Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,896
- 1,698
daaah nae ni mtu sana yule aseeeeKauzwa dirisha hili
daaah nae ni mtu sana yule aseeeeKauzwa dirisha hili
Arteta amejitahidi kuwapa game time, lakini, bado.Uvumilivu nao muhimu.
Hapana, kuna kitu. Mbona Kai kapewa game time kupitiliza na bado hayuko sawa? Kocha ana yake.Arteta amejitahidi kuwapa game time, lakini, bado.
Ni tatizo,timu haipo serious na ubingwa ni jambo la ajabu kwelikiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnooo
cheki dili la merino limechukua karne kumalizika
tangia msimu hujaanza it was clear tunahitaji back up ya saka na striker mpaka leo mzeee!!!!!
checki quickness ya man city or bayern or madrid or chelsea kwenye usajili they are so fast kwenye recruitment
Trust me bro deal la merino lingekuwa man city or liverpool lingekuwa limeisha hata kabla hajaenda euro
Nakuhakikishia siku tukikutana na ninyi , huu uzi wenu mtaukimbia , tutawabonda kwa hasira na malipizi ya visasi makubwa .Ni kwli ndo maana na sisi tukawaachia mumchukue Mudryk braza🤠🤠...anaupiga mwingi sana....ila tutakutana tu siku sio nyingi....na usije ukala nyoya
sijakuelewa kwa sababu hujajibu swali langu directKaka mchezaji kasema anaitaka Arsenal.
Sociedad wako tayari kumuuza.
Changamoto ikawa structure ya malipo.
Kila upande unataka uvutie kwake.
Kama wewe unikopeshe laki nakuambia nitakupa laki na ishirini ila kwa miaka 7.
Wewe useme hapana, mimi nataka miaka 4 hapo ndiyo ilikua changamoto.
Chelsea kamtaka Osimhen kaambiwa atoe 120M timu ya Saudi imeambiwa itoe 65M. Why? Timu ya Saudi inamwaga mpunga wote kwa mara moja.
Unaisifia Liverpool lakini ni wao wameshindwa kumaliza deal la Zubimendi. Na sasa hivi wanamtaka Chiesa.
Kwenye usajili ni changamoto. Mchezaji anawataka ila timu inafocus na maslahi yake.
Yaani ni kwamba hili deal limechukua muda kwakua structure ya malipo ndiyo ilikua ishu.sijakuelewa kwa sababu hujajibu swali langu direct
kwenye usajili arsenal tupo very slow
ni kama tunaenda kwa kupapasapapasa
dili la 31.5m linachukua miezi miwili kweli bro???
Angalia wapinzani wetu city wakitaka mchezaji how fast they get him
Cheki douglaz ruiz alivyoenda juve easily.....
Now tuna tatizo la RW na Striker na watu hawana habari yaani this is our season we must win the league
Kuna viumbe wana bahati hapa dunuani.Kai yupo level aliyofikia Auba kabla hajavunjiwa mkataba.
Yaani ukimpa mpira hana hamu ya kufuata box atarudisha mpira nyuma au ataupoteza. Tofauti na Jesus/ Trossard na Martinelli anakufuata huko huko ukimkata penalty/ foul au uchukue mpira akukimbize, yule Amad wa United ni mzuri kufuata box kuliko Kai.
Wakati Arsenal tunamchukua Ramsdale tulitakiwa kulipa % husika kwa timu aliyotoka kama tungelipwa kiasi zaidi ya 19MRamsdale joins Southampton in a deal worth £25m of which £18m is payable upfront, the remaining in adds on
What if ni system nzima inacollapse?Mimi bado nna maswali sana na perfomance ya orde kama RCM hasa kwenye mech ngumu na muhimu ambazo tunahitaji matokeo
Nafikiri hiki nachokiona uenda arteta au watu walio karibu nae watakuwa wanakiona.huyu mtu ni either aboreshe game yake kwenye game muhimu au atafutiwe mbadala
Shot stopping ya Ramsdale ni debatable.Rambo,
ni good short stopper ukimlinganisha na raya,
Ila ana footwork ya kawaida na sio mbaya.
Kifupi naamini huyu alikuwa ni kama bulldozer ametengeneza barabara na sasa inaonekana akipita juu yake anaharibu.
Martinell ajifunze na kai ajifunze pia.wasipobadilika wataachwa muda ambao hawaamini
Ni kweli ila angalau huwa kuna uhai kwa baadhi ya maeneo mengine na wachezaji wengine.What if ni system nzima inacollapse?
Daah dunia haiko fair kabisa.Shot stopping ya Ramsdale ni debatable.
Shot stopper ambaye kuzuia penati kwake ni janga siyo shot stopper.
Leno good shot stopper but weak footwork compared to Ramsdale.
Ramsdale weak shot stopper and weak footwork compared to Raya
Tutakutana peponi mkuu, kwa kweli mpaka kufikia sasa huyu kai kwangu bado ni big NO.Huyu kai kila nikijaribu kutaka kumsifia moyoni mwangu nasikia kasauti kananiambia "acha unafiki"