Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Katika kitu nilichoshukuru na kufurahiq ni bichwa mzinga ten hag kubaki....yaani ni baraka kwakwli...point sita tyri tunazo kabla hata ligi haijaanza🤠🤠...Ineos miaka 100 kwao....na wampe mkataba wa miaka 5 kwakwli
Du unafurahi kocha mwenye kombe anabaki wakati kocha wakonanzurura tu hajui kombe ni nini
 
Mashabiki wa arsenal sio binadamu kama sisi.
Arteta sio kocha wazee, na hapo kafika peak yake km ile ya Raniel wa Leicester 2016, so msimu ujao anaanza kuporomoka.
Hata solkjaer second position alishika.
Chelsea na man u watarud na wachukue makombe kabla yenu, amini, nawaambia

Anzeni na kocha, na midfield ya odegard sio ya kukupa ubingwa.

Nyie laana mna noma.
Odergard ni bora kuliko de brune, hii ni moja kati ya laana mlizojitakia, au ile laana ya kuidharau uefa wakati mna miaka 100+ hamuijui.

DOMO FC
Pumba
 
Mashabiki wa arsenal sio binadamu kama sisi.
Arteta sio kocha wazee, na hapo kafika peak yake km ile ya Raniel wa Leicester 2016, so msimu ujao anaanza kuporomoka.
Hata solkjaer second position alishika.
Chelsea na man u watarud na wachukue makombe kabla yenu, amini, nawaambia

Anzeni na kocha, na midfield ya odegard sio ya kukupa ubingwa.

Nyie laana mna noma.
Odergard ni bora kuliko de brune, hii ni moja kati ya laana mlizojitakia, au ile laana ya kuidharau uefa wakati mna miaka 100+ hamuijui.

DOMO FC
Mkuu Bagabeach kwanza mtake radhi Claudio Ranieri kwa kumfananisha na vitu vya kijinga kijinga, ni dharau kubwa sana kumfananisha kocha mwenye kombe la Epl na kocha ambae mafanikio yake makubwa ni ngao ya jamii.
 
Kabeba kombe gani ?
images.jpg
 
Mkuu Bagabeach kwanza mtake radhi Claudio Ranieri kwa kumfananisha na vitu vya kijinga kijinga, ni dharau kubwa sana kumfananisha kocha mwenye kombe la Epl na kocha ambae mafanikio yake makubwa ni ngao ya jamii.
Kweli, arteta bado sana, anawadaganya arsenyo kwa aerial dual won, na inverted midfield
 
False hopers mupoo ?
Ila mashabiki wa Arsenyetoz mna akili za panzi aisee
Bado kuna lishabiki maandazi la Arsenyetoz linaweza kubeba trophy msimu huu unaokuja
 
Mashabiki wa arsenal sio binadamu kama sisi.
Arteta sio kocha wazee, na hapo kafika peak yake km ile ya Raniel wa Leicester 2016, so msimu ujao anaanza kuporomoka.
Hata solkjaer second position alishika.
Chelsea na man u watarud na wachukue makombe kabla yenu, amini, nawaambia

Anzeni na kocha, na midfield ya odegard sio ya kukupa ubingwa.

Nyie laana mna noma.
Odergard ni bora kuliko de brune, hii ni moja kati ya laana mlizojitakia, au ile laana ya kuidharau uefa wakati mna miaka 100+ hamuijui.

DOMO FC
Hawa pimbi ndio walikuwa wanasema "tuletee madiridi " ,sisi ni mabingwa wa UEFa msimu huu ,
Yakaja kutolewa na Bayern mbovu kabisa ile.
Sijui yangekutana na moto wa vile vitoto vya Bernabeu yangefedheheshwa kiaina gani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maanina
 
Hawa pimbi ndio walikuwa wanasema "tuletee madiridi " ,sisi ni mabingwa wa UEFa msimu huu ,
Yakaja kutolewa na Bayern mbovu kabisa ile.
Sijui yangekutana na moto wa vile vitoto vya Bernabeu yangefedheheshwa kiaina gani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maanina
Hao arsenyo fans sio binadamu kama sisi. Me nawaona kama viumbe fulanj tofauti na sisi binadam
 
Mbona hata nyie mlikua mnatamba kombe lenu, tena mkasema mtamaliza ligi bila kufungwa. Mkasema FA, Carbao UEFA mtabeba yotee, kilichotokea sasa!!! hahahaha..... Aliewajaza huo ujinga mpk sasa hajulikani alipo.

Hawana vijana wa wenger orphans wanatabu sana. Kila msimu wanatia sana. Huruma. Hakuna kitu kinauma kama kuwa kwenye form misimu miwili then una achieve zero trophy 0 inauma snaa aisee
 
Back
Top Bottom