Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,556
- 19,755
Hapa mechi za kutusumbua Ni mbili tu mkuu, za Villa na City kwa sababu Ni away.Tutaondoka na point 6
Zikizidi hapo ni bahati kudondokea upande wetu.
Kwasababu timu mwanzoni mwa msimu zinakuwa kwenye tension na pressure
Refer mechi yetu yakwanza na wolves bado hatuna rythm kweny uchezaji nikama tumesahau tulipoishia
Ndio maana nilikubaliana na wewe uliposema after 3 matches ndio tutegemee wataendelea walipoishia last seasaon.
Bukayo saka ameonyesha matuarity,Hapa mechi za kutusumbua Ni mbili tu mkuu, za Villa na City kwa sababu Ni away.
Lakini kwa Brighton na Spurs tutachukua point kiulaini sana
Vitu tulimiss sana. VICHEKESHOTupo na rhymes ya juu Sana
High mentality ya winning
High temper
Vila, city na Brighton hawana namna zaidi ya kutugea points zetu tu aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kutoa wachezaji 5 Kwenye team of the year imewasadia kushinda kombe gani msimu uliopita?Arsenal imechangia wachezaji 5 Kwenye Kwenye team of the year ikiwa ndo timu iliyotoa wachezeji wengi ikifuatiwa na Manchester City (4)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aiseeee Masingeli alifanikiwa pakubwa sana kuzibrainwashed hizi chawa zake, yaani machawa yanajiropokea tu tena kwa full confidence bila hata kuzishughulisha akili zao[emoji23][emoji23][emoji23]Tupo na rhymes ya juu Sana
High mentality ya winning
High temper
Vila, city na Brighton hawana namna zaidi ya kutugea points zetu tu aisee
Wale msimu huu lazima tuulizane maswali vzuri walitufungaje....hatutacheza nao kama tunacheza na kina Southampton sijui....tutawadunda hawatakaa wasahau.....kisasi ni muhimuAngalia big chances.
Ndiyo sababu naamini tunahitaji ST.
Villa walipaki basi na iliwalipa
View attachment 3075134
Baada ya game tano, utakata mdomo wewe mwenyewe. Nakuvutia muda tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aiseeee Masingeli alifanikiwa pakubwa sana kuzibrainwashed hizi chawa zake, yaani machawa yanajiropokea tu tena kwa full confidence bila hata kuzishughulisha akili zao[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3075575
Bado winger/striker mmoja tuanze kuandaa vifurushi vya 5+...na mteja wetu wa kwanza atakuwa Chelsea🤠🤠...tumpe kono la sokwe tena
Hahaha 5 back to back hawezi kukubaliBado winger/striker mmoja tuanze kuandaa vifurushi vya 5+...na mteja wetu wa kwanza atakuwa Chelsea🤠🤠...tumpe kono la sokwe tena