Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The secret is simple, Leave ARSENAL if you want to succeed.
FB_IMG_17164549420048562.jpeg
 
Kama sio man city nishabikie timu gani au unafikili mim nimeshabikia mpira Kwa kufuata mashati na kelele za mtaani ,mim nimeshabikia mpira Kwa kuangalia sio Kwa kurithi ....

Unajua haters kama nyie huwa nawashangaa ,mpaka mnatafuta quotation fake kuichafua city ,hadi huruma
Fake news ....fake everything...
Ukisikia CITY inamashtaka ya kikiuka FFP unadhani wanasingiziwa?
Ukisikia serikali ya Qatar imejadili suala hilo na serikali ya Uingereza unadhani ni uongo?
Ukisikia watu wanasema wanaamini City anamakosa lakini pia wanajua kuwa hawatafanywa lolote unafikiri ni kwa sababu City kweli ni wasafi au kwa sababu haki haipo hata kwenye FA?
Au unafikiri ufisadi na uhuni haupo huko nje au unafikiri haki huwa hazikiukwi katika maisha? Au wewe unaishi nchi gani?

Ukweli ni watu wanaamini nyie mmefanya uhuni. Inajulikana dunia nzima pia kuwa hakuna mtachofanywa kwa sababu nyie mnamilikiwa na Qatar na nyie siyo Everton wala Nottingham Forest. Hata wewe ukiamua kukana ukweli, haubadilishi. Usimame kwenye haki au kusiko haki, huu ni mpira tu na kwetu wengi ni burudani tu, ila kwa wengine ni maisha na zaidi ya burudani. Ungekuwa shabiki wa Everton huenda ungeona mambo tofauti ila ndiyo hivyo, wote sisi tuko mbali huku na huenda hakuna kati yetu ajuaye ukweli wa mambo pale Etihad.
 
Ukisikia CITY inamashtaka ya kikiuka FFP unadhani wanasingiziwa?
Ukisikia serikali ya Qatar imejadili suala hilo na serikali ya Uingereza unadhani ni uongo?
Ukisikia watu wanasema wanaamini City anamakosa lakini pia wanajua kuwa hawatafanywa lolote unafikiri ni kwa sababu City kweli ni wasafi au kwa sababu haki haipo hata kwenye FA?
Au unafikiri ufisadi na uhuni haupo huko nje au unafikiri haki huwa hazikiukwi katika maisha? Au wewe unaishi nchi gani?

Ukweli ni watu wanaamini nyie mmefanya uhuni. Inajulikana dunia nzima pia kuwa hakuna mtachofanywa kwa sababu nyie mnamilikiwa na Qatar na nyie siyo Everton wala Nottingham Forest. Hata wewe ukiamua kukana ukweli, haubadilishi. Usimame kwenye haki au kusiko haki, huu ni mpira tu na kwetu wengi ni burudani tu, ila kwa wengine ni maisha na zaidi ya burudani. Ungekuwa shabiki wa Everton huenda ungeona mambo tofauti ila ndiyo hivyo, wote sisi tuko mbali huku na huenda hakuna kati yetu ajuaye ukweli wa mambo pale Etihad.
Arsenal imeshinda makombe yote Bila ..

-Var
-FFP
-No social media to expose robbed team
-No goal line technology

Huyo Wenger na furgson mnayemuona Ni vile tu zamani hapakuwa na exposer lakin Ni watu ambao wameongoza Kwa ..

-Kutumia pesa nyingi ,maana ndio timu zilikuwa Tajiri wakati huo ..kutumia pesa Bila kujali

- Ni watu wambao walikuwa wanaongoza Kwa umafia na kununua referee kwenye game ili washinde.....furgson ndio alikuwa anaongoza balaaa......Kila MTU anajua ....

- Ni watu ambao walikuwa wanaweza kununua mchezaji wanamtaka Kwa wakati huo England Kwa gharama yeyote ile (hapa Hakuna FFP so ilikuwa kumwaga pesa tu)... ...

-Ndio ilikuwa tumaini la Kila mchezaji kutokana na pesa walizokuwa nazo wanawalipa (mshahara na bonus nyingi).......

Saizi man city ,Chelsea wamekuja na pesa kuwazidi mmekuja na FFP ,mbaya Zaidi mnazusha charge 115 ambazo mpaka sasa nikikuambia uelezee hata charge moja Kwa ushahidi hauwezi ...

