Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2024-08-22-20-28-00-974_com.twitter.android-edit.jpg
 
Kuna kitu kimemiss huu msimu. Nacho si kingine bali ni kelele. Kuna heshima fulani hivi mmeanza nayo huu msimu, sio humu tuu na mitaani pia. Kuna ka ubaridi fulani hivi mnacho. Kweli muda ndo mwakimi mzuri.

Anewei, sio kwa ubaya maana Binadamu tumeumbwa kusahau

images.jpg
images(1).jpg
 
Ogopa sana kwenye timu yako kua na kocha au mchezaji mwenye jina linaloanzia na Mikel, yaani hilo jina ni gundu tupu kwenye mafanikio ya club.
Mikel Arteta baada kuona kua yeye ni gundu kaamua kuongeza Mikel mwingine kwenye timu, yaani msimu huu Arsenyau kuna Gundu Pro-Max, mkitoboa top4 nimekaa paleeeeeee.
1724425066314.jpg
 
Kuna kitu kimemiss huu msimu. Nacho si kingine bali ni kelele. Kuna heshima fulani hivi mmeanza nayo huu msimu, sio humu tuu na mitaani pia. Kuna ka ubaridi fulani hivi mnacho. Kweli muda ndo mwakimi mzuri.

Anewei, sio kwa ubaya maana Binadamu tumeumbwa kusahau

View attachment 3077273View attachment 3077274
Kesho hamtaamini, tuna utaratibu kila msimu timu iliyotufunga last season lazima akalie msumari wa moto next season tunaanza na huyu kesho.
 
Ogopa sana kwenye timu yako kua na kocha au mchezaji mwenye jina linaloanzia na Mikel, yaani hilo jina ni gundu tupu kwenye mafanikio ya club.
Mikel Arteta baada kuona kua yeye ni gundu kaamua kuongeza Mikel mwingine kwenye timu, yaani msimu huu Arsenyau kuna Gundu Pro-Max, mkitoboa top4 nimekaa paleeeeeee. View attachment 3077322
Hiyo ni Spanish gitaaa
Mido ya boli hiyo, akiamua kukaba anakaba zaidi jinamizi, na akiamua kupiga pasi, ni zaidi ya Dobi šŸ˜‚
Wewe muite Mikel Merino
Arsenal the gunners ..the Elephant.
 
Nilijua tu wale wabakaji lazima watakua ni mashabiki wa Arsenyau, tafiti nyingi zinaonesha matukio mengi ya hovyohovyo hua yanafanywa na watu wanaoshabikia timu ya ArsenyoView attachment 3076163
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ huyu sio Kiongozi wa false hopers kweli ... maana kapotea sana .

Ukishakua false hoper aftermath lazima ufanye mambo ya ajabu
 
False hopers mpo its been a long time without false hopes. Nilimiss false hopes za humu last match season iliyopita mlikua mnafanya rehearsal ya kunyanyua ubingwašŸ˜‚.

Naona season hii pia mtuambie mapema mpo phase ya ngap? sisi jukumu letu nikuziandika phase zenu na matukio kwa kila phase.

Pia uchaguzi ufanyike wa mkuu wa kitengo cha matumaini bandia maana simuoni false hoper mkuu sijui kabadilisha idšŸ˜‚.
kitengo apewe castr au mkorea bila kusahau Arsenal 2004.

Mnakumbuka lakini kilichowakosesha ubingwa last season ni home game against Aston villa zikiwa zimebaki game 3.
 
Fabio Viera anaenda kwa mkopo FC Porto.

Fabio anafeli kumature zaidi ya alivyo sasa hivi, once nilisema anatakiwa kujiimarisha physically kisha kila kitu kiende sawa ila bado ni mtihani kidogo.

Kisha kuna Marquinhos, hajaevolve na timu pia. Tuna Mari ameondoka, tuna zaidi ya wachezaji watano ambao Arteta alisajili ila hawajamature.

Mikel Merino anakuja kufanya ambacho Fabio alitakiwa kufanya.
Mimi sina tatizo na hizo sajili zilizofeli kwakua ni sajili tulizifanya kipindi ambacho mchezaji mzuri anasema kabisa kwamba hataki kuja Arsenal. So sajili nyingi zilikua za kutafuta mtu potential aje kujipata hapa kwetu.

Lakini hivi karibuni Arsenal/ Arteta amekua na pull kwenye sajili. Mchezaji anakataa Juve anakuja Arsenal, mchezaji anakataa Barcelona na City anakuja Arsenal. Mashabiki wa liva waliambiwa Zubimendi kakubali kwenda kwao wakasema Arsenal kakataliwa na Zubimendi sasa ona timu kubwa itachofanya.

Zubimendi akawakataa mchana tu.
 
False hopers mpo its been a long time without false hopes. Nilimiss false hopes za humu last match season iliyopita mlikua mnafanya rehearsal ya kunyanyua ubingwašŸ˜‚.

Naona season hii pia mtuambie mapema mpo phase ya ngap? sisi jukumu letu nikuziandika phase zenu na matukio kwa kila phase.

Pia uchaguzi ufanyike wa mkuu wa kitengo cha matumaini bandia maana simuoni false hoper mkuu sijui kabadilisha idšŸ˜‚.
kitengo apewe castr au mkorea bila kusahau Arsenal 2004.

Mnakumbuka lakini kilichowakosesha ubingwa last season ni home game against Aston villa zikiwa zimebaki game 3.
Mkuu, msimu huu mpo CL?
 
False hopers mpo its been a long time without false hopes. Nilimiss false hopes za humu last match season iliyopita mlikua mnafanya rehearsal ya kunyanyua ubingwa.

Naona season hii pia mtuambie mapema mpo phase ya ngap? sisi jukumu letu nikuziandika phase zenu na matukio kwa kila phase.

Pia uchaguzi ufanyike wa mkuu wa kitengo cha matumaini bandia maana simuoni false hoper mkuu sijui kabadilisha id.
kitengo apewe castr au mkorea bila kusahau Arsenal 2004.

Mnakumbuka lakini kilichowakosesha ubingwa last season ni home game against Aston villa zikiwa zimebaki game 3.
Mkuu Castr mara kibao tu alikua anatofautiana na Masingeli, jamaa alikua hakubali kuburuzwa kizembe.
Kati ya hizi chawa Pro-Max mbili mkorea na arsenal2004 mmoja wao ndio anastahili kurithi mikoba ya masingeli.
 
Mkuu Castr mara kibao tu alikua anatofautiana na Masingeli, jamaa alikua hakubali kuburuzwa kizembe.
Kati ya hizi chawa Pro-Max mbili mkorea na arsenal2004 mmoja wao ndio anastahili kurithi mikoba ya masingeli.
Saa 8 mchana tupo na nyny majiranišŸ¤“šŸ¤“...tuone ni kwmba hamuiwezi Brighton kwli au mlikuwa hamumuwezi De Zerbi....leo tutaona maendeleo yenu kiujumla na muelekeo wa bichwa ndonga baba ubaya
 
Gabriel Jesus has NOT travelled with the Arsenal squad to face Aston Villa due to a groin issue. [@Teamnewsandtix] #afc
 
Back
Top Bottom