IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,084
Arsenali mara ya mwisho kushinda anfield ilikuwa mwaka gani?
Kama mnataka tuwatimizie ndoto ya kufungwa na sisi Anfield tushtueni tu. Next season chaap, tunakuja kuwapa kichapo hapo kwenu.Arsenali mara ya mwisho kushinda anfield ilikuwa mwaka gani?
Sisi tumefungua msimu na trophy tumempiga 115 fcWewe kombe lolote lako la msimu huu lipo wapi?
2011 upo form one halafu unaandika matusi kila siku humu.Mim nafuata kile kitu moyo unapenda mkuu ,sishabikii timu Kwa kuangalia wingi WA mashabiki ,mim ndio natazama mpira kwenye tv kwanin nianze kupoteza muda kuanza kuangalia watu wanasema nin ,wakati macho yangu yanaona,,,
Tofuati ya mim na wewe Ni kuwa wewe unashabikia timu kwa kufuata upepo WA watu ,.....am sure wewe unashabikia timu kwa kufuata either brother zako ,mtaani au kundi gani kubwa la watu linashabikia ...tofauti na hapo uwe 46+yrs means uliona Arsenal ya Wenger tofauti na hapo itabidi usema umeanza shabikia Arsenal Kwa sababu gani ...
Mim nimeanza kuangalia mpira naanza form one 2011 ,maana ndio nilikuwa na access ya Kurudi hata nyumbani usiku Kwa kuangalia mpira ,means hapa utoto WA kuchungwa nyumbani ulikuwa umeisha ...
Timu iliyokuwa top Ni man city ,ndio ilikuwa inashinda almost weekend zote ,....Hiyo Arsenal ya Wenger sijawahi iona maisha yangu ...wala sijui man U ya furgson sikuwahi iona .......nazisikia tu zilikuwa hivi ........siwezi shabikia timu Kwa kusikiliza sijui Zaman ilikuwa hivi wakati nayoiona in real life Ni man city ..walioziona hizo timu wanafaaa kuwa mashabiki WA hizo timu na wako sahihi ...
Mkombozi pekee wa sisi kushinda ni sisi wenyewe😁Chunga maneno yako. Tusije kutafutana katikati ya ligi maji yakiwafikia kooni na sisi ndiyo tukabaki kuwa wakombozi wenu pekee....
Humu ni kigenge mashabiki wote tunakutana humu kwa ma false hopers hatupendi kuwaona mnaishi na false hope hamjui hata ladha ya epl ikoje vile captain anavyonyanyua makwapa kwa furaha huku ameshika epl 🏆. Nyinyi kombe kwenu ni zito sana thats why miaka 20 mmeshindwa kunyanyua.Umetaka tofauti nimekupa.
Streamers walikua wengi kuangalia speech ya Klopp akiaga kuliko channel ya city kuongelea 4 in a row. Hili kombe itakua unaliongelea wewe tu.
Humu JF hakuna uzi wa mpira unaovutia kuingia zaidi ya huu. Nyumbu, kenge, liva, city watafungwa na wote mnaassume ni kawaida.
Akifungwa Arsenal wote mnaacha kazi zenu mnakimbilia huku. Winger yeyote akifunga magoli mawili mfululizo atafananishwa na Saka au Martinelli.
That's the difference. Hii timu ni SI unit ya ubora. We mwenyewe ulikua umejificha ligi imeisha haujaenda jukwaa la waliochukua kombe badala yake unakesha humu.
That's the difference
Wewe ni ushahidi namba 1 umeleta sana vituko vyako humu ukivifananisha na Arsenal au wachezaji wa Arsenal.Humu ni kigenge mashabiki wote tunakutana humu kwa ma false hopers hatupendi kuwaona mnaishi na false hope hamjui hata ladha ya epl ikoje vile captain anavyonyanyua makwapa kwa furaha huku ameshika epl 🏆. Nyinyi kombe kwenu ni zito sana thats why miaka 20 mmeshindwa kunyanyua.
Hilo la kwamba winger akifunga goli anafananishwa na saka au martineli hii ni false hope nyingine.