Wivu ,ujinga ,upumbavu ,na uchawi WA kuona mnaenda kupitwa na MAN CITY kwenye mafanikio ndio vinafanya kuiona man city kama adui yenu ....

Kwa maana man city Kwa sasa kawazidi pesa ,sio kama zamani Arsenal & man utd ndio mlikuwa na "financial muscles" saizi timu nyingi zinapesa kama nyinyi mlivokuwa nazo zamani ...Kwa hiyo njooni tupambane uwanjani ....

Man city kuwa na charge Ni wivu ...email za kihuni ambazo hazina ushahidi zimetumwa PL na wao Bila kuwa na ushahidi wakapublish ,ndio maana mpaka wao wanajuta kwanin wanalichangaya kutangaza kitu ambacho hawana ushahidi nacho "Yule chairman WA pl mpaka sasa anakiona kile kiti cha moto"...

Ni sawaa na kutangaza MTU flani Ni mwizi Bila ushahidi ,huku ukisema bado unafanya uchunguzi ...

Nataka kuwambia tu man city Ni dude kubwa ,jitu kubwa ,lipo Kila Mahali ....najua mnajifariji sijui 115charge ,haina fan base ,kisa wivu na husda ...lakin CITIZEN is the big world whether you like or not ....
 
labda alikua kijijini mkuu, au home dstv hakuna na alikua na changamoto ya kupata hela ya kibanda umiza. Tunatofautiana uwezo. Temana nae, back ground mbovu.
Kila MTU na Zama zake Mzee ...

Zama zangu Ni city football....

Wewe Babu ulikuwepo Enzi za Wenger football..

Endelea na Arsenal yako....

Kila MTU afuate anachojua
 
Arsenal imeshinda makombe yote Bila ..

-Var
-FFP
-No social media to expose robbed team
-No goal line technology

Huyo Wenger na furgson mnayemuona Ni vile tu zamani hapakuwa na exposer lakin Ni watu ambao wameongoza Kwa ..

-Kutumia pesa nyingi ,maana ndio timu zilikuwa Tajiri wakati huo ..kutumia pesa Bila kujali

- Ni watu wambao walikuwa wanaongoza Kwa umafia na kununua referee kwenye game ili washinde.....furgson ndio alikuwa anaongoza balaaa......Kila MTU anajua ....

- Ni watu ambao walikuwa wanaweza kununua mchezaji wanamtaka Kwa wakati huo England Kwa gharama yeyote ile (hapa Hakuna FFP so ilikuwa kumwaga pesa tu)... ...

-Ndio ilikuwa tumaini la Kila mchezaji kutokana na pesa walizokuwa nazo wanawalipa (mshahara na bonus nyingi).......

Saizi man city ,Chelsea wamekuja na pesa kuwazidi mmekuja na FFP ,mbaya Zaidi mnazusha charge 115 ambazo mpaka sasa nikikuambia uelezee hata charge moja Kwa ushahidi hauwezi ...

Wivu ,ujinga ,upumbavu ,na uchawi WA kuona mnaenda kupitwa na MAN CITY kwenye mafanikio ndio vinafanya kuiona man city kama adui yenu ....

Kwa maana man city Kwa sasa kawazidi pesa ,sio kama zamani Arsenal & man utd ndio mlikuwa na "financial muscles" saizi timu nyingi zinapesa kama nyinyi mlivokuwa nazo zamani ...Kwa hiyo njooni tupambane uwanjani ....

Man city kuwa na charge Ni wivu ...email za kihuni ambazo hazina ushahidi zimetumwa PL na wao Bila kuwa na ushahidi wakapublish ,ndio maana mpaka wao wanajuta kwanin wanalichangaya kutangaza kitu ambacho hawana ushahidi nacho "Yule chairman WA pl mpaka sasa anakiona kile kiti cha moto"...

Ni sawaa na kutangaza MTU flani Ni mwizi Bila ushahidi ,huku ukisema bado unafanya uchunguzi ...

Nataka kuwambia tu man city Ni dude kubwa ,jitu kubwa ,lipo Kila Mahali ....najua mnajifariji sijui 115charge ,haina fan base ,kisa wivu na husda ...lakin CITIZEN is the big world whether you like or not ....

Haya bhana umeshinda.

