Ukisikia CITY inamashtaka ya kikiuka FFP unadhani wanasingiziwa?Kama sio man city nishabikie timu gani au unafikili mim nimeshabikia mpira Kwa kufuata mashati na kelele za mtaani ,mim nimeshabikia mpira Kwa kuangalia sio Kwa kurithi ....
Unajua haters kama nyie huwa nawashangaa ,mpaka mnatafuta quotation fake kuichafua city ,hadi huruma
Fake news ....fake everything...
Arsenal imeshinda makombe yote Bila ..Ukisikia CITY inamashtaka ya kikiuka FFP unadhani wanasingiziwa?
Ukisikia serikali ya Qatar imejadili suala hilo na serikali ya Uingereza unadhani ni uongo?
Ukisikia watu wanasema wanaamini City anamakosa lakini pia wanajua kuwa hawatafanywa lolote unafikiri ni kwa sababu City kweli ni wasafi au kwa sababu haki haipo hata kwenye FA?
Au unafikiri ufisadi na uhuni haupo huko nje au unafikiri haki huwa hazikiukwi katika maisha? Au wewe unaishi nchi gani?
Ukweli ni watu wanaamini nyie mmefanya uhuni. Inajulikana dunia nzima pia kuwa hakuna mtachofanywa kwa sababu nyie mnamilikiwa na Qatar na nyie siyo Everton wala Nottingham Forest. Hata wewe ukiamua kukana ukweli, haubadilishi. Usimame kwenye haki au kusiko haki, huu ni mpira tu na kwetu wengi ni burudani tu, ila kwa wengine ni maisha na zaidi ya burudani. Ungekuwa shabiki wa Everton huenda ungeona mambo tofauti ila ndiyo hivyo, wote sisi tuko mbali huku na huenda hakuna kati yetu ajuaye ukweli wa mambo pale Etihad.
Kila MTU na Zama zake Mzee ...labda alikua kijijini mkuu, au home dstv hakuna na alikua na changamoto ya kupata hela ya kibanda umiza. Tunatofautiana uwezo. Temana nae, back ground mbovu.
Arsenal imeshinda makombe yote Bila ..
-Var
-FFP
-No social media to expose robbed team
-No goal line technology
Huyo Wenger na furgson mnayemuona Ni vile tu zamani hapakuwa na exposer lakin Ni watu ambao wameongoza Kwa ..
-Kutumia pesa nyingi ,maana ndio timu zilikuwa Tajiri wakati huo ..kutumia pesa Bila kujali
- Ni watu wambao walikuwa wanaongoza Kwa umafia na kununua referee kwenye game ili washinde.....furgson ndio alikuwa anaongoza balaaa......Kila MTU anajua ....
- Ni watu ambao walikuwa wanaweza kununua mchezaji wanamtaka Kwa wakati huo England Kwa gharama yeyote ile (hapa Hakuna FFP so ilikuwa kumwaga pesa tu)... ...
-Ndio ilikuwa tumaini la Kila mchezaji kutokana na pesa walizokuwa nazo wanawalipa (mshahara na bonus nyingi).......
Saizi man city ,Chelsea wamekuja na pesa kuwazidi mmekuja na FFP ,mbaya Zaidi mnazusha charge 115 ambazo mpaka sasa nikikuambia uelezee hata charge moja Kwa ushahidi hauwezi ...
Wivu ,ujinga ,upumbavu ,na uchawi WA kuona mnaenda kupitwa na MAN CITY kwenye mafanikio ndio vinafanya kuiona man city kama adui yenu ....
Kwa maana man city Kwa sasa kawazidi pesa ,sio kama zamani Arsenal & man utd ndio mlikuwa na "financial muscles" saizi timu nyingi zinapesa kama nyinyi mlivokuwa nazo zamani ...Kwa hiyo njooni tupambane uwanjani ....
