Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Umeshinda makombe yote Bila FFP ,var ,goal line technology,Hakuna hata social media ....kiufupi makombe yenu mmeyanyanyua gizani ......Weewe ndiye una wivu kuwa sisi tuliweza kujiendesha kwa pesa za ndani huku nyie mlishindwa kujiendesha kwa pesa za ndani mpaka mbebwe na sugar daddy mwenye pesa zake. Sisi tulifanya kihalali. Nyie mmefanya kihuni. Unatulazimishia uhuni ambao sisi hatukufanya kisa nyie mlishindwa kufanya kihalali.
Hata hivyo, isiwe taabu. Kwa sasa umeona akina Livakuku na sisi tumeamka na tumeanza kuwapelekea moto kwenye hizi mbio. Muda si mrefu tutawapita na kuwarudisha matopeni mlikokota pamoja na uhuni wenu. Hatutakuwa na haja ya kugombana mambo ya nje ya uwanjani maana huko huko uwanjani mtakuwa mnaona moto wetu.
Harafu unasema Ni Halali ....Ni board gani inawezadhibitisha uhalali wenu kuwa mlikuwa mnatumia pesa kihalali ....
Ndio maana mpira WA sasa unawashinda ,Kwa sababu mlikiwa mshazoea kuwin game pekee yenu sababu mnapesa Enzi hizoo ,saizi timu kibao Duniani zina pesa ......leta timu uwanjani tupishane na kuoneshana ubabe tu ...