Sioni kama hata kuna haja ya kukuelezea 'self-sustaining' model za kina Arsenal na United na jinsi zilikuwa muhimu kwa wakati huo maana kwa kuwa wewe hukuwepo, huwezi kuelewa.

Hivyo vilabu vilipata hela kwa sababu ya mpira mzuri na kuwa na fanbase kubwa na kwa kushinda mataji. Hiyo ndiyo ilikuwa namna ya vilabu kujiendesha wakati huo, na siyo kwa kununuliwa na mtu mmoja anayemimina pesa zake za mfukoni kuleta ushindani.

Hiyo ndiyo sababu iliyoleta FFP, pamoja na mambo mengine kwa manufaa ya game. Sidhani kama utaweza kuelewa hata ukijaribu kueleweshwa.
 
Kila MTU na Zama zake Mzee ...

Zama zangu Ni city football....

Wewe Babu ulikuwepo Enzi za Wenger football..

Endelea na Arsenal yako....

Kila MTU afuate anachojua

Sahihi kabisa. Wewe katika kukua kwako City ndiyo habari ya mujini. Wewe enjoy na timu yako. Of course kishabiki na kiutani lazima tukupe makavu maana wewe hata uelewi tofauti ya timu ya mji au taasisi fulani inayojiendesha yenyewe na timu inayomilikiwa na nchi ya kiarabu yenye hifadhi za mafuta.
 
Sahihi kabisa. Wewe katika kukua kwako City ndiyo habari ya mujini. Wewe enjoy na timu yako. Of course kishabiki na kiutani lazima tukupe makavu maana wewe hata uelewi tofauti ya timu ya mji au taasisi fulani inayojiendesha yenyewe na timu inayomilikiwa na nchi ya kiarabu yenye hifadhi za mafuta.
Kwa hio Yule mfanyabiashara maarufu kutoka marekani anayemiliki Arsenal kroenke yeye haweki pesa Arsenal .....

Au nyie timu yenu haimilikiwi na MTU tajiri ,unafikili mashabiki oyaa oyaaaa WA Arsenal ndio wanarun hio club ....?
 
Sahihi kabisa. Wewe katika kukua kwako City ndiyo habari ya mujini. Wewe enjoy na timu yako. Of course kishabiki na kiutani lazima tukupe makavu maana wewe hata uelewi tofauti ya timu ya mji au taasisi fulani inayojiendesha yenyewe na timu inayomilikiwa na nchi ya kiarabu yenye hifadhi za mafuta.
Naona uko busy kupigia mbuzi gitaa
 
Haya bhana umeshinda.

Sioni kama hata kuna haja ya kukuelezea 'self-sustaining' model za kina Arsenal na United na jinsi zilikuwa muhimu kwa wakati huo maana kwa kuwa wewe hukuwepo, huwezi kuelewa.

Hivyo vilabu vilipata hela kwa sababu ya mpira mzuri na kuwa na fanbase kubwa na kwa kushinda mataji. Hiyo ndiyo ilikuwa namna ya vilabu kujiendesha wakati huo, na siyo kwa kununuliwa na mtu mmoja anayemimina pesa zake za mfukoni kuleta ushindani.

Hiyo ndiyo sababu iliyoleta FFP, pamoja na mambo mengine kwa manufaa ya game. Sidhani kama utaweza kuelewa hata ukijaribu kueleweshwa.
Hizo fan base zimepatikana Kwa kucheza mpira mzuri sawa ...

Huo mpira mzuri umepatikana Kwa kununua wachezaji wazuri Kwa gharama ,kuwalipa mishahara mizuri ,kuwapa bonus za kutosha ...

Maana yake nin pesa iliwekwa Kwanza ndio mpira ukachezwa then fan base ikaongezeka .....

Hakuna timu inayoendeshwa na fan base ,ndio Maana hata man utd inatamani kumilikiwa na waarabu ...

Ni sawa useme Leo Simba Ni timu ya wananchi tu ,haihitaji tajiri ,wakati Mo akitoka tu timu nzima Ni chaliii .....
 
Kwa hio Yule mfanyabiashara maarufu kutoka marekani anayemiliki Arsenal kroenke yeye haweki pesa Arsenal .....

Au nyie timu yenu haimilikiwi na MTU tajiri ,unafikili mashabiki oyaa oyaaaa WA Arsenal ndio wanarun hio club ....?