Man city kuwa na charge Ni wivu ...email za kihuni ambazo hazina ushahidi zimetumwa PL na wao Bila kuwa na ushahidi wakapublish ,ndio maana mpaka wao wanajuta kwanin wanalichangaya kutangaza kitu ambacho hawana ushahidi nacho "Yule chairman WA pl mpaka sasa anakiona kile kiti cha moto"...
Ni sawaa na kutangaza MTU flani Ni mwizi Bila ushahidi ,huku ukisema bado unafanya uchunguzi ...
Nataka kuwambia tu man city Ni dude kubwa ,jitu kubwa ,lipo Kila Mahali ....najua mnajifariji sijui 115charge ,haina fan base ,kisa wivu na husda ...lakin CITIZEN is the big world whether you like or not ....
Kila MTU na Zama zake Mzee ...
Zama zangu Ni city football....
Wewe Babu ulikuwepo Enzi za Wenger football..
Endelea na Arsenal yako....
Kila MTU afuate anachojua
Kwa hio Yule mfanyabiashara maarufu kutoka marekani anayemiliki Arsenal kroenke yeye haweki pesa Arsenal .....Sahihi kabisa. Wewe katika kukua kwako City ndiyo habari ya mujini. Wewe enjoy na timu yako. Of course kishabiki na kiutani lazima tukupe makavu maana wewe hata uelewi tofauti ya timu ya mji au taasisi fulani inayojiendesha yenyewe na timu inayomilikiwa na nchi ya kiarabu yenye hifadhi za mafuta.
Naona uko busy kupigia mbuzi gitaaSahihi kabisa. Wewe katika kukua kwako City ndiyo habari ya mujini. Wewe enjoy na timu yako. Of course kishabiki na kiutani lazima tukupe makavu maana wewe hata uelewi tofauti ya timu ya mji au taasisi fulani inayojiendesha yenyewe na timu inayomilikiwa na nchi ya kiarabu yenye hifadhi za mafuta.
Hizo fan base zimepatikana Kwa kucheza mpira mzuri sawa ...Haya bhana umeshinda.
Sioni kama hata kuna haja ya kukuelezea 'self-sustaining' model za kina Arsenal na United na jinsi zilikuwa muhimu kwa wakati huo maana kwa kuwa wewe hukuwepo, huwezi kuelewa.
Hivyo vilabu vilipata hela kwa sababu ya mpira mzuri na kuwa na fanbase kubwa na kwa kushinda mataji. Hiyo ndiyo ilikuwa namna ya vilabu kujiendesha wakati huo, na siyo kwa kununuliwa na mtu mmoja anayemimina pesa zake za mfukoni kuleta ushindani.
Hiyo ndiyo sababu iliyoleta FFP, pamoja na mambo mengine kwa manufaa ya game. Sidhani kama utaweza kuelewa hata ukijaribu kueleweshwa.
Kwa hio Yule mfanyabiashara maarufu kutoka marekani anayemiliki Arsenal kroenke yeye haweki pesa Arsenal .....
Au nyie timu yenu haimilikiwi na MTU tajiri ,unafikili mashabiki oyaa oyaaaa WA Arsenal ndio wanarun hio club ....?
Kidogo tu najaribu kumuelewesha. Yeye bado haelewi kuwa timu zilikuwa organizations zinazojaribu kujiendesha kwa faida na zilijitahidi sana kupambana. Yeye amekuta enzi hizi za oligarch fulani au sheikh flani anaingia tu mahali na mapesa na kuyaminimina kwenye club. Haelewi wenzake wametoka wapi anaona ni kwamba wao wamekuja tu na kuwazidi pesa na wanaona kwamba wenzao wanalalamika tu kuzidiwa pesa. Nadhani mifano hii hata ukimpa katika mazingira ya kawaida tu kwenye maisha anaweza asikuelewe.Naona uko busy kupigia mbuzi gitaa
Mpaka hapa sasa nimeona tunabishania nin ...Hujanielewa. Nimekuambia mifumo ya wakati huo. Hata Kroenke mwenyewe amepata 100 ownership mwaka 2018, yaani juzi tu hapa. Na bado hatumii pesa zake mwenyewe kwa kiasi kikubwa maana yeye anafanya biashara. Alichofanya ili kulegeza kamba kwa Arsenal ni yeye amelinunua deni la Emirates Stadium (amelipa yeye na sasa Arsenal inamplipa yeye badala ya kuwalipa Emirates, kwa masharti nafuu ya kuipa Arsenal fursa zaidi kupambania wachezaji)..
