Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Weewe ndiye una wivu kuwa sisi tuliweza kujiendesha kwa pesa za ndani huku nyie mlishindwa kujiendesha kwa pesa za ndani mpaka mbebwe na sugar daddy mwenye pesa zake. Sisi tulifanya kihalali. Nyie mmefanya kihuni. Unatulazimishia uhuni ambao sisi hatukufanya kisa nyie mlishindwa kufanya kihalali.

Hata hivyo, isiwe taabu. Kwa sasa umeona akina Livakuku na sisi tumeamka na tumeanza kuwapelekea moto kwenye hizi mbio. Muda si mrefu tutawapita na kuwarudisha matopeni mlikokota pamoja na uhuni wenu. Hatutakuwa na haja ya kugombana mambo ya nje ya uwanjani maana huko huko uwanjani mtakuwa mnaona moto wetu.
Umeshinda makombe yote Bila FFP ,var ,goal line technology,Hakuna hata social media ....kiufupi makombe yenu mmeyanyanyua gizani ......

Harafu unasema Ni Halali ....Ni board gani inawezadhibitisha uhalali wenu kuwa mlikuwa mnatumia pesa kihalali ....

Ndio maana mpira WA sasa unawashinda ,Kwa sababu mlikiwa mshazoea kuwin game pekee yenu sababu mnapesa Enzi hizoo ,saizi timu kibao Duniani zina pesa ......leta timu uwanjani tupishane na kuoneshana ubabe tu ...
 
Umeshinda makombe yote Bila FFP ,var ,goal line technology,Hakuna hata social media ....kiufupi makombe yenu mmeyanyanyua gizani ......

Harafu unasema Ni Halali ....Ni board gani inawezadhibitisha uhalali wenu kuwa mlikuwa mnatumia pesa kihalali ....

Ndio maana mpira WA sasa unawashinda ,Kwa sababu mlikiwa mshazoea kuwin game pekee yenu sababu mnapesa Enzi hizoo ,saizi timu kibao Duniani zina pesa ......leta timu uwanjani tupishane na kuoneshana ubabe tu ...
sawa sawa, tukutane uwanjani tuonyeshane ubabe
😀 😀
 
Screenshot_2024-05-24-15-05-36-296_com.mobilefootie.wc2010-edit.jpg
 
Aaron Ramsdale is reportedly another player of interest but Newcastle are wary of arming Arsenal with profitability and sustainability rules (PSR) headroom to fund a potential move for Bruno Guimaraes, who has a £100m release clause that expires at the end of next month. Source skysport.
 
Pep Guardiola pointed to Arsenal and Mikel Arteta as an example of why not winning a trophy as a manager of a big club does not necessarily mean you should be deemed as a “failure”.

Guardiola’s Manchester City side beat Arsenal to the Premier League title for the second season running following their final day win over West Ham, finishing two points clear of the Gunners.

They take on rivals Manchester United in the FA Cup final on Saturday looking to do the Premier League and FA Cup double for the second year running.

United boss Erik ten Hag is under significant pressure heading into the final following a disappointing second season at the club in which the club finished eighth in the Premier League.

And following the news that the boss of Guardiola’s former club Barcelona, Xavi, had been sacked, the City boss says current managers are at a high risk of losing their jobs if they do not win, regardless of their past achievements.

“In our job you have to win, otherwise you are in a dangerous position,” he said,

“Whatever club, no matter your trajectory, no matter if it is new or old, you have to win and do a good job and be good with many things otherwise it happens unfortunately.

“But people have to understand just one win can win. All the others are failures? I don’t think so, honestly.

“I would not feel like a failure if I did not win the Premier League and I think Arsenal do not feel that because they performed incredibly.

“But our job is what it is. If you don’t accept that, it’s better you don’t do this job.”
 
Pep Guardiola pointed to Arsenal and Mikel Arteta as an example of why not winning a trophy as a manager of a big club does not necessarily mean you should be deemed as a “failure”.

