Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2024-08-20-19-41-38-552_com.mobilefootie.wc2010-edit.jpg
First time tukasacrifce ball possession na kufocus na kutafuta matokeo.

Again, angalia big chances.

Now this time kwakua tukasacrifce ball possession hata Villa wakapata big chances.
 
Next four games.

Tunaweza pata points ngapi hapa?
View attachment 3074879
Tutaondoka na point 6
Zikizidi hapo ni bahati kudondokea upande wetu.
Kwasababu timu mwanzoni mwa msimu zinakuwa kwenye tension na pressure
Refer mechi yetu yakwanza na wolves bado hatuna rythm kweny uchezaji nikama tumesahau tulipoishia
Ndio maana nilikubaliana na wewe uliposema after 3 matches ndio tutegemee wataendelea walipoishia last seasaon.
 
Arsenal imechangia wachezaji 5 Kwenye Kwenye team of the year ikiwa ndo timu iliyotoa wachezeji wengi ikifuatiwa na Manchester City (4)
 

Attachments

  • FB_IMG_17241848537545333.jpg
    FB_IMG_17241848537545333.jpg
    96.7 KB · Views: 12
Tutaondoka na point 6
Zikizidi hapo ni bahati kudondokea upande wetu.
Kwasababu timu mwanzoni mwa msimu zinakuwa kwenye tension na pressure
Refer mechi yetu yakwanza na wolves bado hatuna rythm kweny uchezaji nikama tumesahau tulipoishia
Ndio maana nilikubaliana na wewe uliposema after 3 matches ndio tutegemee wataendelea walipoishia last seasaon.
Hapa mechi za kutusumbua Ni mbili tu mkuu, za Villa na City kwa sababu Ni away.

Lakini kwa Brighton na Spurs tutachukua point kiulaini sana
 
Hapa mechi za kutusumbua Ni mbili tu mkuu, za Villa na City kwa sababu Ni away.

Lakini kwa Brighton na Spurs tutachukua point kiulaini sana
Bukayo saka ameonyesha matuarity,
Goli kama lile mara chache sana kufungwa na watoto wadogo .
Hiki kitu mimi kili ni impress

Pia angalau sub zikifanyika unaona hata wapinzani wanajipanga upya
Kwaiyo tuna uhakika wa points 6.

Hizo mechi za villa na city mkuu tukicheza kama tulivyocheza na wolves kupata matokeo itategtemea na wapinzani watachezaje na ukizingatia ugenini!!!
Tukipata zaidi ya point 6 bahati
 
Arsenal imechangia wachezaji 5 Kwenye Kwenye team of the year ikiwa ndo timu iliyotoa wachezeji wengi ikifuatiwa na Manchester City (4)
Kutoa wachezaji 5 Kwenye team of the year imewasadia kushinda kombe gani msimu uliopita?
Hizi ndio mentality zinazofanya Asenyo miaka yote ionekane ni midtable team.
City katoa wachezaji 4 ana kombe la ligi.
Liver katoa mchezaji 1 ana Carabao cup.
Nyie mliotoa wachezaji wengi wamewasaidia kupata kombe gani?
Hilo ndio swali kwa shabiki yoyote wa Arsenyo mwenye akili timamu kabla ya kufurahia timu yake kutoa wachezaji wengi anapaswa ajiulize.
Kwa mentality mliyonayo sitashangaa kuona mmefika mpaka phase 10 bila ya kubeba kombe lolote la maana hapa dunia.
1766546044.jpg
 
Tupo na rhymes ya juu Sana
High mentality ya winning
High temper

Vila, city na Brighton hawana namna zaidi ya kutugea points zetu tu aisee
Aiseeee Masingeli alifanikiwa pakubwa sana kuzibrainwashed hizi chawa zake, yaani machawa yanajiropokea tu tena kwa full confidence bila hata kuzishughulisha akili zao
1713723279967.jpg
 
Back
Top Bottom