Hujanielewa. Nimekuambia mifumo ya wakati huo. Hata Kroenke mwenyewe amepata 100 ownership mwaka 2018, yaani juzi tu hapa. Na bado hatumii pesa zake mwenyewe kwa kiasi kikubwa maana yeye anafanya biashara. Alichofanya ili kulegeza kamba kwa Arsenal ni yeye amelinunua deni la Emirates Stadium (amelipa yeye na sasa Arsenal inamplipa yeye badala ya kuwalipa Emirates, kwa masharti nafuu ya kuipa Arsenal fursa zaidi kupambania wachezaji)..

Ndiyo maana sasa unasikia na sisi tunatoa 100m kumchukua Rice. Na hapo bado tunapaswa kushindana kuingia Ulaya.

Nimeeleza kabla kuwa pia kuna makosa ya kifedha makubwa sana tulifanya katika sponsorships. Michezo, wanamichezo na biashara hii kwa ujumla inategemea sana madili mengi nje ya uwanja. Na kupata hayo madili unabidi ufanye vizuri. Tafuta muda ufanye tafiti za sponsorships za kina Man United na Umbro miaka ya 1995, ambao Umbro nao walikuwa wanatengeneza jezi za Man City pia, uone kama zililingana. Kama huko ni mbali sana, angalia hata hizi za juzi juzi tu za Adidas. Utakuja kuona kwamba enzi hizo, ili upande juu utajirike, lazima ufanye mengi uwanjani ili upate kuwa brand na ndiyo utengeneze pesa za kulipa mishahara minono ambayo inavutia wachezaji wakali. Hapo ndiyo maana ya vilabu kujiendesha vyenyewe. Sijagusia hata suala la uuzaji wa wachezaji.

Baadae wakaja wawekezaji walioona potential ya mpira, siyo tu kibiashara bali pia njia ya kutakatisha fedha na mambo mengine yasiyo mazuri pia.

Mfano, Abramovich aliponunua Chelsea, ilikuwa timu nzuri tu ila alimwaga pesa kwa sababu ilionekana kwake Chelsea wala siyo sehemu ya kumuingizia pesa sana, bali anapenda tu kushinda mataji ya mpira na kumiliki timu. Ndiyo maana kipindi hicho aliweza kununua karibia mchezaji yeyote aliyemtaka na alifukuza kocha asiyempa mafanikio aliyotaka. Elewa pia sababu ya Chelsea kuwa bado kwenye ligi baada ya Russia kuuvamia Ukraine ni kwa sababu tu Abramovich alikubali kuisamehe deni. Kama ulitembelea jukwaa la Chelsea wakati huo utakumbuka namna walivyokuwa wanalia kuwa timu yao inaelekea kufutwa kwenye ligi. Kwa kifupi, Chelsea haikumpa faida Roman. System ya Roman siyo tofauti sana na wamiliki wenu, ila kwenu mna bahati kwamba FFP imeanza kuwa serious zaidi na ndiyo maana mnapika vitabu na kujitetea sana kama hamna makosa lakini mnajua mnayo.
 
Naona uko busy kupigia mbuzi gitaa
Kidogo tu najaribu kumuelewesha. Yeye bado haelewi kuwa timu zilikuwa organizations zinazojaribu kujiendesha kwa faida na zilijitahidi sana kupambana. Yeye amekuta enzi hizi za oligarch fulani au sheikh flani anaingia tu mahali na mapesa na kuyaminimina kwenye club. Haelewi wenzake wametoka wapi anaona ni kwamba wao wamekuja tu na kuwazidi pesa na wanaona kwamba wenzao wanalalamika tu kuzidiwa pesa. Nadhani mifano hii hata ukimpa katika mazingira ya kawaida tu kwenye maisha anaweza asikuelewe.
 
Hujanielewa. Nimekuambia mifumo ya wakati huo. Hata Kroenke mwenyewe amepata 100 ownership mwaka 2018, yaani juzi tu hapa. Na bado hatumii pesa zake mwenyewe kwa kiasi kikubwa maana yeye anafanya biashara. Alichofanya ili kulegeza kamba kwa Arsenal ni yeye amelinunua deni la Emirates Stadium (amelipa yeye na sasa Arsenal inamplipa yeye badala ya kuwalipa Emirates, kwa masharti nafuu ya kuipa Arsenal fursa zaidi kupambania wachezaji)..

Ndiyo maana sasa unasikia na sisi tunatoa 100m kumchukua Rice. Na hapo bado tunapaswa kushindana kuingia Ulaya.

