tutawapostia picha za ubingwa wa FA hapa wiki nzima.
Hawa KENGE mwaka huu watauona mchungu.tutawapostia picha za ubingwa wa FA hapa wiki nzima.
Vipi mmepiga?Oya wanangu wa Arsenal leo lazima tupige hawa Mayatima wa Ferguson
Yani mwezi mzima huu wanajisifu kuwa watatufunga.
Hebu leo tuwazibe mdomo![]()


msimu huu Liverpool kabeba kombe, Mancity Epl, Man Utd tumechukua FA halafu ndugu zetu Arseno wapowapo tu kama mazezeta, kila msimu wenyewe kazi yao ni kuwasindikiza wenzao. 






Hamis77 atawalaani we Flano na AllyPipi, au hutaki wachaambuzi waseme Arse8 vile inavyo-press, drible, keep ball possession na strikers wao hatari Havertz & Jesus? Shauri zenu ohooo...msimu huu Liverpool kabeba kombe, Mancity Epl, Man Utd tumechukua FA halafu ndugu zetu Arseno wapowapo tu kama mazezeta, kila msimu wenyewe kazi yao ni kuwasindikiza wenzao.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu, Arteta hatusemi ni kocha mbaya hapana, huyo ni kocha mzuri kwa timu za Academy ila kwa first league kila msimu mtakua wasindikizaji
Xavi ana misimu miwili tu na Barca na kawapatia mpaka La Liga lakini wamemtimua kwa kuona hatoshei kwa timu inayojielewa, nyie mnaendelea kumkumbatia Failure halafu mnadanganyana humu kua ni Masterclass kumbe ni Masturbation.
Msimu wa 5 huu mnatoka mikono mitupu na huyo Masturbation wenu halafu mnadanganyana humu na Corona CupView attachment 2999320


we will always be here to collect arsenal's fans tears


Hivi Arsenyo msimu huu mlikua mnashindania nini??? 


Bahati FCHivi Arsenyo msimu huu mlikua mnashindania nini???
Ndugu yangu Masingeli na chawa wake mkorea na arsenal2004 sijui hata wana hali gani huko walikoView attachment 2999370