toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
King kai kama wengi wanavyomuita.
Kwasasa arsenal tumevuka zama za kuishi na mchezaji kwa kulipa fadhila,hatupo huko tena.
Pepe aliondoka na price tag yake,
Ramsdale kaondoka na uingereza wake
Nketiah kaondoka na u homegrown wake
Nelson taa nyekundu imeshawaka
Fabio vieira kapelekwa kwa mkopo kumtafutia sababu
Kifupi kwa sasa kama hauna performance nzuri edu na arteta hawakutazami usoni.
Zinchenko,jesus,martinell na KAI wasipobadilika hakuna rangi ya arteta wataacha kuiona.
Arteta nilianza kumuofia jinsi alivyomgeuka ramsdale na price tag yake na good perfomance
Kwasasa arsenal tumevuka zama za kuishi na mchezaji kwa kulipa fadhila,hatupo huko tena.
Pepe aliondoka na price tag yake,
Ramsdale kaondoka na uingereza wake
Nketiah kaondoka na u homegrown wake
Nelson taa nyekundu imeshawaka
Fabio vieira kapelekwa kwa mkopo kumtafutia sababu
Kifupi kwa sasa kama hauna performance nzuri edu na arteta hawakutazami usoni.
Zinchenko,jesus,martinell na KAI wasipobadilika hakuna rangi ya arteta wataacha kuiona.
Arteta nilianza kumuofia jinsi alivyomgeuka ramsdale na price tag yake na good perfomance
