Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah pira biriyani bila kombe

Arteta mwakani afanye aonyeshe nayeye anaweza Madrid man utd wameweza kumzuia asichukue 3 peat kwa mara ya pili ni Arsenal tu mmliamua kumpa zawadi ya epl

Every era has to come to un end man city downfall yake ndio imeanza chance yenu kuonesha ukomavu pep asije akapazoea hapa epl
 
tutawapostia picha za ubingwa wa FA hapa wiki nzima.
Hawa KENGE mwaka huu watauona mchungu.
Screenshot_20240525_194252.jpg
 
Labyrinth amekuwa kimya. Mbona hajatuambia Newcastle wameshaanza preseason?

Newcastle United thrashed 8-0 by A-League All Stars in Melbourne as post-season tour ends on low note​


Na je, nini hatma ya timu yake katika mashindano ya Ulaya baada ya Manyumbu kubebe FA?
 
msimu huu Liverpool kabeba kombe, Mancity Epl, Man Utd tumechukua FA halafu ndugu zetu Arseno wapowapo tu kama mazezeta, kila msimu wenyewe kazi yao ni kuwasindikiza wenzao.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu, Arteta hatusemi ni kocha mbaya hapana, huyo ni kocha mzuri kwa timu za Academy ila kwa first league kila msimu mtakua wasindikizaji
Xavi ana misimu miwili tu na Barca na kawapatia mpaka La Liga lakini wamemtimua kwa kuona hatoshei kwa timu inayojielewa, nyie mnaendelea kumkumbatia Failure halafu mnadanganyana humu kua ni Masterclass kumbe ni Masturbation.
Msimu wa 5 huu mnatoka mikono mitupu halafu mnadanganyana humu na Corona Cup, fukuzeni hio Masturbation
manchester-united-252622802-16x9_0.jpg
 
Nimefurahi sana Kipara kufungwa na Mwacity wake maana walitudhulumu penati halali kabisa ya FA semi final iliyotokana na faulo ya Palmer.

Mwacity City Fans Rudini kwenye timu zenu za awali Man Utd SC, Liverpool SC, Arsenal SC, na Chelsea SC...

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
msimu huu Liverpool kabeba kombe, Mancity Epl, Man Utd tumechukua FA halafu ndugu zetu Arseno wapowapo tu kama mazezeta, kila msimu wenyewe kazi yao ni kuwasindikiza wenzao.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu, Arteta hatusemi ni kocha mbaya hapana, huyo ni kocha mzuri kwa timu za Academy ila kwa first league kila msimu mtakua wasindikizaji
Xavi ana misimu miwili tu na Barca na kawapatia mpaka La Liga lakini wamemtimua kwa kuona hatoshei kwa timu inayojielewa, nyie mnaendelea kumkumbatia Failure halafu mnadanganyana humu kua ni Masterclass kumbe ni Masturbation.
Msimu wa 5 huu mnatoka mikono mitupu na huyo Masturbation wenu halafu mnadanganyana humu na Corona CupView attachment 2999320
Hamis77 atawalaani we Flano na AllyPipi, au hutaki wachaambuzi waseme Arse8 vile inavyo-press, drible, keep ball possession na strikers wao hatari Havertz & Jesus? Shauri zenu ohooo...

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom