Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ninachojua kila mwaka lazima nikupige tukutane tena mwezi ujao nakudunda
Umeulizwa swali simple mara ya mwsho kutufunga kwny ligi ni lini shehe🤠🤠🤠....mbona unarukaruka....nyny na Chelsea mnaenda kuwa kituo chetu cha mazoezi rasmi....maana huwa hamueleweki mnacheza nn mkikutana na sisi
 
Smartphone mnanunua za nini, kuangalia porn?

Dili limeingia mkosi, Chelsea wame hijack. Pesa ndefu kwa klabu na mchezaji.
Waje wamchukue🤠🤠....kwni unafikiri Mudryk ni mbaya basi....anavyocheza kule Chelsea anawakomoa kwa kiherehere cha kumchukua wakati alikuwa hawataki....sasahivi akipewa jezi yy anachojua ni kutoka nduki tu...halafu mpira utamfata
 
Player only want Arsenal.
Na sio bahati mbaya...mchezaji alimwambia tajiri miluzi lete mpango kazi na vision yako kwa klabu ni ipi then niamue....tajiri miluzi kaona hayo mambo ni mazito kwake kaamua kwnda kumchukua yule Babu tunaoambiwa kazaliwa mwaka 2003🤠🤠...hivi yule ndo wa kumkaba Saka kabisa yule kama Cucurella manywele anayekiwasha Euro alilambishwa mchanga kwny zile Tano mlizokula...
 
Na sio bahati mbaya...mchezaji alimwambia tajiri miluzi lete mpango kazi na vision yako kwa klabu ni ipi then niamue....tajiri miluzi kaona hayo mambo ni mazito kwake kaamua kwnda kumchukua yule Babu tunaoambiwa kazaliwa mwaka 2003🤠🤠...hivi yule ndo wa kumkaba Saka kabisa yule kama Cucurella manywele anayekiwasha Euro alilambishwa mchanga kwny zile Tano mlizokula...
Nyie huwa mnapenda kujidanganya, yaani wachezaji waipende Arsenal kwa kipi? Katimu kauchochoroni, nje ya wengereza tu hakajulikani.

Mudryk aliwakomesha na hamjifunzi. Hamtakaa mumsahau.
 
Nyie huwa mnapenda kujidanganya, yaani wachezaji waipende Arsenal kwa kipi? Katimu kauchochoroni, nje ya wengereza tu hakajulikani.

Mudryk aliwakomesha na hamjifunzi. Hamtakaa mumsahau.
Mmeletewa mapanki au hamjaletewa🤠🤠....yule msela wa 2003 kwli yule??....mm naendelea kukukumbusha msajili vizuri mtani...habari za kutukana kocha ikifika mwezi wa 10 katikati hatutaki....mkisajili vzuri hata idadi ya goli za kuwafunga itapungua....ila kama mnategemea Cucurella na yule mapanki ndo wakumkaba Saka kwakwli safari hii hamtakula kono la nyani tena Bali tutawadunda wiki Ili iwe fundisho kwa kina Manunu na Liverkuku
 
Mmeletewa mapanki au hamjaletewa🤠🤠....yule msela wa 2003 kwli yule??....mm naendelea kukukumbusha msajili vizuri mtani...habari za kutukana kocha ikifika mwezi wa 10 katikati hatutaki....mkisajili vzuri hata idadi ya goli za kuwafunga itapungua....ila kama mnategemea Cucurella na yule mapanki ndo wakumkaba Saka kwakwli safari hii hamtakula kono la nyani tena Bali tutawadunda wiki Ili iwe fundisho kwa kina Manunu na Liverkuku
Hapo ndipo mnapofeli kuwategemea Saka ødegard matinel wawape mafanikio, tafuteni wachezaji wa kueleweka kondoo nyie. Mtaishia kusindikiza tu kila msimu.

Poch tu na ubovu wake aliwakamata, msimu unaokuja nawakumbusha hayupo poch mashavu. Msije mkasema hatukuwaambia.
 
Arsenal’s best XI: Raya; White, Gabriel, Saliba, Calafiori; Rice, Eze, Odegaard; Williams, Havertz, Saka.
 
Hapo ndipo mnapofeli kuwategemea Saka ødegard matinel wawape mafanikio, tafuteni wachezaji wa kueleweka kondoo nyie. Mtaishia kusindikiza tu kila msimu.

Poch tu na ubovu wake aliwakamata, msimu unaokuja nawakumbusha hayupo poch mashavu. Msije mkasema hatukuwaambia.
kwahiyo nyie mnaona kwa jackson na kina
badiashile ndo mnaona mna kikosi cha maana sio
dah hizi kenge na nyumbu zitatupatia point sana asee
 
kwahiyo nyie mnaona kwa jackson na kina
badiashile ndo mnaona mna kikosi cha maana sio
dah hizi kenge na nyumbu zitatupatia point sana asee
Sisi tukiona wanazingua tunatia sokoni, ndio mana hata kocha tumeona hafai tumefukuza. Nyie kocha kilaza mwaka wa sita anawapa tu phase bado mnae, fukuzeni, atawaua ohoo!

