IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,085
Beki saliba halafu wanataka wabebe Yuro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna timu yenye arsenal player first Eleven itabeba yulo
Ninachojua kila mwaka lazima nikupige tukutane tena mwezi ujao nakudundaMARA YA MWISHO KUCHUKUA POINT 3 KWANGU ILIKUWA LINI
Umeulizwa swali simple mara ya mwsho kutufunga kwny ligi ni lini shehe🤠🤠🤠....mbona unarukaruka....nyny na Chelsea mnaenda kuwa kituo chetu cha mazoezi rasmi....maana huwa hamueleweki mnacheza nn mkikutana na sisiNinachojua kila mwaka lazima nikupige tukutane tena mwezi ujao nakudunda
Waje wamchukue🤠🤠....kwni unafikiri Mudryk ni mbaya basi....anavyocheza kule Chelsea anawakomoa kwa kiherehere cha kumchukua wakati alikuwa hawataki....sasahivi akipewa jezi yy anachojua ni kutoka nduki tu...halafu mpira utamfataSmartphone mnanunua za nini, kuangalia porn?
Dili limeingia mkosi, Chelsea wame hijack. Pesa ndefu kwa klabu na mchezaji.
Na sio bahati mbaya...mchezaji alimwambia tajiri miluzi lete mpango kazi na vision yako kwa klabu ni ipi then niamue....tajiri miluzi kaona hayo mambo ni mazito kwake kaamua kwnda kumchukua yule Babu tunaoambiwa kazaliwa mwaka 2003🤠🤠...hivi yule ndo wa kumkaba Saka kabisa yule kama Cucurella manywele anayekiwasha Euro alilambishwa mchanga kwny zile Tano mlizokula...Player only want Arsenal.
Nyie huwa mnapenda kujidanganya, yaani wachezaji waipende Arsenal kwa kipi? Katimu kauchochoroni, nje ya wengereza tu hakajulikani.Na sio bahati mbaya...mchezaji alimwambia tajiri miluzi lete mpango kazi na vision yako kwa klabu ni ipi then niamue....tajiri miluzi kaona hayo mambo ni mazito kwake kaamua kwnda kumchukua yule Babu tunaoambiwa kazaliwa mwaka 2003🤠🤠...hivi yule ndo wa kumkaba Saka kabisa yule kama Cucurella manywele anayekiwasha Euro alilambishwa mchanga kwny zile Tano mlizokula...
kwenye interview yoyote ukiulizwa swali, then ukahamaki ukawaulizaNinachojua kila mwaka lazima nikupige tukutane tena mwezi ujao nakudunda
mimiMmeletewa mapanki au hamjaletewa🤠🤠....yule msela wa 2003 kwli yule??....mm naendelea kukukumbusha msajili vizuri mtani...habari za kutukana kocha ikifika mwezi wa 10 katikati hatutaki....mkisajili vzuri hata idadi ya goli za kuwafunga itapungua....ila kama mnategemea Cucurella na yule mapanki ndo wakumkaba Saka kwakwli safari hii hamtakula kono la nyani tena Bali tutawadunda wiki Ili iwe fundisho kwa kina Manunu na LiverkukuNyie huwa mnapenda kujidanganya, yaani wachezaji waipende Arsenal kwa kipi? Katimu kauchochoroni, nje ya wengereza tu hakajulikani.
Mudryk aliwakomesha na hamjifunzi. Hamtakaa mumsahau.
Hapo ndipo mnapofeli kuwategemea Saka ødegard matinel wawape mafanikio, tafuteni wachezaji wa kueleweka kondoo nyie. Mtaishia kusindikiza tu kila msimu.Mmeletewa mapanki au hamjaletewa🤠🤠....yule msela wa 2003 kwli yule??....mm naendelea kukukumbusha msajili vizuri mtani...habari za kutukana kocha ikifika mwezi wa 10 katikati hatutaki....mkisajili vzuri hata idadi ya goli za kuwafunga itapungua....ila kama mnategemea Cucurella na yule mapanki ndo wakumkaba Saka kwakwli safari hii hamtakula kono la nyani tena Bali tutawadunda wiki Ili iwe fundisho kwa kina Manunu na Liverkuku
kwahiyo nyie mnaona kwa jackson na kinaHapo ndipo mnapofeli kuwategemea Saka ødegard matinel wawape mafanikio, tafuteni wachezaji wa kueleweka kondoo nyie. Mtaishia kusindikiza tu kila msimu.