Guardiola’s Manchester City side beat Arsenal to the Premier League title for the second season running following their final day win over West Ham, finishing two points clear of the Gunners.

They take on rivals Manchester United in the FA Cup final on Saturday looking to do the Premier League and FA Cup double for the second year running.

United boss Erik ten Hag is under significant pressure heading into the final following a disappointing second season at the club in which the club finished eighth in the Premier League.

And following the news that the boss of Guardiola’s former club Barcelona, Xavi, had been sacked, the City boss says current managers are at a high risk of losing their jobs if they do not win, regardless of their past achievements.

“In our job you have to win, otherwise you are in a dangerous position,” he said,

“Whatever club, no matter your trajectory, no matter if it is new or old, you have to win and do a good job and be good with many things otherwise it happens unfortunately.

“But people have to understand just one win can win. All the others are failures? I don’t think so, honestly.

“I would not feel like a failure if I did not win the Premier League and I think Arsenal do not feel that because they performed incredibly.

“But our job is what it is. If you don’t accept that, it’s better you don’t do this job.”
Pep anajua kucheza na akili za nyie viazi. Kazi kufuga kifaa cha kukalia.

Screenshot_20240324-115801_Chrome.jpg
 
Yess Kwa miaka hio 2007 Kwa mim niliishi tofauti kidogo ...

Nyumbani Hakuna tv ya kuangalia mpira ,labda movie ya kutumia mikanda .......
Nachungwa nyumbani ,napewa Kazi za kuosha vyomba ,kufagia uwanja,kutumwa sokoni ..

Ukirudi nyumbani saa mbili Ni fimbo, ,...

Mipira ya ulaya ilikuwa inaoneshwa usiku ,Mara nyingi ,......Rudi nyumbani saa moja uone kichapo utakachokutana nacho ..

Access ya mpira ilikuwa inawafavour wakubwa kuangalia kuliko Sisi madogo ... Kwa wakati huo ,ndio maana mim mpaka nilipofikisha umri WA kuwa huru home ndio nilianzia kuangalia mpira sasa .....

Umeme wenyewe ulikuwa WA generator,hata wanapoonesha mpira ,kujua tu ratiba Kwa dogo kama mim ilikuwa ngumu ...

Dogo kama mim kukomaa kwenye Banda eti naangalia mpira Tena jenereta imewashwa saa tatu usiku ,kudadeki utasikia mle kibanda umiza " hivi Huyo dogo Ni WA Mzee Nani ,Kwan hajui kama kesho Ni Shule anakaa humu mpaka sasa NNE usiku😂" baba yako akisikia ulikuwa unakula kichapo ,kiufupi ilikuwa kama haramu kajichanganya na wakubwa et unaangalia mpira ....

Wewe kama ulikuwa unaangalia mpira ukiwa na miaka 8 au 9 ya ulaya ,iliyokuwa inacheza usiku ,basii Ni malezi yenu ....
We jamaa kubwa Zima unajiita dogo. Kwahiyo hata kombe la Dunia 2010 South Africa haujaangalia.
EPL mechi zote zilikuwa usiku??
We sema umeanza kushabikia mpira ukubwani.
 
arsenal iangalie upatikanaji wa wachezaji hawa wawili wote kwa pamoja.. ni wachezaji ambao wataongeza upana wa kikosi kwa % kubwa tu.

karim adeyemi wa BVB na lucas paquetá kutoka west ham.
 
arsenal iangalie upatikanaji wa wachezaji hawa wawili wote kwa pamoja.. ni wachezaji ambao wataongeza upana wa kikosi kwa % kubwa tu.

karim adeyemi wa BVB na lucas paquetá kutoka west ham.
Paqueta mtaalamu sana sikuping jama anapiga position zaidi ya tatu,, mpka dm.
 
Back
Top Bottom