
Its too hard to keep two world class player of the same position at same club.
Pep alitaman kubaki na zinchenko,palmer na hata alvarez ila sasa huwez kuwa nao wote kwa ubora wao.

Ndo maana unona anawaza kumleta kingsley au raheem kwasababu hawa ni kama they have nothing to prove.ukimpanga poa na usipompanga poa pia.


Ushawahi kujiuliza academy player anayecheza nafasi ya watu kama saliba,white,saka,ode,rice anajisikiaje anapoona viwango na umri wa hao wachezaji wakati na yeye yuko online.

Trossard tu ameshaanza kumpa shida arteta vip akija mwingine?

Ndo maana sikuhangaika kufuatilia tetesi za douglas luiz,fofana na wengine katika nafasi ya DM baada ya kujua jojinho na partey hawaondoki
Ukocha kazi kweli,you balance squad and you balance fans expectations
 
Kuna muda unapaswa kutazama usajili sio kwa sura ya usajili tu bali kwa aspect nyingine.mfano.

Tunahitaji winger,hasa winga ya kulia na hata kushoto pia.
Kulia una saka,una fabio japo ni kama RCM
saka ni early 20
Fabio ni early 20
Ethani ni early 20
Ukisajili mchezaji yeyote hapo awe ni potential au complete maana yake ujiandae kumpoteza fabio au ethan japo hawa wote wanaweza cheza RCM ikilazimu.
Hiki ndo kimefanya CHIDO OBI pamoja na factor ya mshahara kutukimbia.

Kila winger anayetaka kuja arsenal lazima ajiulize maswali kwa SAKA na MARTINELL

Rambo katuacha sababu ya RAYA sio kama haipendi timu
Palmer ndo maana aliondoka man city
Alvarez ndo sababu ya kuondoka CITY
Its too hard to keep two world class player of the same position at same club.
Pep alitaman kubaki na zinchenko,palmer na hata alvarez ila sasa huwez kuwa nao wote kwa ubora wao.

Ndo maana unona anawaza kumleta kingsley au raheem kwasababu hawa ni kama they have nothing to prove.ukimpanga poa na usipompanga poa pia.


Ushawahi kujiuliza academy player anayecheza nafasi ya watu kama saliba,white,saka,ode,rice anajisikiaje anapoona viwango na umri wa hao wachezaji wakati na yeye yuko online.

Trossard tu ameshaanza kumpa shida arteta vip akija mwingine?

Ndo maana sikuhangaika kufuatilia tetesi za douglas luiz,fofana na wengine katika nafasi ya DM baada ya kujua jojinho na partey hawaondoki
Ukocha kazi kweli,you balance squad and you balance fans expectations
Mkuu Fabio hayupo. Nwaneri bado young

Mbappe, Rodrygo na Vini wote ni LW lakini unaona kocha anavyowatumia? Kama tuna world class RW hakuna namna atakosa game time kisa Saka yupo
 
Mkuu Fabio hayupo. Nwaneri bado young

Mbappe, Rodrygo na Vini wote ni LW lakini unaona kocha anavyowatumia? Kama tuna world class RW hakuna namna atakosa game time kisa Saka yupo
Izo habari za kuforce wote wacheze hazileti balance kwenye timu aslimia kubwa, kuna wakati inabid balance iwepo kwenyw timu na wachezaj kadhaa wapishane kwenye namba izo, huwez kuleta RW Tena World class kuna mmja itabid akose game time ya kutosha tu hakuna uwezekano wa wote kucheza kisa wote wana viwango sawa .
 
Juve wamemvunjia mkataba Chiesa ???? Kwa uongo tu upo vizuri sana.
Chiesa ameambiwa

"You are not part of the project"

Hawakumpa contract renewal yeye na wengine akiwemo Wojciech. Na ripoti ilisema wote wamevunjiwa, kama una ukweli zaidi ya huo badala ya kunishutumu ungekaa nao tu kwakua nyinyi ndiyo mnamtaka
 
Chiesa ameambiwa

"You are not part of the project"

Hawakumpa contract renewal yeye na wengine akiwemo Wojciech. Na ripoti ilisema wote wamevunjiwa, kama una ukweli zaidi ya huo badala ya kunishutumu ungekaa nao tu kwakua nyinyi ndiyo mnamtaka
Daah mkuu si unajua mtu akipenda hata chongo huita kengeza
 
Izo habari za kuforce wote wacheze hazileti balance kwenye timu aslimia kubwa, kuna wakati inabid balance iwepo kwenyw timu na wachezaj kadhaa wapishane kwenye namba izo, huwez kuleta RW Tena World class kuna mmja itabid akose game time ya kutosha tu hakuna uwezekano wa wote kucheza kisa wote wana viwango sawa .
Upo sahihi pia
 
Juve wamemvunjia mkataba Chiesa ???? Kwa uongo tu upo vizuri sana.
Screenshot_2024-08-30-17-03-36-995_com.android.chrome-edit.jpg
 
He was really excited and everything was looking really good. He landed on the floor and Gabi landed on top of him and it looks like he has a small fracture probably.
 
He was really excited and everything was looking really good. He landed on the floor and Gabi landed on top of him and it looks like he has a small fracture probably.
Nyie mlitaka Gabi amwaache ili yeye asicheze? Natania tu
 
Chiesa ameambiwa

"You are not part of the project"

Hawakumpa contract renewal yeye na wengine akiwemo Wojciech. Na ripoti ilisema wote wamevunjiwa, kama una ukweli zaidi ya huo badala ya kunishutumu ungekaa nao tu kwakua nyinyi ndiyo mnamtaka
Walichokifanya Juve kwa Chiesa sio kumvunjia mkataba sasa kama wewe unavyo sema, Juve walichokifanya kwa Chiesa ni kama kumpiga mnada vile kwa sababu alikuwa anaingi final year ya mkataba wake atleast warudishe hata pesa kidogo waliomnunua kuliko kuondoka Free kama Rabiot next summer ni hasara.

Huo mkataba unaosema Juve walimvunjia Chiesa ni mkataba upi labda mimi ndio sijui tafsiri sahihi ya Kumvunjia mchezaji mkataba ni ipi, Unifafanulie .
 
Back
Top Bottom