Poch tu na ubovu wake aliwakamata, msimu unaokuja nawakumbusha hayupo poch mashavu. Msije mkasema hatukuwaambia.
Sisi tukiona wanazingua tunatia sokoni, ndio mana hata kocha tumeona hafai tumefukuza. Nyie kocha kilaza mwaka wa sita anawapa tu phase bado mnae, fukuzeni, atawaua ohoo!kwahiyo nyie mnaona kwa jackson na kina
badiashile ndo mnaona mna kikosi cha maana sio
dah hizi kenge na nyumbu zitatupatia point sana asee
Poch mishavu alitushika wapi shehe mbona unakuwa muongomuongo aisee🤠🤠...halafu unasema tutafute wachezaji wa maana nitajie mchezaji mmoja tu wa kikosi chenu anayeweza kupata namba kwny kikosi chetu cha kwanza....kuna tofauti kubwa kati ya mtu aliyemaliza ligi wa pili na aliyemaliza wa Saba sijui nane huko....TAfuteni wachezaji wa kueleweka safari hii sio Tano ni wiki kabisa tutawadundaHapo ndipo mnapofeli kuwategemea Saka ødegard matinel wawape mafanikio, tafuteni wachezaji wa kueleweka kondoo nyie. Mtaishia kusindikiza tu kila msimu.
Poch tu na ubovu wake aliwakamata, msimu unaokuja nawakumbusha hayupo poch mashavu. Msije mkasema hatukuwaambia.
Game la kwanza mumshukuru golikipa aliwazawadia goli mkaambulia droo. na ndicho kinachowapa midomo.Poch mishavu alitushika wapi shehe mbona unakuwa muongomuongo aisee🤠🤠...halafu unasema tutafute wachezaji wa maana nitajie mchezaji mmoja tu wa kikosi chenu anayeweza kupata namba kwny kikosi chetu cha kwanza....kuna tofauti kubwa kati ya mtu aliyemaliza ligi wa pili na aliyemaliza wa Saba sijui nane huko....TAfuteni wachezaji wa kueleweka safari hii sio Tano ni wiki kabisa tutawadunda
Cole Palmer anacheza nafasi ya nani pale Arsenal....inamaana ww ndo unajua boli sana kuliko Southgate sio 🤠 🤠....kale katoto kenu kacheze level za juu kwa miaka mitatu hivi ndo kaanze kuaminika....kanaanza kikosi cha kwanza Chelsea kwasababu kwny timu nzima yy ndo ana afadhali...maana timu nzima ni mabumundaGame la kwanza mumshukuru golikipa aliwazawadia goli mkaambulia droo. na ndicho kinachowapa midomo.
Embu nipe utofauti, labda kuna kombe mlilopata. yaani nyie mashabiki wa Arsenal mna kaulimwengu kenu kakujitengenezea furaha ambayo haipo.
Unataka nikutajie au unajifanya na ww ni kichwa ngumu kama Southgate.
Huwezi muacha timber kwenye xi ya gunnerz msimu ujao pia kai ataanzia benchi tunatk watu seriousArsenal’s best XI: Raya; White, Gabriel, Saliba, Calafiori; Rice, Eze, Odegaard; Williams, Havertz, Saka.
DuuuhArsenal’s best XI: Raya; White, Gabriel, Saliba, Calafiori; Rice, Eze, Odegaard; Williams, Havertz, Saka.
Mbona kama upo high bro? Acheze miaka mitatu ya nini yote hiyo? wakati dk.3 zinamtosha kutoa Assist wakati Saka dk. 90 alikua anaruka ruka tu.Cole Palmer anacheza nafasi ya nani pale Arsenal....inamaana ww ndo unajua boli sana kuliko Southgate sio 🤠 🤠....kale katoto kenu kacheze level za juu kwa miaka mitatu hivi ndo kaanze kuaminika....kanaanza kikosi cha kwanza Chelsea kwasababu kwny timu nzima yy ndo ana afadhali...maana timu nzima ni mabumunda