Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnooo
cheki dili la merino limechukua karne kumalizika
tangia msimu hujaanza it was clear tunahitaji back up ya saka na striker mpaka leo mzeee!!!!!
checki quickness ya man city or bayern or madrid or chelsea kwenye usajili they are so fast kwenye recruitment

Trust me bro deal la merino lingekuwa man city or liverpool lingekuwa limeisha hata kabla hajaenda euro
Ni tatizo,timu haipo serious na ubingwa ni jambo la ajabu kweli
 
Ni kwli ndo maana na sisi tukawaachia mumchukue Mudryk braza🤠🤠...anaupiga mwingi sana....ila tutakutana tu siku sio nyingi....na usije ukala nyoya
Nakuhakikishia siku tukikutana na ninyi , huu uzi wenu mtaukimbia , tutawabonda kwa hasira na malipizi ya visasi makubwa .
Kile kipigo cha mbwa koko alichopata wolves kitawakumba na ninyi , kiufupi round hii hamtoki salama mkikutana na Chelsea
 
Kaka mchezaji kasema anaitaka Arsenal.

Sociedad wako tayari kumuuza.

Changamoto ikawa structure ya malipo.

Kila upande unataka uvutie kwake.

Kama wewe unikopeshe laki nakuambia nitakupa laki na ishirini ila kwa miaka 7.

Wewe useme hapana, mimi nataka miaka 4 hapo ndiyo ilikua changamoto.

Chelsea kamtaka Osimhen kaambiwa atoe 120M timu ya Saudi imeambiwa itoe 65M. Why? Timu ya Saudi inamwaga mpunga wote kwa mara moja.

Unaisifia Liverpool lakini ni wao wameshindwa kumaliza deal la Zubimendi. Na sasa hivi wanamtaka Chiesa.

Kwenye usajili ni changamoto. Mchezaji anawataka ila timu inafocus na maslahi yake.
sijakuelewa kwa sababu hujajibu swali langu direct
kwenye usajili arsenal tupo very slow
ni kama tunaenda kwa kupapasapapasa
dili la 31.5m linachukua miezi miwili kweli bro???
Angalia wapinzani wetu city wakitaka mchezaji how fast they get him
Cheki douglaz ruiz alivyoenda juve easily.....

Now tuna tatizo la RW na Striker na watu hawana habari yaani this is our season we must win the league
 
sijakuelewa kwa sababu hujajibu swali langu direct
kwenye usajili arsenal tupo very slow
ni kama tunaenda kwa kupapasapapasa
dili la 31.5m linachukua miezi miwili kweli bro???
Angalia wapinzani wetu city wakitaka mchezaji how fast they get him
Cheki douglaz ruiz alivyoenda juve easily.....

Now tuna tatizo la RW na Striker na watu hawana habari yaani this is our season we must win the league
Yaani ni kwamba hili deal limechukua muda kwakua structure ya malipo ndiyo ilikua ishu.

Halafu kitu kingine chief ni kwamba City, Chelsea, United sifa kubwa ni mishahara ya juu. Hii sifa Liva anaifuata polepole.

Ndiyo sababu wachezaji wengi wanaokuja Arsenal utasikia wakisema ilikua ndoto yao kuja Arsenal. Kwahiyo kwao kuhama pesa haikua factor ya msingi.

Juve wamemtaka Calafiori akawakataa kaja Arsenal, Merino katakwa na Barca, Liver kawakataa kaja Arsenal. Kuna dogo anaitwa Chido alikua academy anascore mno dogo Arsenal tumempa mkataba mshahara 16K ambacho ni kiasi cha mwisho kikubwa kumpa academy kwetu.

United wakampa dogo 30K dogo kasepa. So kuna structure hatuwezi kuzivunja ili tu kuendana na wapinzani.
Nico ni mzuri Barca wameshindwa kumsajili, Chelsea wanaburuzana na Victor hadi leo.

Na RW na ST tunahitaji tangu misimu miwili nyuma, hapa sasa usiseme kwamba tupo slow kwakua hakuna ST wala RW tuliyemfuata tukashindwana naye. Hapa sema hatujui priority au Arteta anatafuta kichaka kwamba akifeli sababu iwe ni hana ST wala RW.
 
K
Kai yupo level aliyofikia Auba kabla hajavunjiwa mkataba.

Yaani ukimpa mpira hana hamu ya kufuata box atarudisha mpira nyuma au ataupoteza. Tofauti na Jesus/ Trossard na Martinelli anakufuata huko huko ukimkata penalty/ foul au uchukue mpira akukimbize, yule Amad wa United ni mzuri kufuata box kuliko Kai.
Kuna viumbe wana bahati hapa dunuani.
 
Rambo,
ni good short stopper ukimlinganisha na raya,
Ila ana footwork ya kawaida na sio mbaya.
Kifupi naamini huyu alikuwa ni kama bulldozer ametengeneza barabara na sasa inaonekana akipita juu yake anaharibu.
Martinell ajifunze na kai ajifunze pia.wasipobadilika wataachwa muda ambao hawaamini
 
Mimi bado nna maswali sana na perfomance ya orde kama RCM hasa kwenye mech ngumu na muhimu ambazo tunahitaji matokeo

Nafikiri hiki nachokiona uenda arteta au watu walio karibu nae watakuwa wanakiona.huyu mtu ni either aboreshe game yake kwenye game muhimu au atafutiwe mbadala
 
Mimi bado nna maswali sana na perfomance ya orde kama RCM hasa kwenye mech ngumu na muhimu ambazo tunahitaji matokeo

Nafikiri hiki nachokiona uenda arteta au watu walio karibu nae watakuwa wanakiona.huyu mtu ni either aboreshe game yake kwenye game muhimu au atafutiwe mbadala
What if ni system nzima inacollapse?
 
Rambo,
ni good short stopper ukimlinganisha na raya,
Ila ana footwork ya kawaida na sio mbaya.
Kifupi naamini huyu alikuwa ni kama bulldozer ametengeneza barabara na sasa inaonekana akipita juu yake anaharibu.
Martinell ajifunze na kai ajifunze pia.wasipobadilika wataachwa muda ambao hawaamini
Shot stopping ya Ramsdale ni debatable.

Shot stopper ambaye kuzuia penati kwake ni janga siyo shot stopper.

Leno good shot stopper but weak footwork compared to Ramsdale.

Ramsdale weak shot stopper and weak footwork compared to Raya
 
What if ni system nzima inacollapse?
Ni kweli ila angalau huwa kuna uhai kwa baadhi ya maeneo mengine na wachezaji wengine.
System?ni kweli kuna muda ina collapse katika baadhi ya mechi na hapa ndo muda ubahitaji individual brilliance kupata matokeo na hiki ndo almost kinatunyima ubingwa kila mwaka.
Ode sio mbaya ila anatakiwa kustep up game yake hasa kwa position anayocheza na kwa majukumu yake kama captain
 
Shot stopping ya Ramsdale ni debatable.

Shot stopper ambaye kuzuia penati kwake ni janga siyo shot stopper.

Leno good shot stopper but weak footwork compared to Ramsdale.

Ramsdale weak shot stopper and weak footwork compared to Raya
Daah dunia haiko fair kabisa.
Hii inanikumbusha kauli ya CEO wa nokia siku wanauza kampuni kwa Microsoft
"We did nothing wrong"ila muda huo apple na sumsung washawatupa mbali
 
Naona hamiss uko X kiburi fc akijamuisha😁😁

Jamaa bado hanatuwaza huko alipo.
Screenshot_20240827-192557.png
 
Back
Top Bottom