BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
MAUMIVU MARA MBILIMuda umewadia,
MAUMIVU KUTOKA TIMU ZAO + MAUMIVU KUTOKA ARSENAL
MAUMIVU MARA MBILIMuda umewadia,
Arsenal ina nini cha maana paka watu wakicheza hapo wachukiwe?


Mkuu swali gumu sana hilo ulilouliza, akikujibu naomba uni tag


Sikuzote watu wanachukia au kupenda kile wanachokiogopaMkuu swali gumu sana hilo ulilouliza, akikujibu naomba uni tag
![]()
Naaam mkuu.watajuta kuijua arsenal.halafu kitu ambacho mashabiki wengi wa arsenal hawawezi kukiri ni juu ya sababu ya wao kuipenda arsenal.MAUMIVU MARA MBILI
MAUMIVU KUTOKA TIMU ZAO + MAUMIVU KUTOKA ARSENAL
Utofauti wetu na nyie upo hapo kwenye kushangilia hako kazawadi cha bonanza kama mafanikio, halafu mkiambiwa katimu kenu ni katimu kadogo mnakataa.Nilifungua ligi kwa kubeba sinia la maandazi🤠🤠...lakini nikukumbushe tu msiposajili tena vizuri safari hii zile 5 tulizowadunda pale Imarate tutakuja kuwadundia pale darajani....yaani mpk half time tutahakikisha mshakula 4
Ww ukiyechukua kombe kubwa mwaka jana lioneshe🤠🤠...af nasikia mmesajili kibabu cha mwaka 60 mkaambiwa kimezaliwa mwaka 2003....sajilini vzuri majirani msimu ujao mkija kizembe tutawadunda goli 10 kabisa Ili akili ziwakae sawaUtofauti wetu na nyie upo hapo kwenye kushangilia hako kazawadi cha bonanza kama mafanikio, halafu mkiambiwa katimu kenu ni katimu kadogo mnakataa.
Uliza Italy wanamuitaje hukoNasikia kuna beki mumemnunua. Mnachekesha sana. Mshawai ona beki kutoka Italia akafanikiwa epl?
anajua vizuri wanamwitajeUliza Italy wanamuitaje huko
hamiss77 is back😁😁Call the ambulance, call the ambulance.
But not for me!!!!!!!!!!!!!
Mwaka jana tuliruhusu magoli 29 ndani ya EPL. Mwaka huu, plan yawe less than 10
INVINCIBLE SEASON uleeeee
View attachment 3034316
Jamaa alikosa kombe akaamua kukacha na ID ya hamis77! Ikabidi arudi kivingine kabisa.hamiss77 is back😁😁
Kila msimu lazima nikufunge sasa sijui unaongea ninianajua vizuri wanamwitaje
ni vile tu amekubali kuwa mshika bunduki ndo anaona hafai
msimu huu hata short on target inatakiwa wasipate hawa kuku kishingo
MARA YA MWISHO KUCHUKUA POINT 3 KWANGU ILIKUWA LINIKila msimu lazima nikufunge sasa sijui unaongea nini
Call the ambulance, call the ambulance.
But not for me!!!!!!!!!!!!!
Mwaka jana tuliruhusu magoli 29 ndani ya EPL. Mwaka huu, plan yawe less than 10
INVINCIBLE SEASON uleeeee
View attachment 3034316
Hivi Riccardo Califiori ametimba Emirates au bado?
Any updates so far?
Player only want Arsenal.Smartphone mnanunua za nini, kuangalia porn?
Dili limeingia mkosi, Chelsea wame hijack. Pesa ndefu kwa klabu na mchezaji.