Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

MAUMIVU MARA MBILI


MAUMIVU KUTOKA TIMU ZAO + MAUMIVU KUTOKA ARSENAL
Naaam mkuu.watajuta kuijua arsenal.halafu kitu ambacho mashabiki wengi wa arsenal hawawezi kukiri ni juu ya sababu ya wao kuipenda arsenal.

90% ya mashabiki walifuata mpira mzuri na burudani halafu makombe yakawakuta hukohuko.kwahiyo kwangu mpira mzuri ni sehemu ya fantasy yangu kwa arsenal
 
trofilesi
 

Attachments

  • IMG_20240705_154814.jpg
    IMG_20240705_154814.jpg
    38 KB · Views: 15
Nilifungua ligi kwa kubeba sinia la maandazi🤠🤠...lakini nikukumbushe tu msiposajili tena vizuri safari hii zile 5 tulizowadunda pale Imarate tutakuja kuwadundia pale darajani....yaani mpk half time tutahakikisha mshakula 4
Utofauti wetu na nyie upo hapo kwenye kushangilia hako kazawadi cha bonanza kama mafanikio, halafu mkiambiwa katimu kenu ni katimu kadogo mnakataa.
 
Utofauti wetu na nyie upo hapo kwenye kushangilia hako kazawadi cha bonanza kama mafanikio, halafu mkiambiwa katimu kenu ni katimu kadogo mnakataa.
Ww ukiyechukua kombe kubwa mwaka jana lioneshe🤠🤠...af nasikia mmesajili kibabu cha mwaka 60 mkaambiwa kimezaliwa mwaka 2003....sajilini vzuri majirani msimu ujao mkija kizembe tutawadunda goli 10 kabisa Ili akili ziwakae sawa
 
Nasikia kuna beki mumemnunua. Mnachekesha sana. Mshawai ona beki kutoka Italia akafanikiwa epl?
 
Calafiori nilimjua Euro sitaki hata kumjua zaidi ili nione ni sawa akija Arsenal. Akija Arsenal itaonyesha jinsi gani tumeongeza force dhidi ya timu ambazo zingine zilichukua wachezaji ambao tulitaka tutengeneze nao timu
 
Ninachojua kila mwaka lazima nikupige tukutane tena mwezi ujao nakudunda
Umeulizwa swali simple mara ya mwsho kutufunga kwny ligi ni lini shehe🤠🤠🤠....mbona unarukaruka....nyny na Chelsea mnaenda kuwa kituo chetu cha mazoezi rasmi....maana huwa hamueleweki mnacheza nn mkikutana na sisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom