Mashabiki wa arsenal sio binadamu kama sisi.
Arteta sio kocha wazee, na hapo kafika peak yake km ile ya Raniel wa Leicester 2016, so msimu ujao anaanza kuporomoka.
Hata solkjaer second position alishika.
Chelsea na man u watarud na wachukue makombe kabla yenu, amini, nawaambia
Anzeni na kocha, na midfield ya odegard sio ya kukupa ubingwa.
Nyie laana mna noma.
Odergard ni bora kuliko de brune, hii ni moja kati ya laana mlizojitakia, au ile laana ya kuidharau uefa wakati mna miaka 100+ hamuijui.
DOMO FC