Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,145
- 88,811
Ndio mkuuNasikia mmepanga kufanya sherehe za ubingwa hata kama man city akishinda leo. Mmepanga hilo kombe bandia lililo Emirates hapo lisirud FA
Ndio mkuuNasikia mmepanga kufanya sherehe za ubingwa hata kama man city akishinda leo. Mmepanga hilo kombe bandia lililo Emirates hapo lisirud FA
Uhakika..Wanangu wa Arsenal leo tunabeba Ndoo na Kenge zote za Chelsea, Manure, Man City na Liverpool zitatoweka hapa.
Toka umekuwa umeshuhudia arsenal akitwaa epl ngapi?Hivi kuna mijitu hapa kumbe furaha yao katika mpira ni kuona Arsenal inakosa vikombe eti ehee??
Yaani kuteleza kwa arsenal kwao wanaona ndio mafaniko na jambo la kuwapa furaha kuliko hata mafanikio ya timu yao?
Maaana kuna maposts marefu marefu hapa yamejaa ushuzi mtupu pamoja na chuki, mpaka najiuliza hivi huyu mtu yuko sawa kweli kichwani?
Kweli gunners tumeimprove pakubwa sana, hizi chuki nilikuwa sizione kabisa miaka ya nyuma wakati tunashika za 8,6 na 5 huko.
Watu mnaichukia Arsenal kuliko hata mnavyozipenda timu zenu, dalili za ukichaa hizo
Ha ha haKenge nyieView attachment 2994112