Ndiyo maana sasa unasikia na sisi tunatoa 100m kumchukua Rice. Na hapo bado tunapaswa kushindana kuingia Ulaya.
Nimeeleza kabla kuwa pia kuna makosa ya kifedha makubwa sana tulifanya katika sponsorships. Michezo, wanamichezo na biashara hii kwa ujumla inategemea sana madili mengi nje ya uwanja. Na kupata hayo madili unabidi ufanye vizuri. Tafuta muda ufanye tafiti za sponsorships za kina Man United na Umbro miaka ya 1995, ambao Umbro nao walikuwa wanatengeneza jezi za Man City pia, uone kama zililingana. Kama huko ni mbali sana, angalia hata hizi za juzi juzi tu za Adidas. Utakuja kuona kwamba enzi hizo, ili upande juu utajirike, lazima ufanye mengi uwanjani ili upate kuwa brand na ndiyo utengeneze pesa za kulipa mishahara minono ambayo inavutia wachezaji wakali. Hapo ndiyo maana ya vilabu kujiendesha vyenyewe. Sijagusia hata suala la uuzaji wa wachezaji.
Baadae wakaja wawekezaji walioona potential ya mpira, siyo tu kibiashara bali pia njia ya kutakatisha fedha na mambo mengine yasiyo mazuri pia.
Mfano, Abramovich aliponunua Chelsea, ilikuwa timu nzuri tu ila alimwaga pesa kwa sababu ilionekana kwake Chelsea wala siyo sehemu ya kumuingizia pesa sana, bali anapenda tu kushinda mataji ya mpira na kumiliki timu. Ndiyo maana kipindi hicho aliweza kununua karibia mchezaji yeyote aliyemtaka na alifukuza kocha asiyempa mafanikio aliyotaka. Elewa pia sababu ya Chelsea kuwa bado kwenye ligi baada ya Russia kuuvamia Ukraine ni kwa sababu tu Abramovich alikubali kuisamehe deni. Kama ulitembelea jukwaa la Chelsea wakati huo utakumbuka namna walivyokuwa wanalia kuwa timu yao inaelekea kufutwa kwenye ligi. Kwa kifupi, Chelsea haikumpa faida Roman. System ya Roman siyo tofauti sana na wamiliki wenu, ila kwenu mna bahati kwamba FFP imeanza kuwa serious zaidi na ndiyo maana mnapika vitabu na kujitetea sana kama hamna makosa lakini mnajua mnayo.
Kama hicho ndicho ulichokipata hapo, basi tenaMpaka hapa sasa nimeona tunabishania nin ...
Kutaka kuishi maisha ya 90 mwaka huu 2024 ndio tatizo ....
Mpira Ni biashara saizi ,watu wanavuja jasho uwanjani na kuwamwaga damu Kwa ajiri ya pesa na sio kufurahisha tu watu flani ...
Wachezaji walishasanuka ,makocha walishasanuka ,hata ligi nzima ishasanuka ila nyie watazamaji ndio bado hamjakubali ....
Football Ni ajira ,mpira Ni pesa
Mkuu point Ni ile Ile pesa lazima itumike ..Kama hicho ndicho ulichokipata hapo, basi tena
Yatima wa WengerNi aibu Atalanta wanabeba kombe la ulaya kabla ya Arsenali. Hivi nyie hamjalaaniwa kweli?
