


Hii hapa orodha ya vipaji vilivyochezea Gundu Fc na kutoka mikono mitupu kisha wakaenda kubeba makombe kwenye timu zinazijielewa.
1. Ashley Cole
Arsenal Honours: FA Cup (3)
Honours After Leaving : Premier League, FA Cup (4), Champions League, Europa League
2. Lassana Diarra
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: FA Cup, La Liga, Copa del Rey, Ligue 1, Coupe de France
3. Mathieu Flamini
Arsenal Honours: FA Cup(2)
Honours After Leaving: Serie A
4. Aliaksandr Hleb
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: La Liga, Copa del Rey, Champions League
5. Emmanuel Adebayor
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Copa del Rey
Copa del Rey hatuwezi kuita ni mafanikio lakini ni bora kuliko kukosa kitu.
6. Eduardo
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Ukrainian Premier League (4), Ukrainian Cup (4)
7. Cesc Fàbregas
Arsenal Honours: FA Cup
Honours After Leaving: Copa del Rey, La Liga, Premier League (2), FA Cup
9. Samir Nasri
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Premier League (2)
10. Robin van Persie
Arsenal Honours: FA Cup
Honours After Leaving: Premier League
11. Alex Song
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: La Liga
12. Thomas Vermaelen
Arsenal Honours: FA Cup
Honours After Leaving: La Liga (4), Copa del Rey (2)
13. Serge Gnabry
Arsenal Honours: None
Honours After Leaving: Bundesliga (2), DfB-Pokal
14. Wojciech Szczęsny
Arsenal Honours: FA Cup (2)
Honours After Leaving: Serie A (2), Coppa Italia
15. Alex Oxlade-Chamberlain
Arsenal Honours: FA Cup (3)
Honours After Leaving: Champions League, Premier League, Club World Cup
16. Olivier Giroud
Arsenal Honours: FA Cup (3)
Honours After Leaving: FA Cup, Champions League, Europa League, Serie A
17. David Ospina
Arsenal Honours: FA Cup (2)
Honours After Leaving: Coppa Italia
Jamani mpaka kufikia 17 nimelia sana, nimeshindwa hata kuendelea maana
orodha bado ni ndefu sana ndugu zangu, kuna za kizazi cha kina Xhaka sijaziorodhesha nikimaliza kujifuta machozi tutaendelea, kumbe hizi false hopes sio za kina Masingeli peke yao, zilikuwepo kabla hata Wenger hajakabidhiwa timu.