HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Nyie KENGE mje kwa wingi kushuhudia tunavyomchanachana huyu mwanaume wenu.
Tunabeba ndoo na kocha tunamtimua ndio ajue timu kubwa maana yake nini. Arteta atakaa hapo hata miaka 10 bila kombe lolote na hakuna wa kumfanya kitu.View attachment 2998730View attachment 2998731
Mwaka Juzi mlimlilia sana 7hag kwenye jukwaa lenu. Mlivyompata mlijipongeza sana na kuleta vurugu nyingi sana kwenye ma baa kwa kupiga tungi sana mkisherekea. Sisi tulikuwa tunawachora tu.
Tukawaambia hamna kocha mule. Mkatubishia. Ona sasa jamaa hana hata misimu mitatu ameshatimuliwa.