Why use such energy kubishana na hao Manufactured fan base.Ukisikia CITY inamashtaka ya kikiuka FFP unadhani wanasingiziwa?
Ukisikia serikali ya Qatar imejadili suala hilo na serikali ya Uingereza unadhani ni uongo?
Ukisikia watu wanasema wanaamini City anamakosa lakini pia wanajua kuwa hawatafanywa lolote unafikiri ni kwa sababu City kweli ni wasafi au kwa sababu haki haipo hata kwenye FA?
Au unafikiri ufisadi na uhuni haupo huko nje au unafikiri haki huwa hazikiukwi katika maisha? Au wewe unaishi nchi gani?
Ukweli ni watu wanaamini nyie mmefanya uhuni. Inajulikana dunia nzima pia kuwa hakuna mtachofanywa kwa sababu nyie mnamilikiwa na Qatar na nyie siyo Everton wala Nottingham Forest. Hata wewe ukiamua kukana ukweli, haubadilishi. Usimame kwenye haki au kusiko haki, huu ni mpira tu na kwetu wengi ni burudani tu, ila kwa wengine ni maisha na zaidi ya burudani. Ungekuwa shabiki wa Everton huenda ungeona mambo tofauti ila ndiyo hivyo, wote sisi tuko mbali huku na huenda hakuna kati yetu ajuaye ukweli wa mambo pale Etihad.
Ni sawa, Sijasema pesa haitumiki au haikutumika. Nimesema vilabu vilikuwa vinaitengeneza hiyo pesa vyenyewe, bila kupewa na mabilionea. FA walitaka na wanapenda sana vilabu vijiendeshe kwa pesa zake zenyewe tangu enzi hizo maana pia uchumi unaelewa umuhimu wa 'self-sustaining model', ili kudhibiti vilabu kujiendesha katika hali ya madeni na kuathiri uchumi wa nchi kwa ujumla. Huenda pia hujawahi kusikia sakata la Leeds uniited ilivyokuja kufilisika na kusota kutoka kushiriki champions league mpaka kuozea daraja la pili huko. Unaweza usijue kuwa Leeds ilishatamba Champions League. Matajiri wakaja kubadilidha game kwa kutumia pesa zao binafsi, na kwa kipindi kirefu, ukifanya tafiti, utakuta Arsenal lilikataa mfumo huu. Anyway, ndiyo pesa lazima itumike na hili si suala jipya. Iko hivyo tangu zamani. Ila pesa imepatikanaje?Mkuu point Ni ile Ile pesa lazima itumike ..
Najua unasema lazima club itafute wachezaji local ambao hawajanunuliwa Kwa pesa nyingi (natural talents) ,wacheze vizuri ,wapate makombe mengi ,wacheze mpira WA kuvutia ,wapate wafuasi wengi Duniani , Ndio wapate sponsorship ya kuwa inawapa pesa nyingi,ndio wapate mishahara Mingi .........huku sababu ikiwa kuwa Hao ndio wanafuata Sheria za mpira Kwa sababu hawajatumia pesa wametengeneza vipaji wenyewe ........huu ndio ulikuwa mpira WA zamani 1990 huko unaousemea ...ambao mashabiki mpaka sasa ndio wanaotaka ...wakiona unanunua talent wanaona kama wewe sio kocha ....
Sasa sikia nikwambia huo mfumo WA kinyonyaji WA kuwafurahisha mashabiki,huku wachezaji wakiwa masikin ndio hauwezi kuona 2024 ....huo Ni upumbavu WA kizaman ndio maana wachezaji wastafu wote WA zaman Ni masikin ........
Kiufupi Hakuna mchezaji anayecheza kutafuta sifa Kwa mashabiki kama zamani , nowadays it's all about money ....
Weka pesa mezani ,nunua mchezaji ,mpe mshahara mnono na bonus ,ndio anacheza mpira mzuri WA kuvutia na kuleta makombe ...kama huna hizo pesa ....tulia wenye nazo watumie ....