Martineli huyu huyu ambaye hata goli 10 hajafika ana goal 6 😀 kamzidi goal 1 barnes mchezaji ambaye ni injury msimu mzima
Chelsea kuchukua ubingwa aitaji kuwa dominant anatoka from no where anachukua na next season anavuruga kocha atatimuliwa ataletwa mwingine maana chelsea sio team ya project,huo umekuwa utamaduni wa chelsea kwa miaka 10+ kinachowabeba ni mentality ya team haswa wakiona kuna uwezekano wa kuchukua .Nikuambie chelsea haiwezi kukubali iache ubingwa mechi kumi za mwisho patachimbika .Liver kabla ya hapo juzi walikaa miaka 30. Amekuja kocha mpya, sidhani kama wataanza kua on fire right away kwa mbinu za kocha.
Chelsea kocha kaondoka. Means anakuja mpya akiwa na kundi la wachezaji wengi watengeneza nafasi kuliko wafungaji.
Siamini kama Chelsea anakua dominant next season
Ndio msana sipendi kubishana, sababu mnaweza ishia kutukanana, unaweza mtukana mwanso au baba yako.Mim nafuata kile kitu moyo unapenda mkuu ,sishabikii timu Kwa kuangalia wingi WA mashabiki ,mim ndio natazama mpira kwenye tv kwanin nianze kupoteza muda kuanza kuangalia watu wanasema nin ,wakati macho yangu yanaona,,,
Tofuati ya mim na wewe Ni kuwa wewe unashabikia timu kwa kufuata upepo WA watu ,.....am sure wewe unashabikia timu kwa kufuata either brother zako ,mtaani au kundi gani kubwa la watu linashabikia ...tofauti na hapo uwe 46+yrs means uliona Arsenal ya Wenger tofauti na hapo itabidi usema umeanza shabikia Arsenal Kwa sababu gani ...
Mim nimeanza kuangalia mpira naanza form one 2011 ,maana ndio nilikuwa na access ya Kurudi hata nyumbani usiku Kwa kuangalia mpira ,means hapa utoto WA kuchungwa nyumbani ulikuwa umeisha ...
Timu iliyokuwa top Ni man city ,ndio ilikuwa inashinda almost weekend zote ,....Hiyo Arsenal ya Wenger sijawahi iona maisha yangu ...wala sijui man U ya furgson sikuwahi iona .......nazisikia tu zilikuwa hivi ........siwezi shabikia timu Kwa kusikiliza sijui Zaman ilikuwa hivi wakati nayoiona in real life Ni man city ..walioziona hizo timu wanafaaa kuwa mashabiki WA hizo timu na wako sahihi ...
Wangeshinda Bayer ungeleta ya Granitaseno
Niko primary muda wakufuatilia mpira na toa wapi ,hio miaka access ya madogo kuangalia mpira haikuwa rahisi kama saizi..........movie John Rambo ,jet lee ,jack chan ,vanndame ...ndio ilikuwa habari ya mjini Enzi hizo kwangu...Ndio msana sipendi kubishana, sababu mnaweza ishia kutukanana, unaweza mtukana mwanso au baba yako.
2011 form 1, sawa bwana mdogo una haki ya kuishabikia city.. Je ndio mwaka ulianza kupenda mpira, au miaka ya nyuma ulikuwa hufuatilii?
Dogo acha kujivua nguo?Niko primary muda wakufuatilia mpira na toa wapi ,hio miaka access ya madogo kuangalia mpira haikuwa rahisi kama saizi..........movie John Rambo ,jet lee ,jack chan ,vanndame ...ndio ilikuwa habari ya mjini Enzi hizo kwangu...
Niko primary muda wakufuatilia mpira na toa wapi ,hio miaka access ya madogo kuangalia mpira haikuwa rahisi kama saizi..........movie John Rambo ,jet lee ,jack chan ,vanndame ...ndio ilikuwa habari ya mjini Enzi hizo kwangu...
Sasa nani ana wapenda kuku kishingoNaichukia Arsenali. MAshabiki wake wana midomo sana.
Yess Kwa miaka hio 2007 Kwa mim niliishi tofauti kidogo ...Dogo acha kujivua nguo?
Form one 2011 maana yake darasa la 4 ni 2007.
2007 hakuna access ya TV?
Naangalia kombe la dunia 1998 karibia mtaa mzima watu walikua na TV mitaa niliyokua naishi.
Ukiachana na DSTV, baadhi ya game za ulaya zilikua zinarushwa chanel10/DTV/ITV
Safi sana. Napenda sana kuona vijana wetu wakifanikiwaKolasinic hatimaye kapata kombe baada ya kuondoka Assno