Man U atakushangaza kesho kijana![]()


Kesho Man Utd kazi yetu ni kusawazisha tu hio GD iwe sawa na City. 


Hawataki mchezo.City ni noma
Daaah hizi unazoleta ni dharau kabisaNyumbu inabidi apigwe kuanzia 5 kesho.
Kesho tuanakuja na boli la kufukuza mashabiki wa manyumbu uwanjani.Kesho Man Utd kazi yetu ni kusawazisha tu hio GD iwe sawa na City.
Mayatima Fc walikua wameshaomba mpaka kibali cha kufanya parade kwenye mitaa ya LondonView attachment 2987980
Tushasema kombe letu ni kumfunga au kudraw na Arsenal basi😂😂😂Kesho Man Utd kazi yetu ni kusawazisha tu hio GD iwe sawa na City.
Mayatima Fc walikua wameshaomba mpaka kibali cha kufanya parade kwenye mitaa ya LondonView attachment 2987980
Kesho tuanakuja na boli la kufukuza mashabiki wa manyumbu uwanjani.


Mkuu kama ulisahau kupiga picha msimamo wa ligi kabla ya game ya Fulham vs City nasikitika kukwambia kua ndio umeshakosa kumbukumbu ya kumuona tembo juu ya mti.Ili kuendana na GD inabidi iwe hivyo. Individually kenge ana watu kushinda nyumbu lakini alikufa 5.Daaah hizi unazoleta ni dharau kabisa
Sisi piaLiverpool is out of the title race
In case we lose 2moro and City win on Tuesday.Sisi pia
Nakubaliana na wewe hapa kwa namna ya mechi tulizopoteza. Ukitaka ubingwa wa ligi, hupaswi kufungwa zaidi ya mechi 3. Na pia hupaswi kutoka sare zaidi ya mechi 3 kwenye ligi yenye Man City ya Guardiola. Yule jamaa ni bonge la mmafia.As of now we've lost 5 games with games left
Last season we lost 6
This tells you we haven't moved an inch into learning our mistakes