Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Amewaambia Club yake asiposajiliwa na Arsenal anajinyonga, amesema anaipenda Arsenal kuliko anavyoipenda familia yake.
Player only want Arsenal.

Kauli kama hizi cjazisikia dirisha hili, wehu nyie.
Nawakumbusha tena kusajili mkuu...huwa unakuwa mwepesi sana kuingia mitini mkianza kula ndonga za uso🤠🤠..halafu ukirudi unaanza kumtukana kocha kama huwa unamsaidia kufundisha vile
 
Arsenal nawapenda kwa sababu hawachani mikeka yangu ni kama Bayer leverkusen kule ujerumani

ila ukweli arsenal mnazingua Sana 😃😃😃😃
 
1720093104000.jpg
 
Arteta on how many points we need to win the league:

"Let's start with 114 and see what we get."

Mathematically: 38 games × 3 points

[@espn]
 
Mkorea umeanza kupoteza tena akili zako msimu huu hatutakubali uweuke na sisi ndugu zako tupo lazima tukupeleke milembe ukatulie huko.
Arteta on how many points we need to win the league:

"Let's start with 114 and see what we get."

[@espn]
Wafuatao wanatuchangia points 6
1. Kenge fc
2. Nyumbu fc
3. LiverPunda fc
 
Nawakumbusha tena kusajili mkuu...huwa unakuwa mwepesi sana kuingia mitini mkianza kula ndonga za uso🤠🤠..halafu ukirudi unaanza kumtukana kocha kama huwa unamsaidia kufundisha vile
Unanishaurije? Wakati wote tulitoka patupu mjomba? Huo ushauri ungefaa umpe Arteta aache kuwatesa, mpk wengine washawehuka wanataka watupwe mto wami.
 
Unanishaurije? Wakati wote tulitoka patupu mjomba? Huo ushauri ungefaa umpe Arteta aache kuwatesa, mpk wengine washawehuka wanataka watupwe mto wami.
Nilifungua ligi kwa kubeba sinia la maandazi🤠🤠...lakini nikukumbushe tu msiposajili tena vizuri safari hii zile 5 tulizowadunda pale Imarate tutakuja kuwadundia pale darajani....yaani mpk half time tutahakikisha mshakula 4
 
Unawashwawashwa sana mkuu🤠🤠...nyny mnasajili mbona sisi hatuwafatilii...mmekuwa na Tabia kama za bilionea wenu tajiri miluzi...yaani kutwa kutufatafata Arsenal
Mnajua tajiri yetu akiamua usiku huu unamkuta darajani mambo madogo madogo hayamshindi
 
Hatujasajili ila nzi kama wote,pre-season bado ila hofu kila mahali.its time
 
Katika maisha haya yasiyotabirika nimejifunza saana umuhimu wa kuinjoi moments badala ya mwisho wa jambo.

Arsenal ni mashabiki pekee waliokuwa na furaha kwa msimu mzima.mwisho wa msimu ndo hatukufurahi kama tulivyotarajia and we are okay
Haya ndo maumivu tuliyazungumzia humu

MAUMIVU KUTOKA TIMU YAKO + MAUMIVU KUTOKA ARSENAL

Mkuu umenena la maana sana. Miaka miwili mfulilzo 85% ya msimu, tupo zetu na furaha mia mia. Wakati huo mashabiki wa timu pinzani wanapata maumivu mara mbili.

Moja, ya timu zao kuboronga, mbili ya Arsenal kufanya vizuri. Ndo maana unawaoma wanajaa humu muda wote, kupunguza msongo wao wa mawazo kwetu.

Mfano, sasa hivi, ligi zimeisha, sisi Arsenal wenyewe tushasahau ya msimu ulopita, lakini wao sasa.

Tupo zetu tunasikilizia anakuja nani kati ha Sesko, Gyokeres au Osimnhen huku tunakunja nne.


View attachment 3009595
 
Back
Top Bottom