Nimeeleza kabla kuwa pia kuna makosa ya kifedha makubwa sana tulifanya katika sponsorships. Michezo, wanamichezo na biashara hii kwa ujumla inategemea sana madili mengi nje ya uwanja. Na kupata hayo madili unabidi ufanye vizuri. Tafuta muda ufanye tafiti za sponsorships za kina Man United na Umbro miaka ya 1995, ambao Umbro nao walikuwa wanatengeneza jezi za Man City pia, uone kama zililingana. Kama huko ni mbali sana, angalia hata hizi za juzi juzi tu za Adidas. Utakuja kuona kwamba enzi hizo, ili upande juu utajirike, lazima ufanye mengi uwanjani ili upate kuwa brand na ndiyo utengeneze pesa za kulipa mishahara minono ambayo inavutia wachezaji wakali. Hapo ndiyo maana ya vilabu kujiendesha vyenyewe. Sijagusia hata suala la uuzaji wa wachezaji.

Baadae wakaja wawekezaji walioona potential ya mpira, siyo tu kibiashara bali pia njia ya kutakatisha fedha na mambo mengine yasiyo mazuri pia.

Mfano, Abramovich aliponunua Chelsea, ilikuwa timu nzuri tu ila alimwaga pesa kwa sababu ilionekana kwake Chelsea wala siyo sehemu ya kumuingizia pesa sana, bali anapenda tu kushinda mataji ya mpira na kumiliki timu. Ndiyo maana kipindi hicho aliweza kununua karibia mchezaji yeyote aliyemtaka na alifukuza kocha asiyempa mafanikio aliyotaka. Elewa pia sababu ya Chelsea kuwa bado kwenye ligi baada ya Russia kuuvamia Ukraine ni kwa sababu tu Abramovich alikubali kuisamehe deni. Kama ulitembelea jukwaa la Chelsea wakati huo utakumbuka namna walivyokuwa wanalia kuwa timu yao inaelekea kufutwa kwenye ligi. Kwa kifupi, Chelsea haikumpa faida Roman. System ya Roman siyo tofauti sana na wamiliki wenu, ila kwenu mna bahati kwamba FFP imeanza kuwa serious zaidi na ndiyo maana mnapika vitabu na kujitetea sana kama hamna makosa lakini mnajua mnayo.
Mpaka hapa sasa nimeona tunabishania nin ...

Kutaka kuishi maisha ya 90 mwaka huu 2024 ndio tatizo ....

Mpira Ni biashara saizi ,watu wanavuja jasho uwanjani na kuwamwaga damu Kwa ajiri ya pesa na sio kufurahisha tu watu flani ...

Wachezaji walishasanuka ,makocha walishasanuka ,hata ligi nzima ishasanuka ila nyie watazamaji ndio bado hamjakubali ....

Football Ni ajira ,mpira Ni pesa
 
Mpaka hapa sasa nimeona tunabishania nin ...

Kutaka kuishi maisha ya 90 mwaka huu 2024 ndio tatizo ....

Mpira Ni biashara saizi ,watu wanavuja jasho uwanjani na kuwamwaga damu Kwa ajiri ya pesa na sio kufurahisha tu watu flani ...

Wachezaji walishasanuka ,makocha walishasanuka ,hata ligi nzima ishasanuka ila nyie watazamaji ndio bado hamjakubali ....

Football Ni ajira ,mpira Ni pesa
Kama hicho ndicho ulichokipata hapo, basi tena :D
 
Kama hicho ndicho ulichokipata hapo, basi tena :D
Mkuu point Ni ile Ile pesa lazima itumike ..

Najua unasema lazima club itafute wachezaji local ambao hawajanunuliwa Kwa pesa nyingi (natural talents) ,wacheze vizuri ,wapate makombe mengi ,wacheze mpira WA kuvutia ,wapate wafuasi wengi Duniani , Ndio wapate sponsorship ya kuwa inawapa pesa nyingi,ndio wapate mishahara Mingi .........huku sababu ikiwa kuwa Hao ndio wanafuata Sheria za mpira Kwa sababu hawajatumia pesa wametengeneza vipaji wenyewe ........huu ndio ulikuwa mpira WA zamani 1990 huko unaousemea ...ambao mashabiki mpaka sasa ndio wanaotaka ...wakiona unanunua talent wanaona kama wewe sio kocha ....