Nipe tofaut ya Saka na Jackson ni nini? Yaan kwa mujibu wenu Saka ni bonge la mchezaji!! kweli Once kondoo .... Ndio mana nawaambia tafuteni wachezaji wa kueleweka. hicho kikundi cha wapga ngoma hakitawapeleka kokote.
 
Ndo hivyo tena hatutaki kulizungumzia hili swala, ila ELEPHANT IN THE ROOM

KAYLE WALKER NA SAKA

PHIL FODEN NA SAKA
 
Hapo ndipo mnapofeli kuwategemea Saka ødegard matinel wawape mafanikio, tafuteni wachezaji wa kueleweka kondoo nyie. Mtaishia kusindikiza tu kila msimu.

Poch tu na ubovu wake aliwakamata, msimu unaokuja nawakumbusha hayupo poch mashavu. Msije mkasema hatukuwaambia.
Poch mishavu alitushika wapi shehe mbona unakuwa muongomuongo aisee🤠🤠...halafu unasema tutafute wachezaji wa maana nitajie mchezaji mmoja tu wa kikosi chenu anayeweza kupata namba kwny kikosi chetu cha kwanza....kuna tofauti kubwa kati ya mtu aliyemaliza ligi wa pili na aliyemaliza wa Saba sijui nane huko....TAfuteni wachezaji wa kueleweka safari hii sio Tano ni wiki kabisa tutawadunda
 
Poch mishavu alitushika wapi shehe mbona unakuwa muongomuongo aisee🤠🤠...halafu unasema tutafute wachezaji wa maana nitajie mchezaji mmoja tu wa kikosi chenu anayeweza kupata namba kwny kikosi chetu cha kwanza....kuna tofauti kubwa kati ya mtu aliyemaliza ligi wa pili na aliyemaliza wa Saba sijui nane huko....TAfuteni wachezaji wa kueleweka safari hii sio Tano ni wiki kabisa tutawadunda
Game la kwanza mumshukuru golikipa aliwazawadia goli mkaambulia droo. na ndicho kinachowapa midomo.

Embu nipe utofauti, labda kuna kombe mlilopata. yaani nyie mashabiki wa Arsenal mna kaulimwengu kenu kakujitengenezea furaha ambayo haipo.

Unataka nikutajie au unajifanya na ww ni kichwa ngumu kama Southgate.
 
Game la kwanza mumshukuru golikipa aliwazawadia goli mkaambulia droo. na ndicho kinachowapa midomo.

Embu nipe utofauti, labda kuna kombe mlilopata. yaani nyie mashabiki wa Arsenal mna kaulimwengu kenu kakujitengenezea furaha ambayo haipo.

Unataka nikutajie au unajifanya na ww ni kichwa ngumu kama Southgate.
Cole Palmer anacheza nafasi ya nani pale Arsenal....inamaana ww ndo unajua boli sana kuliko Southgate sio 🤠 🤠....kale katoto kenu kacheze level za juu kwa miaka mitatu hivi ndo kaanze kuaminika....kanaanza kikosi cha kwanza Chelsea kwasababu kwny timu nzima yy ndo ana afadhali...maana timu nzima ni mabumunda
 
Cole Palmer anacheza nafasi ya nani pale Arsenal....inamaana ww ndo unajua boli sana kuliko Southgate sio 🤠 🤠....kale katoto kenu kacheze level za juu kwa miaka mitatu hivi ndo kaanze kuaminika....kanaanza kikosi cha kwanza Chelsea kwasababu kwny timu nzima yy ndo ana afadhali...maana timu nzima ni mabumunda
Mbona kama upo high bro? Acheze miaka mitatu ya nini yote hiyo? wakati dk.3 zinamtosha kutoa Assist wakati Saka dk. 90 alikua anaruka ruka tu.

Nyie huwa hamjielewi, huwa mnasemaga hivyo hivyo, ila mchezaji akitoka chelsea akija Arsenal anakua starter panga pangua. Mpka huyo miss Havertz tuliokua tunamtukana nyie mnamuona eti bonge la mchezaji.

Muombe mungu tu huyo kocha wa chelsea asiweze kuwaunganisha ile michezaji, akiweza aisee....
 
Nyie Waganga njaa Fc muda mrefu kidogo sijachungulia kwenye hili jukwaa lenu la comedy, kuna mpya gani humu?
Masingeli bado hajaanza kuwaletea tetesi zake uchwara za usajili?
1710748027241.jpg
 
Back
Top Bottom