Forest wanamtaka Nketiah, ofa ya kwanza kabisa wakaweka 15M. Arsenal ikakataa.
Tukaburuzana, tulivyofika katikati tukaambiwa Forest wameghairi kumchukua Nketiah fanbase ikaanza lawama upya kwa Edu.
Leo Forest kapeleka 25M Arsenal imegoma tena.
Emile, kaumwa, kafanyiwa surgery hajaanza mechi nyingi ila tumemuuza Fulham kwa sh ngapi?
Solanke kauzwa 60M kwanini Nketiah auzwe 15M au 20M? Arteta alivunja hadi mikataba kwa wachezaji alioona hawatakua na mchango kwa timu. Na wengine wakauzwa cheap.
It simply means kwa Arteta Nketiah akiondoka ni sawa ila akibaki ni sawa zaidi. Idadi ya magoli aliyofunga tena akitokea benchi ingekua ndiyo sisi tunamtaka akiwa Forest kwa rekodi hizi hizi tungeambiwa tulipe 70M.