Sasa sikia nikwambia huo mfumo WA kinyonyaji WA kuwafurahisha mashabiki,huku wachezaji wakiwa masikin ndio hauwezi kuona 2024 ....huo Ni upumbavu WA kizaman ndio maana wachezaji wastafu wote WA zaman Ni masikin ........

Kiufupi Hakuna mchezaji anayecheza kutafuta sifa Kwa mashabiki kama zamani , nowadays it's all about money ....

Weka pesa mezani ,nunua mchezaji ,mpe mshahara mnono na bonus ,ndio anacheza mpira mzuri WA kuvutia na kuleta makombe ...kama huna hizo pesa ....tulia wenye nazo watumie ....
 
Hii hapa orodha ya vipaji vilivyochezea Gundu Fc na kutoka mikono mitupu kisha wakaenda kubeba makombe kwenye timu zinazijielewa.

1. Ashley Cole
Arsenal Honours: FA Cup (3)
Honours After Leaving : Premier League, FA Cup (4), Champions League, Europa League

2. Lassana Diarra
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: FA Cup, La Liga, Copa del Rey, Ligue 1, Coupe de France

3. Mathieu Flamini
Arsenal Honours: FA Cup(2)
Honours After Leaving: Serie A

4. Aliaksandr Hleb
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: La Liga, Copa del Rey, Champions League

5. Emmanuel Adebayor
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Copa del Rey
Copa del Rey hatuwezi kuita ni mafanikio lakini ni bora kuliko kukosa kitu.

6. Eduardo
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Ukrainian Premier League (4), Ukrainian Cup (4)

7. Cesc Fàbregas
Arsenal Honours: FA Cup
Honours After Leaving: Copa del Rey, La Liga, Premier League (2), FA Cup

9. Samir Nasri
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Premier League (2)

10. Robin van Persie
Arsenal Honours: FA Cup
Honours After Leaving: Premier League

11. Alex Song
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: La Liga

12. Thomas Vermaelen
Arsenal Honours: FA Cup
Honours After Leaving: La Liga (4), Copa del Rey (2)

13. Serge Gnabry
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Bundesliga (2), DfB-Pokal

14. Wojciech Szczęsny
Arsenal Honours: FA Cup (2)
Honours After Leaving: Serie A (2), Coppa Italia

15. Alex Oxlade-Chamberlain
Arsenal Honours: FA Cup (3)
Honours After Leaving: Champions League, Premier League, Club World Cup

16. Olivier Giroud
Arsenal Honours: FA Cup (3)
Honours After Leaving: FA Cup, Champions League, Europa League, Serie A

17. David Ospina
Arsenal Honours: FA Cup (2)
Honours After Leaving: Coppa Italia

Jamani mpaka kufikia 17 nimelia sana, nimeshindwa hata kuendelea maana
orodha bado ni ndefu sana ndugu zangu, kuna za kizazi cha kina Xhaka sijaziorodhesha nikimaliza kujifuta machozi tutaendelea, kumbe hizi false hopes sio za kina Masingeli peke yao, zilikuwepo kabla hata Wenger hajakabidhiwa timu.

1716474188671.jpg
 
Ukisikia CITY inamashtaka ya kikiuka FFP unadhani wanasingiziwa?
Ukisikia serikali ya Qatar imejadili suala hilo na serikali ya Uingereza unadhani ni uongo?
Ukisikia watu wanasema wanaamini City anamakosa lakini pia wanajua kuwa hawatafanywa lolote unafikiri ni kwa sababu City kweli ni wasafi au kwa sababu haki haipo hata kwenye FA?
Au unafikiri ufisadi na uhuni haupo huko nje au unafikiri haki huwa hazikiukwi katika maisha? Au wewe unaishi nchi gani?

Ukweli ni watu wanaamini nyie mmefanya uhuni. Inajulikana dunia nzima pia kuwa hakuna mtachofanywa kwa sababu nyie mnamilikiwa na Qatar na nyie siyo Everton wala Nottingham Forest. Hata wewe ukiamua kukana ukweli, haubadilishi. Usimame kwenye haki au kusiko haki, huu ni mpira tu na kwetu wengi ni burudani tu, ila kwa wengine ni maisha na zaidi ya burudani. Ungekuwa shabiki wa Everton huenda ungeona mambo tofauti ila ndiyo hivyo, wote sisi tuko mbali huku na huenda hakuna kati yetu ajuaye ukweli wa mambo pale Etihad.
Why use such energy kubishana na hao Manufactured fan base.
Hakuna mpira hapo zaidi ya kufurahisha nafsi zao.
 
