Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

King kai kama wengi wanavyomuita.
Kwasasa arsenal tumevuka zama za kuishi na mchezaji kwa kulipa fadhila,hatupo huko tena.

Pepe aliondoka na price tag yake,
Ramsdale kaondoka na uingereza wake
Nketiah kaondoka na u homegrown wake
Nelson taa nyekundu imeshawaka
Fabio vieira kapelekwa kwa mkopo kumtafutia sababu

Kifupi kwa sasa kama hauna performance nzuri edu na arteta hawakutazami usoni.

Zinchenko,jesus,martinell na KAI wasipobadilika hakuna rangi ya arteta wataacha kuiona.
Arteta nilianza kumuofia jinsi alivyomgeuka ramsdale na price tag yake na good perfomance
 
Kama tukipata striker mpya,
Kai kuna rangi ataanza kuiona kutoka technical bench
 
GENGE LA MATUMAINI HEWA:
Hapa ndipo kisima cha false hopes karibuni wote .
Kuna jamaa hapo juu anakuambia martineli amekaa pembeni ya merino kutengeneza bond yaani gabi atafufuka na kutikisa😂😂😂. Hii false hope tamu kweli kuisikia inabidi mkorea tukupe u chairman sasa wa false hope rasmi.
 
GENGE LA MATUMAINI HEWA:
Hapa ndipo kisima cha false hopes karibuni wote .
Kuna jamaa hapo juu anakuambia martineli amekaa pembeni ya merino kutengeneza bond yaani gabi atafufuka na kutikisa😂😂😂. Hii false hope tamu kweli kuisikia inabidi mkorea tukupe u chairman sasa wa false hope rasmi.Nashika
Mnashika nafasi ya ngapi mkuu
 
King kai kama wengi wanavyomuita.
Kwasasa arsenal tumevuka zama za kuishi na mchezaji kwa kulipa fadhila,hatupo huko tena.

Pepe aliondoka na price tag yake,
Ramsdale kaondoka na uingereza wake
Nketiah kaondoka na u homegrown wake
Nelson taa nyekundu imeshawaka
Fabio vieira kapelekwa kwa mkopo kumtafutia sababu

Kifupi kwa sasa kama hauna performance nzuri edu na arteta hawakutazami usoni.

Zinchenko,jesus,martinell na KAI wasipobadilika hakuna rangi ya arteta wataacha kuiona.
Arteta nilianza kumuofia jinsi alivyomgeuka ramsdale na price tag yake na good perfomance
Arteta kwa Kai humwambii kitu. Mpaka sasa hana mpango wa kununua striker.
 
Kama tukipata striker mpya,
Kai kuna rangi ataanza kuiona kutoka technical bench
Hakuna striker anayekuja hapa. Hii timu ni kichekesho.

Tunahadithiana ubingwa, Bado tupo na kina Nelson!

Striker/Winger muda huu alitakiwa kuwa yupo Sobha Realty anapasha misuli na wenzake. Sio kuulizana tunamsajili nani.
 
GENGE LA MATUMAINI HEWA:
Hapa ndipo kisima cha false hopes karibuni wote .
Kuna jamaa hapo juu anakuambia martineli amekaa pembeni ya merino kutengeneza bond yaani gabi atafufuka na kutikisa😂😂😂. Hii false hope tamu kweli kuisikia inabidi mkorea tukupe u chairman sasa wa false hope rasmi.
jamaa kazingua kinoma eti amekaa pembeni ya merino ni swala technical huku kuna mashabiki hoyahoya sana wanajiandikia tuu, ukisoma unaweza fikiri ni story za darasa la tano
 
kwa hiyo league phase draw ya pot 2 ambayo arsenal yupo.. muhimu zaidi ni kushika nafasi mbili za juu ili kufuzu moja kwa moja hatua ya 16 bora bila kupitia mtoano ;hiyo itapunguza wingi wa mechi kidg.

ikitokea arsenal imemaliza kuanzia ya 3 hadi ya 6.. ndio anaenda kukutana na zile games za home and way ili kuingia 16 bora.
Hapana sio hivyo.

kwa hiyo league phase draw ya pot 2 ambayo arsenal yupo.. muhimu zaidi ni kushika nafasi mbili za juu ili kufuzu moja kwa moja hatua ya 16 bora bila kupitia mtoano ;hiyo itapunguza wingi wa mechi kidg.

ikitokea arsenal imemaliza kuanzia ya 3 hadi ya 6.. ndio anaenda kukutana na zile games za home and way ili kuingia 16 bora.
 
Mchezaji ambaye tungempata toka Juve angekua hatari ni Kulusevski
Kwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile winga
 
GENGE LA MATUMAINI HEWA:
Hapa ndipo kisima cha false hopes karibuni wote .
Kuna jamaa hapo juu anakuambia martineli amekaa pembeni ya merino kutengeneza bond yaani gabi atafufuka na kutikisa. Hii false hope tamu kweli kuisikia inabidi mkorea tukupe u chairman sasa wa false hope rasmi.
Tulieni mtafikiwa tu. Muwe wavumilivu
 
Hakuna striker anayekuja hapa. Hii timu ni kichekesho.

Tunahadithiana ubingwa, Bado tupo na kina Nelson!

Striker/Winger muda huu alitakiwa kuwa yupo Sobha Realty anapasha misuli na wenzake. Sio kuulizana tunamsajili nani.
Acheni ujuaji . Wee unajua kuliko Arteta😅
 
jamaa kazingua kinoma eti amekaa pembeni ya merino ni swala technical huku kuna mashabiki hoyahoya sana wanajiandikia tuu, ukisoma unaweza fikiri ni story za darasa la tano
Hawa jina lao ni false hopers , kama ubingwa unaletwa kwa njia hiooo basi wana miaka mingine 30 ya false hopes.
Forward havertz ndo uchukue ubingwa si itakuwa dharau ya EPL hio😂
 
Kwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile winga
for sure Chiesa ni mnyama hasa
 
Kwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile winga
Usisahau ni mtu wa Injury sana tu
 
Back
Top Bottom