Unajua kuna muda nilifikiria ivi hawa mashabiki wa arsenal huwa ni vichaa ama ni upofu wa macho na akili nikafika hitimisho ni false hope ndani ya mioyo yaoLabyrinth amekuwa kimya. Mbona hajatuambia Newcastle wameshaanza preseason?
Newcastle United thrashed 8-0 by A-League All Stars in Melbourne as post-season tour ends on low note
Na je, nini hatma ya timu yake katika mashindano ya Ulaya baada ya Manyumbu kubebe FA?
Unajua kuna muda nilifikiria ivi hawa mashabiki wa arsenal huwa ni vichaa ama ni upofu wa macho na akili nikafika hitimisho ni false hope ndani ya mioyo yao
Hivi fikiri tu kwa kawaida zimebaki game 5 uwe bingwa ivi kweli unashindwa kukaza 😂😂 halafu wanatoka ma false hopers wanakuambia hii arsenal iko bora wakati ni trophyless, man utd katika misimu yake mibovu tayari ana europa , fa cup na carling cup arsenal sijui ina nini .
Newcastle nilikuambia ndo kwanza tunajenga team ndani ya miaka 5 epl lazima tubebe
We jamaa kubwa Zima unajiita dogo. Kwahiyo hata kombe la Dunia 2010 South Africa haujaangalia.
EPL mechi zote zilikuwa usiku??
We sema umeanza kushabikia mpira
ukubwani.
Kweli saizi mim Ni mkubwa Sana 27+yrs,ila sikubahatika kuiona hio Arsenal nyie mnayosema ya wenga sijui ,Kwa hiyo mkiona sishabikii hayo matimu yenu ya 1990 Ni swala la kawaida Sana ....We jamaa kubwa Zima unajiita dogo. Kwahiyo hata kombe la Dunia 2010 South Africa haujaangalia.
EPL mechi zote zilikuwa usiku??
We sema umeanza kushabikia mpira ukubwani.
Sisi hata tukipotea lakin kichapo tumechopeke kwenye hizi timu zenu ,hakitakuja kusahaulika ....Ni suala la muda tu Man city nao wanapoteana. Mpira bana! Hasa uingereza, mpira haueleweki kabisa. Tim ikipoteana inapoteana kweli! For years!
Mnasali kila siku hilo litokee mpumue, lakini jitu bado lipo kuwakamia mpaka mlie kwa sautiFukuzeni Arteta
Nimekwambia hivyo sababu, kabla City hajarudi kwenye peak, nae alikua anatembezewa kichapo. All in all ni ushabiki tu hapaKweli saizi mim Ni mkubwa Sana 27+yrs,ila sikubahatika kuiona hio Arsenal nyie mnayosema ya wenga sijui ,Kwa hiyo mkiona sishabikii hayo matimu yenu ya 1990 Ni swala la kawaida Sana ....
Arsenal imepata mashabiki wengi Enzi za Wenger 2000-2003 mnachukua unbeaten kama sikosei ,na kama wewe ulikuwa unaangalia mpira Enzi hizo unatakiwa kuwa shabiki WA Arsenal na uko sahihi ,Sisi ambao hatukuwepo Hatuna sababu yeyote ya kushabikia hili timu .....!!
Yaani sijabahatika kuona hayo matimu yenu mazee mnayoita sijui timu kubwa ,timu kubwa Ni MAN CITY tu ......kama unabisha leta timu yako uwanjan tukuoneshe
Sisi hata tukipotea lakin kichapo tumechopeke kwenye hizi timu zenu ,hakitakuja kusahaulika ....
Hakuna timu itakuja kushinda PL Mara 4 mfululizo ...haipo never .😂
Kaa ufikiri tena mkuu narudis tena zimebaki game 5 uwe bingwa only 5 games 🎯 na bado ukachoma 🍼.Huenda wewe ndiye mwenye matumaini hewa na hiyo Newcastle yako.