Mkuu point Ni ile Ile pesa lazima itumike ..

Najua unasema lazima club itafute wachezaji local ambao hawajanunuliwa Kwa pesa nyingi (natural talents) ,wacheze vizuri ,wapate makombe mengi ,wacheze mpira WA kuvutia ,wapate wafuasi wengi Duniani , Ndio wapate sponsorship ya kuwa inawapa pesa nyingi,ndio wapate mishahara Mingi .........huku sababu ikiwa kuwa Hao ndio wanafuata Sheria za mpira Kwa sababu hawajatumia pesa wametengeneza vipaji wenyewe ........huu ndio ulikuwa mpira WA zamani 1990 huko unaousemea ...ambao mashabiki mpaka sasa ndio wanaotaka ...wakiona unanunua talent wanaona kama wewe sio kocha ....

Sasa sikia nikwambia huo mfumo WA kinyonyaji WA kuwafurahisha mashabiki,huku wachezaji wakiwa masikin ndio hauwezi kuona 2024 ....huo Ni upumbavu WA kizaman ndio maana wachezaji wastafu wote WA zaman Ni masikin ........

Kiufupi Hakuna mchezaji anayecheza kutafuta sifa Kwa mashabiki kama zamani , nowadays it's all about money ....

Weka pesa mezani ,nunua mchezaji ,mpe mshahara mnono na bonus ,ndio anacheza mpira mzuri WA kuvutia na kuleta makombe ...kama huna hizo pesa ....tulia wenye nazo watumie ....
Ni sawa, Sijasema pesa haitumiki au haikutumika. Nimesema vilabu vilikuwa vinaitengeneza hiyo pesa vyenyewe, bila kupewa na mabilionea. FA walitaka na wanapenda sana vilabu vijiendeshe kwa pesa zake zenyewe tangu enzi hizo maana pia uchumi unaelewa umuhimu wa 'self-sustaining model', ili kudhibiti vilabu kujiendesha katika hali ya madeni na kuathiri uchumi wa nchi kwa ujumla. Huenda pia hujawahi kusikia sakata la Leeds uniited ilivyokuja kufilisika na kusota kutoka kushiriki champions league mpaka kuozea daraja la pili huko. Unaweza usijue kuwa Leeds ilishatamba Champions League. Matajiri wakaja kubadilidha game kwa kutumia pesa zao binafsi, na kwa kipindi kirefu, ukifanya tafiti, utakuta Arsenal lilikataa mfumo huu. Anyway, ndiyo pesa lazima itumike na hili si suala jipya. Iko hivyo tangu zamani. Ila pesa imepatikanaje?

Ukienda kwenye suala la mishahara, enzi hizo pia kuna wachezaji wakubwa walikuwa wanapata mishahara mikubwa sana tu. Mfano akina Sol Campell na Thierry Henry walikuwa wanakula mishahara ya 120,000 pounds per week, miaka 20 hiyo iliyopita. Unadhani ukiweka factor ya inflation, mishaharaa hiyo itakuwa ni kiasi gani kwa ligi ya sasa? Mpaka sasa kuna wachezaji wa timu kubwa tu wanalipwa 80000/week, yaani chini ya mishahara ya wachezaji fulani miaka 20 iliyopita. Ukiangalia suala la wachezaji kuwa masikini, badili na kusema wachezaji wa zamani wengi wamefilisika. Tambua pia hilo suala la kufilisika kwa wachezaji linatokea kwenye karibia kila mchezo wa kulipwa na sababu kuu ni ukosefu wa elimu ya matumizi ya pesa na uwekezaji ambayo inaathiri wachezaji wengi sana mpaka leo hii. Suala siyo hawalipwi vizuri. Ni wamefanya nini na pesa zao? Mtafute Mathieu Flamini. Amechezea Arsenal na kina Thierry Henry na kina Fabregas. Alikuwa mchezaji wa kawaida tu na hakuwahi kushika mishahara wala madili waliyopata kina Henry. Kina Henry wanafanya punditry saivi. Flamini ni bonge la bilionea. Je David Bekham unamfahamu?
 
Back
Top Bottom